trey01
New Member
- Mar 18, 2011
- 4
- 3
Umewahi kufundishwa na Sembuche? Yule mzee anajua sana hesabu. Ni kichwa!
Mwamba huyu hapa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umewahi kufundishwa na Sembuche? Yule mzee anajua sana hesabu. Ni kichwa!
Du umempata wapi huyu mwamba mkuu? Huyu babu anajua hesabu balaa!View attachment 2693011
Mwamba huyu hapa
Njooo tu mbona ni kozi ya Bata tuNaomba kwa wale walio wahi soma horticulture sua, wanipe uzoef natarajia nikapige hiyo kozi mwaka huu
Mkuu hii kozi nenda ukasome,kwenye kozi za kilimo SUA sina shida nao kabisa.Naomba kwa wale walio wahi soma horticulture sua, wanipe uzoef natarajia nikapige hiyo kozi mwaka huu
KwaniniSUA SAIVI SIJUI INA SHIDA GANI KWA KWELI
SUA SAIVI SIJUI INA SHIDA GANI KWA KWELI
UaView attachment 2693011
Mwamba huyu hapa
Mmetuharibia sama mimea asilia, hizo changanyachanganya zenu za miti ya matunda zinahari kabisa matunda asilia, siku hizi maembe yanabunguliwa yakiwa machanga kabisaKama jina la chuo linavyosadifu, chuo kilianzishwa kwa jitihada na maono ya Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Nyerere kama njia ya kuzalisha wasomi kwenye fani ya kilimo (ukulima na ufugaji) mnamo mwaka 1984 na kupewa jina la aliyekuwa Waziri mkuu wa Tanzania, ndugu Edward Moringe Sokoine. Ukitaka kupata taarifa zaidi kuhusu SUA, tembelea tovuti rasmi ya chuo (Welcome to Sokoine University of Agriculture (SUA) )
Pia ni hot na marketable sokoni. Mi nilimaliza mwaka mmoja na Prof Kusolwa hiyo Horticulture.Njooo tu mbona ni kozi ya Bata tu
Unataka uitumie katika nini ?Wakuu nilichukua result slip ya forms six ila Vijana wa boada boda wamepita na mkoba result ikiwa ndani naomba msaada kwa anaejua nianzie wapi
Nafikiri anataka aitumie katika registration ya chuoUnataka uitumie katika nini ?
Ndio wapi huko AUE ?Hello team
Nimepata nafasi ya kazi AUE hivo naomba mwenye ABC za huko anijuze tafadhari