Niliyojikosesha ni ya mdogo wangu, baadae nika editi nikaweka yangu ikakubali, na dogo nikamfungulia pia kwa hio nida yake ikakubali,NIDA ya mara ya kwanza umeweka ya nani na hiyo nida mpya ni ya nani.?
IPO wazi Hilo tushasolve tokea muda Sana ila kabla sjapata hii solution nliumiza Akili Atareee kwakukosea Email tu lakn wanasema Ukipata changamoto ndo utajua pakutokea bas hii ndo ikawa Njia ya ku solve Kwaio Anachokisema jamaa Yupo sahihiSina muda, fanya hivi...
Kwanza ingia Google tengeneza Email mpya(sipaswi kukukumbusha kukumbuka password)
Rudi Google kwenye www.nbs.go.tz
Anza kujaza fomu upya,
Katika zile taarifa zako za mwanzo badilisha vitu vifuatavyo..
1.Weka email mpya,
2. Badilisha Namba ya FM4
3. Badilisha Namba ya Nida
Kubadilisha ninakozungumzia ni kama unajikosesha hivi, mfano badala S0256-0067-2011 unaweka S0256-0056-2012, hivyo hivyo Nida unaweza ukabadili ter na mwezi
Halafu tuma maombi
NOTE : Hakikisha upo sehemu yenye mtando vizuri (H+) la sivyo Taarifa itaenda ila ikishindwa kuji refresh email haitarudi.
Watakuletea MSG na email yenye password
Badala ya hapo ukishapakua fomu
Rudi tena www.nbs.go.tz, fika mpaka hapa halafu bonyeza hapo namba 3
View attachment 2221563
Copy and paste Email na Password waliyokutumia KAMA ILIVYO halafu ingia
Itafunguka, badala ya hapo kuna sehemu juu kabisa utaona amekuandikia "Huisha taarifa za Mwombaji".. bonyeza,
Itafunguka, sasa anza ku edit zile sehemu ulizojikoseha kwa kuweka taarifa SAHIHI kabisa.
Badala ya hapo nenda chini amekuandikia Tuma maombi, bonyeza
Kama kawaida watakuletea kupakua fomu, fanya hivyo, utakua umemaliza
Siandiki nadharia hapa, hiki nimewafanyia watu na imekubali.
Sina muda, fanya hivi...
Kwanza ingia Google tengeneza Email mpya(sipaswi kukukumbusha kukumbuka password)
Rudi Google kwenye www.nbs.go.tz
Anza kujaza fomu upya,
Katika zile taarifa zako za mwanzo badilisha vitu vifuatavyo..
1.Weka email mpya,
2. Badilisha Namba ya FM4
3. Badilisha Namba ya Nida
Kubadilisha ninakozungumzia ni kama unajikosesha hivi, mfano badala S0256-0067-2011 unaweka S0256-0056-2012, hivyo hivyo Nida unaweza ukabadili ter na mwezi
Halafu tuma maombi
NOTE : Hakikisha upo sehemu yenye mtando vizuri (H+) la sivyo Taarifa itaenda ila ikishindwa kuji refresh email haitarudi.
Watakuletea MSG na email yenye password
Badala ya hapo ukishapakua fomu
Rudi tena www.nbs.go.tz, fika mpaka hapa halafu bonyeza hapo namba 3
View attachment 2221563
Copy and paste Email na Password waliyokutumia KAMA ILIVYO halafu ingia
Itafunguka, badala ya hapo kuna sehemu juu kabisa utaona amekuandikia "Huisha taarifa za Mwombaji".. bonyeza,
Itafunguka, sasa anza ku edit zile sehemu ulizojikoseha kwa kuweka taarifa SAHIHI kabisa.
Badala ya hapo nenda chini amekuandikia Tuma maombi, bonyeza
Kama kawaida watakuletea kupakua fomu, fanya hivyo, utakua umemaliza
Siandiki nadharia hapa, hiki nimewafanyia watu na imekubali.
We nawe si usome na kuelewa, mtu kakuambia una edit then baade unaandika kwa usahihi ndio unatuma tena na kupakua form, watu tumefanya hivyo imekubali wewe unakurupuka hapa.Mbona umeandika kama mtoto? Hivi utabadili vipi nida au form four index na uendelee kuwa wewe na si mwingine?
Unadhani ni ngazi ipi ina access ya watu waombaji wa mkoa au wilaya husika kwa urahisi kabisa?Hivi selection zinafanywa katika ngazi ya kata, Halmashauri au taifa? Mana kama ni kwa ngazi za kata au halmashauri basi magumashi yatakuwa mengi
Oyaa mpwayungu hivi ukiweka password ya email waliyokutumia ikakataa unafanyajeOya mkuu upo serious