Aahh tena tunaosoma hapa vet medicine ndo kabisaaa, Tunafundishwa elimu ya zamani ambapo haiendani na uhalisia wa mambo ys siku hizi, what they think merely personal gain. Upuuzi mtupuHayo ndiyo mawazo ya uongozi wa SUA,ikifika mwezi wa 6 hela zinarudi hazina eti hazijatumika.
Chuo hiki kinauwawa kwa viongozi wake kutokujali elimu bali pesa zao na teuzi.
Huu ukweli wakiambiwa wanaunda zengwe.
Aisee nimepita hapo zamani nikiwa jeshini mzinga namjua Sarwatt bila shaka ni wa idara ya wanyamaUmenikumbusha jambo kuna mhadhiri mmoja anaitwa Dr Sarwatt, (marehemu) alikuwa na motes zake kwenye daftari alizoandika miaka ya 70 lakini bado alikuwa anangangania kufundisha notes hizohizo. Yaani hadi daftari limegeuka kuwa rangi ya njano. Ni shida.
Pia kuna baadhi ya wahadhiri wavivu walikuwa wanaenda kwenye internet wanapakua notes na kuja kutubwagia kama zilizvyo na kutumezesha nzimanzima. Tumetoka mbali sana aisee 🤣 🤣 🤣
Hela zinarudishwa hazina badala ya kutumika kuboresha miundombinu? Hakuna uongozi hapo aisee!Hayo ndiyo mawazo ya uongozi wa SUA,ikifika mwezi wa 6 hela zinarudi hazina eti hazijatumika.
Chuo hiki kinauwawa kwa viongozi wake kutokujali elimu bali pesa zao na teuzi.
Huu ukweli wakiambiwa wanaunda zengwe.
Mkuu hili ni tatizo kwa ngazi zote za elimu na kwa vyuo vyote. Tunafundishwa ujinga mwingi ambao tukija nao hapa mtaani tunakuta sio applicable kabisa.Aahh tena tunaosoma hapa vet medicine ndo kabisaaa, Tunafundishwa elimu ya zamani ambapo haiendani na uhalisia wa mambo ys siku hizi, what they think merely personal gain. Upuuzi mtupu
Ulikuwa unasoma nini Aquaculture au sijui ni BSc in Animal ProductionYes. Late Dr Sarwat alikuwa idara ya wanyama.
Ulikuwa unasoma nini Aquaculture au sijui ji Bsc in Animal ProductionYes. Late Dr Sarwat alikuwa idara ya wanyama.
Hahaaaaaa R I.P Mzee wetu.View attachment 2693011
Mwamba huyu hapa
Kama ulipita SUA bila shaka ulikuwa kiongozi MsasuA , inawezekana Kuna watu nikikutajia utakuwa unawajua.Pale ni hatari jamani
Unakutana na matofali ohooo
Si stationary kwa kassim,unit 1 up to 6
Sua acha kabisaa ila sio chuo kigumu kma wengi wanavodhani
Ila tatizo wanafunzi wengi hatupendi kusoma
Hhhhhhh ulijuaje kijana wataje huenda nawajuaKama ulipita SUA bila shaka ulikuwa kiongozi MsasuA , inawezekana Kuna watu nikikutajia utakuwa unawajua.
Dokta kazurura nae kafariki juzi kati hapo mloganzilaView attachment 2693011
Mwamba huyu hapa
Prof. Mgongo nae tulimzika muda tu, alikuwa faculity of vetenary medicineDokta kazurura nae kafariki juzi kati hapo mloganzila
Elimu imeshazikwaProf. Mgongo nae tulimzika muda tu, alikuwa faculity of vetenary medicine
View attachment 3175388
Malegendary pekee ndio wanamjua huyo. Watoto wa 2000's hawamjui huyu mwamba. Aendelee kupumzika kwa amani.View attachment 2693011
Mwamba huyu hapa