Tychob
JF-Expert Member
- Apr 29, 2013
- 3,972
- 5,170
Huenda jamaa anakutana na wanafunzi mtaani anapiga nao story lakini bado elimu ya SUA ni bora . Hata huko mazimbu anako kusema.Hebu tumwagie nondo mkuu. Inaonekana una nondo za kutosha kuhusu elimu inayotolewa SUA kwa sasa.