Soma kisa hiki cha utapeli, ujifunze kitu

Soma kisa hiki cha utapeli, ujifunze kitu

Ukishatapeliwa maswali kama haya ndo yanaleta maana, ila kabla ya kupigwa we utakua unawaza kuondoka na 80 yako hata uambiwe uchimbe wapi hutawaza
Jamaa hawajui matapeli, maswali kama hayo hata wenyewe wanajua wataweza ulizwa na wameshajipanga namna ya kujibi.. mbona hajafikiria hata ilo pori wametumia muda gani kulitafuta ikiwa wao ni wageni eneo hilo.
 
😂😂😂😂 Sasa wale wa vanilla watasemaje na juzi bashe ndio kapigilia msumari kwenye kidonda😂😂😂😂😂
Bashe nae ni tapeli tu. Kasema bei ya vanilla sio 1.5m ndio tunakubali, ila ajasema ni bei gani huko duniani.
 
Hahahaha unatetea umewekeza nn vanilla village zanzibar😂😂😂😂
No sijawekeza, ila mimi kama hadhira baada ya kusoma kichwa cha habari nilitegemea ndani ni kutane na bei halisi ya sasa, cha kushangaza mule ndani bashe iyo bei halisi ya sasa hakuitaja.
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Back
Top Bottom