SOLVED: Kwa wale wote waliotuma maombi NBS na hawajatumiwa e-mail ya password fanya hivi

SOLVED: Kwa wale wote waliotuma maombi NBS na hawajatumiwa e-mail ya password fanya hivi

NIDA ya mara ya kwanza umeweka ya nani na hiyo nida mpya ni ya nani.?
Niliyojikosesha ni ya mdogo wangu, baadae nika editi nikaweka yangu ikakubali, na dogo nikamfungulia pia kwa hio nida yake ikakubali,

Lakini pia sio lazima iwe sijui ya nani huko unayoijua, wewe unachopaswa ni kubadili kdg tu baada ya hapo uta edit, Mshkaji wangu yeye Alibadilisha nida yake ter na mwezi ikakubali.
 
Sina muda, fanya hivi...

Kwanza ingia Google tengeneza Email mpya(sipaswi kukukumbusha kukumbuka password)

Rudi Google kwenye www.nbs.go.tz

Anza kujaza fomu upya,
Katika zile taarifa zako za mwanzo badilisha vitu vifuatavyo..

1.Weka email mpya,
2. Badilisha Namba ya FM4
3. Badilisha Namba ya Nida

Kubadilisha ninakozungumzia ni kama unajikosesha hivi, mfano badala S0256-0067-2011 unaweka S0256-0056-2012, hivyo hivyo Nida unaweza ukabadili ter na mwezi

Halafu tuma maombi

NOTE : Hakikisha upo sehemu yenye mtando vizuri (H+) la sivyo Taarifa itaenda ila ikishindwa kuji refresh email haitarudi.

Watakuletea MSG na email yenye password

Badala ya hapo ukishapakua fomu

Rudi tena www.nbs.go.tz, fika mpaka hapa halafu bonyeza hapo namba 3

View attachment 2221563
Copy and paste Email na Password waliyokutumia KAMA ILIVYO halafu ingia

Itafunguka, badala ya hapo kuna sehemu juu kabisa utaona amekuandikia "Huisha taarifa za Mwombaji".. bonyeza,
Itafunguka, sasa anza ku edit zile sehemu ulizojikoseha kwa kuweka taarifa SAHIHI kabisa.

Badala ya hapo nenda chini amekuandikia Tuma maombi, bonyeza

Kama kawaida watakuletea kupakua fomu, fanya hivyo, utakua umemaliza

Siandiki nadharia hapa, hiki nimewafanyia watu na imekubali.
IPO wazi Hilo tushasolve tokea muda Sana ila kabla sjapata hii solution nliumiza Akili Atareee kwakukosea Email tu lakn wanasema Ukipata changamoto ndo utajua pakutokea bas hii ndo ikawa Njia ya ku solve Kwaio Anachokisema jamaa Yupo sahihi
 
Hivi selection zinafanywa katika ngazi ya kata, Halmashauri au taifa? Mana kama ni kwa ngazi za kata au halmashauri basi magumashi yatakuwa mengi
 
Sina muda, fanya hivi...

Kwanza ingia Google tengeneza Email mpya(sipaswi kukukumbusha kukumbuka password)

Rudi Google kwenye www.nbs.go.tz

Anza kujaza fomu upya,
Katika zile taarifa zako za mwanzo badilisha vitu vifuatavyo..

1.Weka email mpya,
2. Badilisha Namba ya FM4
3. Badilisha Namba ya Nida

Kubadilisha ninakozungumzia ni kama unajikosesha hivi, mfano badala S0256-0067-2011 unaweka S0256-0056-2012, hivyo hivyo Nida unaweza ukabadili ter na mwezi

Halafu tuma maombi

NOTE : Hakikisha upo sehemu yenye mtando vizuri (H+) la sivyo Taarifa itaenda ila ikishindwa kuji refresh email haitarudi.

Watakuletea MSG na email yenye password

Badala ya hapo ukishapakua fomu

Rudi tena www.nbs.go.tz, fika mpaka hapa halafu bonyeza hapo namba 3

View attachment 2221563
Copy and paste Email na Password waliyokutumia KAMA ILIVYO halafu ingia

Itafunguka, badala ya hapo kuna sehemu juu kabisa utaona amekuandikia "Huisha taarifa za Mwombaji".. bonyeza,
Itafunguka, sasa anza ku edit zile sehemu ulizojikoseha kwa kuweka taarifa SAHIHI kabisa.

Badala ya hapo nenda chini amekuandikia Tuma maombi, bonyeza

Kama kawaida watakuletea kupakua fomu, fanya hivyo, utakua umemaliza

Siandiki nadharia hapa, hiki nimewafanyia watu na imekubali.

Mbona umeandika kama mtoto? Hivi utabadili vipi nida au form four index na uendelee kuwa wewe na si mwingine?
 
Mbona umeandika kama mtoto? Hivi utabadili vipi nida au form four index na uendelee kuwa wewe na si mwingine?
We nawe si usome na kuelewa, mtu kakuambia una edit then baade unaandika kwa usahihi ndio unatuma tena na kupakua form, watu tumefanya hivyo imekubali wewe unakurupuka hapa.
 
Inawezekana kwa asilimia 100%. Nimefanikiwa. Msiwe mnakosoa tu kabla hajajaribu waungwana.
Umetisha sana mtoa mada. Waache customer care wao waendelee kuringa 🤣😂
 
Hivi selection zinafanywa katika ngazi ya kata, Halmashauri au taifa? Mana kama ni kwa ngazi za kata au halmashauri basi magumashi yatakuwa mengi
Unadhani ni ngazi ipi ina access ya watu waombaji wa mkoa au wilaya husika kwa urahisi kabisa?

Unadhani zile fomu ulizoacha kwa mtendaji ni za nini ?
 
Back
Top Bottom