Tsh
JF-Expert Member
- Aug 26, 2021
- 17,022
- 36,936
Nimekuuliza kuna mwenye imani ya kina Elia au bora liende? Kwanini hamuombi moto ushuke ulambe ushoga unaoingizwa kwenye Ukristo?Umeelewa jibu lakini?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimekuuliza kuna mwenye imani ya kina Elia au bora liende? Kwanini hamuombi moto ushuke ulambe ushoga unaoingizwa kwenye Ukristo?Umeelewa jibu lakini?
(Ephesians 6:11-12)Nimekuuliza kuna mwenye imani ya kina Elia au bora liende? Kwanini hamuombi moto ushuke ulambe ushoga unaoingizwa kwenye Ukristo?
Shusha moto ujumbe wa papa usimfikie kasisi wako.(Ephesians 6:11-12)
Tunashusha moto hatari, mashoga wanaokoka na kuacha USHOGA.
Wanazaliwa UPYA na kuishi maisha ya utakatifu.
Mungu anachukia dhambi iliyo ndani ya shoga, anampenda mdhambi sana ndomana alikuja kumuokoa.
Amen
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] emu teseka pole polee, nitolee hasira zako hapaa.Wewe ni kama tu kibaka anayetumwa akaibe Kisha anampelekea boss wake na kubaki mtupu.
Shetani unayemtumikia Hana shukrani, ukiingia kuzimu ndo utamjua ni nani atakavyokutindua, hutoamini!!
Wakatoliki Si wakristo, ni wapagani tu kama wapagani wengine.Shusha moto ujumbe wa papa usimfikie kasisi wako.
DuhWakatoliki Si wakristo, ni wapagani tu kama wapagani wengine.
Huoni Yale masanamu?
Naamini kwa Kanisa Takatifu Katoliki la Mitume!! Matatizo ya kauli za Pope Francis ni ya kwake binafsi. Atakufa au kufika mwisho wa utawala wake na Kanisa Katoliki lita PREVAIL cc johnthebaptistStuxnet hameni haraka, mbwa mwitu aliyejivika vazi la Kondoo ametoa makucha yake waziwazi.
Acha kubwabwaja mzee.Huo utakatifu unaufikiaje?Watakatifu wana sifa gani kwa mujibu wa Biblia?Ni hao wazishikao amri za MUNGU na ushuhuda(ufunuo 14:12).Waje katika Imani,
Waje katika Maisha ya utakatifu,
Mbinguni hatuingii Kwa tiketi ya dini.
Wasabato, Islam, catolicano vikundi hivyo havitambuliki Mbinguni.
Bali WALIOOKOKA, walioosha mavazi Yao katika DAMU ya mwanakondoo Yesu Kristo.
Wenye kuishi maisha ya utakatifu.
Amen
Nini chanzo cha uhai?Na kwa nini alama za vidole vyako hakuna unayefanana naye duniani?Ni nani alifanya hayo?Ukiona neno linalosemwa kuwa la Mungu linakuwa coded, watu wanahitaji tafsiri, wengine hawaelewi etc, ujue hakuna neno la Mungu hapo, hizo ni siasa za watu tu.
Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote, kwa sifa zake hizo, kama angekuwapo, angefanya habari zake zijulikane, bila utata, kwa viumbe wote, popote, wakati wowote.
Ukiona utata katika neno linalosemwa kuwa la Mungu tu, ujue una deal na neno la watu. Mungu hatakiwi kuwa na utata wowote katika kumueleza.
Hata huu mjadala unaonesha Mungu hayupo.
Angekuwepo, kila mtu angejua hilo bila utata mpaka mjadala huu usingewezekana kuwepo.
Chanzo cha uhai tunakitafuta, lakini si Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote.Kingekuwa Mungu huyo, uhai usingekuwa na matatizo ya magonjwa na kifo cha lazima. Mungu huyo si mkatili hivyo.Nini chanzo cha uhai?Na kwa nini alama za vidole vyako hakuna unayefanana naye duniani?Ni nani alifanya hayo?
Hivi hadi soda hawagusi?Waje kwako msabato usiyekula nguruwe, usiyekunywa soda, na unaedai pipi zinatengenezwa na damu za watu kuzimu?
Amkeni achaneni na dini.
Quote andiko linaloonyesha Cheo Cha "Pope".Naamini kwa Kanisa Takatifu Katoliki la Mitume!! Matatizo ya kauli za Pope Francis ni ya kwake binafsi. Atakufa au kufika mwisho wa utawala wake na Kanisa Katoliki lita PREVAIL cc johnthebaptist
Quote andiko linaloonyesha Cheo Cha "Pope".
Hakuna kuchanganyikiwa.
Waliokuwa wanaambiwa juu ya Pope ni anaongozwa na Roho ya mpinga kristo, now uchaguzi uko kwao.
SHERIA na Amri za Mungu hazibadiliki, Jana Leo na hata milele.
USHOGA ni ushetani, kamwe haubarikiwi, mtu akubali kuacha atubu na anasamehewa na anafundishwa maisha ya utakatifu.
Kamwe Dhambi haibarikiwi Kwa Uongo na Hila ya kitu kinachoitwa "Informal blessing".
Mtaanza kuchumbiana sasa huko roma, kanisa pekee la mashoga
Wewe umejuaje habari za kitu kisichochunguzika?Mungu hachunguziki, kubali Kutoa Ujinga kichwani, umpokee Roho MTAKATIFU akufundishe.