Ukishatapeliwa maswali kama haya ndo yanaleta maana, ila kabla ya kupigwa we utakua unawaza kuondoka na 80 yako hata uambiwe uchimbe wapi hutawazaJamani yaan mashimo ya minara yachimbwe umbali gani huo kwamba kila mtu anachimba mashimo ya mnara mmoja halafu mpo watu 14 ina maana hiyo minara ipo 14 imekuwa nguzo za umeme au.
Hii ni chai ya kijiweniAisee Kuna kisa kimoja Cha utapeli nikikumbuka hua nacheka sana, japo sio changu kilimtokea mshkaji wangu mmoja
Jamaa anadai walikua na kijiwe Chao wanakutana washkaji wengi tu, kulikua na pool table na vile vimashine vya kubet, anadai kijiwe kilikua na vijana wengi matozi tu na smart phone zilizoshiba....
Hii ni chai ya kijiweni
Usinikumbuehe MTFE Qumamaque zao***** kuibiwa ni suala la muda tu hata uwe mjanja [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mi napenda sana kusimuliwa visa kama hiviππππ!Aisee Kuna kisa kimoja Cha utapeli nikikumbuka hua nacheka sana, japo sio changu kilimtokea mshkaji wangu mmoja
Jamaa anadai walikua na kijiwe Chao wanakutana washkaji wengi tu, kulikua na pool table na vile vimashine vya kubet, anadai kijiwe kilikua na vijana wengi matozi tu na smart phone zilizoshiba.....
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Uongo huo
Vijana wanaobet na pool table hawanaga smartphone
Wengi ni vitochi[emoji1787]
Na wanakunywa hivi visungura
So hawana nguvu ya kuchimba shimo [emoji108][emoji108]
Unataka kurudisha pesa zako..?Usinikumbuehe MTFE Qumamaque zao
ππππ Sasa wale wa vanilla watasemaje na juzi bashe ndio kapigilia msumari kwenye kidondaπππππUsinikumbuehe MTFE Qumamaque zao
Show ni kali[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Sasa wale wa vanilla watasemaje na juzi bashe ndio kapigilia msumari kwenye kidonda[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Labda wakiangalia pori hata wasiwasi wa kukimbiwa hawauoni..Mmh, yaani kila mmoja alipokuwa akimpa simu huyo mzee alikuwa akiendelea na shughuli ya kuchimba mashimo bila kuangalia mzee anaelekea wapi na simu yake? Kuna wingi wa chumvi kwenye mboga.
Matapeli nadhani kuna mazingaombwe huyafanya ukiingia kwenye 18 zao.Mmh, yaani kila mmoja alipokuwa akimpa simu huyo mzee alikuwa akiendelea na shughuli ya kuchimba mashimo bila kuangalia mzee anaelekea wapi na simu yake? Kuna wingi wa chumvi kwenye mboga.
Hakuna cha mazingaombwe watu wanajaribiwa kwa tamaa zao wenyewe, ole wenu enyi kizazi chenye kupenda ishara hamtaipata ishara isipokuwa ishara ya Yona.Matapeli nadhani kuna mazingaombwe huyafanya ukiingia kwenye 18 zao.