Solution ni kuhama, hakuna kitu inaitwa Formal na Informal blessing

Acha uongo wewe unaamini kabisa kuwa MUNGU alimtoa mtoto wake ili akukomboe wewe hapo mmatumbi?
Sasa amekukomboa nini? Watu wanateseka na magonjwa mazito!

Watu wanakufa njaa kila siku! Watu wanakimbia makazi yao kwa vita vinavyoletwa na wahuni wachache! Huo ukombozi uko wapi? Kama alikufa msalabani kwa ajiri ya watu kwanini watu wanateseka?

Nini kilichobadilika toka yeye afe msalabani! Acha wehu!
Hizi story zenu hazina utofauti na story za Muhammad ni story za wapigaji tu.
Najua utasema kuwa raha utazipata mbinguni,sasa kama raha ziko mbinguni yeye uyo mtu alikuja uku kufanya nini? Waarabu na wazungu walituweza sana
 
Mtaanza kuchumbiana sasa huko roma, kanisa pekee la mashoga
Penye USHOGA hakuna Kanisa.

KANISA ni mtu, ni sehemu ya MWILI wa Kristo.

Kamwe Yesu na Kanisa lake hawawezi tajwa na uchafu.

Yesu ni Mungu, ni mtakatifu sana.

Amen
 
Wachawi pia Ruksa kuchangia thread.
 
papa ametoa boko kwakweli...
 
Ndo nakwambia,

Huwezi elewa Neno la Mungu Ukiwa na huo Ujinga uitwao Elimu ya Dunia kureason na kutumia HEKIMA za hapa chini.

Mungu hachunguziki, kubali Kutoa Ujinga kichwani, umpokee Roho MTAKATIFU akufundishe.

Amen
Mpaka hapo umeandika maneno ya imani tu. Hujaweka fact.

Hata mimi naweza kukuambia kimba langu nililokunya leo asubuhi ndiye Mungu, ila wewe huna hekima ya kuelewa hilo tu.

Je, kauli yangu hiyo ya imani italifanya kimba langu nililokunya asubuhi liwe Mungu kweli?
 
😁
 
Asee wanaanzia mbali sana.

Shaiz hata humu jamvini, ukianziisha thread kukemea vitendo hivyo, Uzi unaungwa,

Shetani amejipanga.

Lakini, as long as Raia wa Mbinguni tupo hapa duniani, tutaendelea kuwaumbua na kufichua dhambi.

Amen
Kuna raia wa mbinguni wenye imani kama ya Elia alipopigana na mabaali na kuomba MUNGU adhihirishe uwepo wake? Au ndo kuunga unga ilimradi vita ni vita mura.
 
Kuna raia wa mbinguni wenye imani kama ya Elia alipopigana na mabaali na kuomba MUNGU adhihirishe uwepo wake? Au ndo kuunga unga ilimradi vita ni vita mura.
Hata sasa Raia wa Mbinguni tupo duniani.

Majemedari, majasusi wa Mbinguni.

Karibu.
 
Wahamie wapi? Hivi wapi ni kusafi??
 
Mathayo 15:14 waacheni hao ni viongozi vipofu , kipofu akimwongoza kipofu mwenzie watatumbukia shimoni wote wawili....uck mwema
Hatuwaachi,

Tunawaambia kuwa Kiongozi wao ni Jackal/ Mbwa Mwitu amejifunika ngozi ya Kondoo Ili wamkimbie na kuja nuruni.

Tudipowahubiri INJILI ya Kweli na kuwaambia dhambi zao wazi WAZI, siku ya mwisho tutadaiwa.

UBARIKIWE!!
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] pope amejua kuwafurahisha watu,
Heheheheh halloooow!!!
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] pope amejua kuwafurahisha watu,
Heheheheh halloooow!!!
Wewe ni kama tu kibaka anayetumwa akaibe Kisha anampelekea boss wake na kubaki mtupu.

Shetani unayemtumikia Hana shukrani, ukiingia kuzimu ndo utamjua ni nani atakavyokutindua, hutoamini!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…