Kweli kabisa mkuu; marehemu Prof Msumari alikuwa strict kwenye somo lake la soil biology. Kuna siku alitutungia maswali ya T/F halafu majibu yote akaweka TRUE, nikapasua yote. Pia kuna Prof mmoja wa irrigation engineering anaitwa Prof Thadei, huyu naye notes zake ni zile za miaka ya 70; naye amekariri hizo hizo hawezi kubadilisha kitu. Tatizo syllabus ya SUA imeorodhesha tu mambo ambayo wanafunzi wanapaswa kufundishwa lakini haiendi deep zaidi kama zile syllabuses za vyuo vidogo. Kwa hiyo, lecturer anafundisha kile anachojua tu. Lecturers wanaweza wakawa wanafundisha somo hilo hilo lakini utakuta kila mmoja anafundisha vitu tofauti kabisa. Ushahidi ni katika somo la botany ambalo lilifundishwa na Prof Temu na Prof Minjas katika madarasa tofauti. Notes za Temu zilikuwa deep wakati zile za Minjas zilikuwa shallow and narrow.
Kweli kabisa mkuu; marehemu Prof Msumari alikuwa strict kwenye somo lake la soil biology. Kuna siku alitutungia maswali ya T/F halafu majibu yote akaweka TRUE, nikapasua yote. Pia kuna Prof mmoja wa irrigation engineering anaitwa Prof Thadei, huyu naye notes zake ni zile za miaka ya 70; naye amekariri hizo hizo hawezi kubadilisha kitu. Tatizo syllabus ya SUA imeorodhesha tu mambo ambayo wanafunzi wanapaswa kufundishwa lakini haiendi deep zaidi kama zile syllabuses za vyuo vidogo. Kwa hiyo, lecturer anafundisha kile anachojua tu. Lecturers wanaweza wakawa wanafundisha somo hilo hilo lakini utakuta kila mmoja anafundisha vitu tofauti kabisa. Ushahidi ni katika somo la botany ambalo lilifundishwa na Prof Temu na Prof Minjas katika madarasa tofauti. Notes za Temu zilikuwa deep wakati zile za Minjas zilikuwa shallow and narrow.
Temu RPC anakufundisha mpaka unaelewa. Mliwahi andaa herbarium? Ilikuwa balaa.