Majigo
JF-Expert Member
- Feb 23, 2012
- 5,519
- 1,828
Katika Hekaheka Za Utafutaji Niko Nje Ya Nchi
Nimeajiriwa Na sasa Nina Laki 3 Tsh...Ila Nahitaji Kurudi Tz Ili Nijiajiri.
Kwa Uwezo Wangu Mdogo Wa Kufikiri,ninampango Wa
Kujumua Viatu Mbeya Mjini
Na Kuanza Kuviuza Eneo
Nitokalo(kyela).
Ndugu Zangu Nishaurini Mbali Na Wazo Langu,Je Kuna Biashara Nyingine Naweza Fanya Na Ikatoa Faida ya Ziada?
NB:Haijarishi Mkoa Gani
ilimradi Biashara Hiyo Ina Manufaa!
Natanguliza Shukrani!
Nimeajiriwa Na sasa Nina Laki 3 Tsh...Ila Nahitaji Kurudi Tz Ili Nijiajiri.
Kwa Uwezo Wangu Mdogo Wa Kufikiri,ninampango Wa
Kujumua Viatu Mbeya Mjini
Na Kuanza Kuviuza Eneo
Nitokalo(kyela).
Ndugu Zangu Nishaurini Mbali Na Wazo Langu,Je Kuna Biashara Nyingine Naweza Fanya Na Ikatoa Faida ya Ziada?
NB:Haijarishi Mkoa Gani
ilimradi Biashara Hiyo Ina Manufaa!
Natanguliza Shukrani!