Mr mutuu
JF-Expert Member
- Jan 27, 2023
- 2,869
- 14,501
- Thread starter
- #21
Ukishatapeliwa maswali kama haya ndo yanaleta maana, ila kabla ya kupigwa we utakua unawaza kuondoka na 80 yako hata uambiwe uchimbe wapi hutawazaJamani yaan mashimo ya minara yachimbwe umbali gani huo kwamba kila mtu anachimba mashimo ya mnara mmoja halafu mpo watu 14 ina maana hiyo minara ipo 14 imekuwa nguzo za umeme au.