Soma kwa makini unipe ushauri kwa hili

Soma kwa makini unipe ushauri kwa hili

kikoozi

JF-Expert Member
Joined
Jun 24, 2015
Posts
2,094
Reaction score
3,108
Habarini za uzima wakuu, poleni na majukumu yanayo wazonga, mungu atupiganie kwenye maradhi yeyote yale.

naombeni niwape story fupi kabisa ndeni mnipe ushauri kabla sijafanya maamuzi yangu binafsi ambayo yatatokana na mawazo yenu bora kabisa.

Mimi nilitolewa kijijini na shangazi yangu kuletwa mjini kwa ajili ya kusoma, nisema kweli wa mungu nilisoma kwa taabu sana, na kupitia kwenye hali ngumu sana ya maisha, nilikuwa napata kipigo kizito sana kutoka kwa huyu anti yangu mpaka nazilai (mpaka kuna siku nilikwenda kituo cha polisi kuomba wanisafirishe nirudi kwa mama yangu), akaja akawaambia polisi mimi ni muongo sana.

maisha yakasogea wakati nakaa nyumbani kwake huko mjini (jijini dsm), nikamaliza kidato cha nne..matokeo hayakutoka sawa, nikaingia kwenye vibarua vya kwenye makampuni ya waidi kufanya kazi kama kibaru huku nikizichanga (nilibahatika kupata pesa kwaajili ya ada ngazi ya certificate) nikasoma certificate nikiwa nakaa kwa rafiki yangu nikiwa nimekimbia kwa shangazi yangu yule

Hatimaye nilimaliza certificate, nikaingia kwenye kutafuta kazi kwa level yangu ya certificate sikubahatika kupata kazi ya kuajiliwa nikarudi kwenye kile kiwanda kama kibarua (kwa kuwa walikuwa wanajua utendaji wangu wa kazi haikuwa ngumu kunikataa) basi nikaanza kupiga kazi tena pale, mpaka nikapata ada ya diploma (hapa nililenga kwenda kusoma chuo cha serikali maana niliona ada ni nafuu sana) short the story nilisoma na kumaliza diploma, kwa level ya degree niliomba mkopo na nikapata asilimia 96% ya mkopo na kumaliza degree yangu ya kwanza.

tangu nimeondoka kwake moyo wangu umekuwa mzito sana kwenda hata kusalimia, yaani nikiwaza yale niliopitia kiukweli kabisa moyo wangu unakuwa mgumu sana, ila waswahili wanasema akutendea ubaya ana wema wake pia, huyu shangazi yangu kwenye mambo mawili alikuwa akinisaidia kabisa (matibabu ikitokea naumwa, hana uchoyo wa chakula kabisaa)

Baada ya kuhangaika kutafuta ajira sana baada ya kumaliza chuo (3 years pasipo kazi) hatimaye Mungu akaniona nikapata kazi japokuwa ni project ya muda flani tuu. nikajichanga kweli kweli sikutaka kupoteza hata sent tano kwenye mambo yasio na muhimu. Hatimaye nikaweza kupata pesa kiasi kadhaa, nikawa na mawazo mawili kichwani kwangu. (ntayaeleza hapo chini ayo mambo)

Mama yangu anakaa kijiji kwenye nyumba ya udongo bado anafanya kazi ya kuuza genge ambao mtaji haufiki ata elfu 50, mama yangu umri umeenda pia nguvu kazi imepungua upande wa huyu shangazi yangu anakaa mjini amepanga tu hana nyumba ana kiwanja tu uko chanika na umri wake umetembea sana, nguvu kazi imepungua sana kwake, biashara anazofanya ni hizi ndogo ndogo ambazo naona kwa sasa anatakiwa apumzike kiukweli.

Kuna mazuri ambayo nikiyawaza kwake (huyu shangazi yangu) nahisi natakiwa kumfanyia jambo ambalo linaweza kuwa jema kwake, uwezo wangu kipesa sio mzuri kabisa, sina kazi kwa sasa, niliwaza ivi wakuu: hapa nina milion 20 cash. nyumbani kwetu ni mwanza. niliplan nifanye ivi

1. hii pesa yote nikatafute nyumba ambayo ipo kwenye hali nzuri na eneo kubwa kwa kule mwanza niinunue baada ya kuinunua nimuambie shangazi yangu akakae pale apumzike, nimchukue na mama yangu pia akae pale apumzike, kuhusu ni jinsi gani nitawahudumia naamini kwa kudra za mwenyezi mungu nikipata kidogo tutagawana. (baada ya kununua nyumba mimi nianze upya (zero start) kwenye utafutaji kama mtoto wa kiume, na matokeo yatajulikana mbele ya safari uko)

2. Nichukue hii pesa nianze biashara na kujiweka katika hali nzuri ya uzalishaji wa kutafute pesa ya kufanya wazo kama ilo nililofikiria hapo juu. niliwaza kuingia kwenye biashara ya uber nikiwa mimi ndio mwenye chombo na mtafutaji pia na kufungua biashara zingine. ii mwisho wa siku niweze kufikia lengo la kupata pesa kwa ajili ya kufanya ilo wazo la hapo juu la kununua nyumba na kuwaweka awa wazazi wangu.

Karibu kwa ushauri wenu ndugu zangu. nitapokea kwa mikono miwili.

Note: kwa sasa kuna sehemu (DSM) nimepanga chumba kimoja, nikitafakari nafanya nini katika senario hii.

Karibuni.
 
No 2 is right but at this moment make efforts on feed ur Guardians &parent including with good social warfare like Health insurance.✌✌
 
Habarini za uzima wakuu, poleni na majukumu yanayo wazonga, mungu atupiganie kwenye maradhi yeyote yale.

naombeni niwape story fupi kabisa ndeni mnipe ushauri kabla sijafanya maamuzi yangu binafsi ambayo yatatokana na mawazo yenu bora kabisa.

Mimi nilitolewa kijijini na shangazi yangu kuletwa mjini kwaajili ya kusoma, nisema kweli wa mungu nilisoma kwa taabu sana, na kupitia kwenye hali ngumu sana ya maisha, nilikuwa napata kipigo kizito sana kutoka kwa uyu anti yangu mpaka nazilai (mpaka kuna siku nilikwenda kituo cha polisi kuomba wanisafirishe nirudi kwa mama yangu), akaja akawaambia polisi mimi ni muongo sana.

maisha yakasogea wakati nakaa nyumbani kwake uko mjini (jijini dsm), nikamaliza kidato cha nne..matokeo hayakutoka sawa, nikaingia kwenye vibarua vya kwenye makampuni ya waidi kufanya kazi kama kibaru uku nikizichanga (nilibahatika kupata pesa kwaajili ya ada ngazi ya certificate) nikasoma certificate nikiwa nakaa kwa rafiki yangu nikiwa nimekimbia kwa shangazi yangu yule, atimaye nilimaliza certificate, nikaingia kwenye kutafuta kazi kwa level yangu ya certificate sikubahatika kupata kazi ya kuajiliwa nikarudi kwenye kile kiwanda kama kibarua (kwa kuwa walikuwa wanajua utendaji wangu wa kazi haikuwa ngumu kunikataa) basi nikaanza kupiga kazi tena pale, mpaka nikapata ada ya diploma (hapa nililenga kwenda kusoma chuo cha serikai maana niliona ada ni nafuu sana) short the story nilisoma na kumaliza diploma, kwa level ya degree niliomba mkopo na nikapata asilimia 96% ya mkopo na kumaliza degree yangu ya kwanza.

tangu nimeondoka kwake moyo wangu umekuwa mzito sana kwenda ata kusmalimia, yaani nikiwaza yale nilio pitia kiukweli kabisa moyo wangu unakuwa mgumu sana, ila waswahili wanasema akutendea ubaya ana wema wake pia, uyu shangazi yangu kwenye mambo mawili alikuwa akinisaidia kabisa (matibabu ikitokea naumwa, hana uchoyo wa chakula kabisaa)

Baada ya kuangaika kutafuta ajira sana baada ya kumaliza chuo (3 years pasipo kazi) atimaye mungu akaniona nikapata kazi japokuwa ni project ya muda flani tuu. nikajichanga kweli kweli sikutaka kupoteza ata sent tano kwenye mambo yasio na muhimu. atimaye nikaweza kupata pesa kiasi kadhaa, nikawa na mawazo mawili kichwani kwangu. (ntayaeleza hapo chini ayo mambo)

Mama yangu anakaa kijiji kwenye nyumba ya udongo bado anafanya kazi ya kuuza genge ambao mtaji haufiki ata elfu 50, mama yangu umri umeenda pia nguvu kazi imepungua upande wa uyu shangazi yangu anakaa mjini amepanga tu hana nyumba ana kiwanja tu uko chanika na umri wake umetembea sana, nguvu kazi imepungua sana kwake, biashara anazofanya ni izi ndogo ndogo ambazo naona kwa sasa anatakiwa apumzike kiukweli.

Kuna mazuri ambayo nikiyawaza kwake (uyu shangazi yangu) nahisi natakiwa kumfanyia jambo ambalo linaweza kuwa jema kwake, uwezo wangu kipesa sio mzuri kabisa, sina kazi kwa sasa, niliwaza ivi wakuu: hapa nina milion 20 cash. nyumbani kwetu ni mwanza. niliplan nifanye ivi

1. hii pesa yote nikatafute nyumba ambayo ipo kwenye hali nzuri na eneo kubwa kwa kule mwanza niinunue baada ya kuinunua nimuambie shangazi yangu akakae pale apumzike, nimchukue na mama yangu pia akae pale apumzike, kuhusu ni jinsi gani nitawahudumia naamini kwa kudra za mwenyezi mungu nikipata kidogo tutagawana. (baada ya kununua nyumba mimi nianze upya (zero start) kwenye utafutaji kama mtoto wa kiume, na matokeo yatajulikana mbele ya safari uko)

2. Nichukue hii pesa nianze biashara na kujiweka katika hali nzuri ya uzalishaji wa kutafute pesa ya kufanya wazo kama ilo nililo fikilia hapo juu. niliwaza kuingia kwenye biashara ya uber nikiwa mimi ndio mwenye chombo na mtafutaji pia na kufungua biashara zingine. ii mwisho wa siku niweze kufikia lengo la kupata pesa kwaajili ya kufanya ilo wazo la hapo juu la kununua nyumba na kuwaweka awa wazazi wangu.

Karibu kwa ushauri wenu ndugu zangu. nitapokea kwa mikono miwili.

Note: kwa sasa kuna sehemu (dsm) nimepanga chumba kimoja, nikitafakari nafanya nini katika senario hii.

Karibuni.

2
 
No 2 is right but at this moment make efforts on feed ur Guardians &parent including with good social warfare like Health insurance.✌✌

best advice, help kwa kiwango fulani, but invest utakuja kuwa useful zaidi kwao
 
Kwa shangazi nilishasema sitarudi labda nisikie amekufa.... Kuhusu ushauri sina cha kukushauri bro ila nilivyosoma story ya huyo shangazi yako roho imeniuma kinoma yani
 
Habarini za uzima wakuu, poleni na majukumu yanayo wazonga, mungu atupiganie kwenye maradhi yeyote yale.

naombeni niwape story fupi kabisa ndeni mnipe ushauri kabla sijafanya maamuzi yangu binafsi ambayo yatatokana na mawazo yenu bora kabisa.

Mimi nilitolewa kijijini na shangazi yangu kuletwa mjini kwaajili ya kusoma, nisema kweli wa mungu nilisoma kwa taabu sana, na kupitia kwenye hali ngumu sana ya maisha, nilikuwa napata kipigo kizito sana kutoka kwa uyu anti yangu mpaka nazilai (mpaka kuna siku nilikwenda kituo cha polisi kuomba wanisafirishe nirudi kwa mama yangu), akaja akawaambia polisi mimi ni muongo sana.

maisha yakasogea wakati nakaa nyumbani kwake uko mjini (jijini dsm), nikamaliza kidato cha nne..matokeo hayakutoka sawa, nikaingia kwenye vibarua vya kwenye makampuni ya waidi kufanya kazi kama kibaru uku nikizichanga (nilibahatika kupata pesa kwaajili ya ada ngazi ya certificate) nikasoma certificate nikiwa nakaa kwa rafiki yangu nikiwa nimekimbia kwa shangazi yangu yule, atimaye nilimaliza certificate, nikaingia kwenye kutafuta kazi kwa level yangu ya certificate sikubahatika kupata kazi ya kuajiliwa nikarudi kwenye kile kiwanda kama kibarua (kwa kuwa walikuwa wanajua utendaji wangu wa kazi haikuwa ngumu kunikataa) basi nikaanza kupiga kazi tena pale, mpaka nikapata ada ya diploma (hapa nililenga kwenda kusoma chuo cha serikai maana niliona ada ni nafuu sana) short the story nilisoma na kumaliza diploma, kwa level ya degree niliomba mkopo na nikapata asilimia 96% ya mkopo na kumaliza degree yangu ya kwanza.

tangu nimeondoka kwake moyo wangu umekuwa mzito sana kwenda ata kusmalimia, yaani nikiwaza yale nilio pitia kiukweli kabisa moyo wangu unakuwa mgumu sana, ila waswahili wanasema akutendea ubaya ana wema wake pia, uyu shangazi yangu kwenye mambo mawili alikuwa akinisaidia kabisa (matibabu ikitokea naumwa, hana uchoyo wa chakula kabisaa)

Baada ya kuangaika kutafuta ajira sana baada ya kumaliza chuo (3 years pasipo kazi) atimaye mungu akaniona nikapata kazi japokuwa ni project ya muda flani tuu. nikajichanga kweli kweli sikutaka kupoteza ata sent tano kwenye mambo yasio na muhimu. atimaye nikaweza kupata pesa kiasi kadhaa, nikawa na mawazo mawili kichwani kwangu. (ntayaeleza hapo chini ayo mambo)

Mama yangu anakaa kijiji kwenye nyumba ya udongo bado anafanya kazi ya kuuza genge ambao mtaji haufiki ata elfu 50, mama yangu umri umeenda pia nguvu kazi imepungua upande wa uyu shangazi yangu anakaa mjini amepanga tu hana nyumba ana kiwanja tu uko chanika na umri wake umetembea sana, nguvu kazi imepungua sana kwake, biashara anazofanya ni izi ndogo ndogo ambazo naona kwa sasa anatakiwa apumzike kiukweli.

Kuna mazuri ambayo nikiyawaza kwake (uyu shangazi yangu) nahisi natakiwa kumfanyia jambo ambalo linaweza kuwa jema kwake, uwezo wangu kipesa sio mzuri kabisa, sina kazi kwa sasa, niliwaza ivi wakuu: hapa nina milion 20 cash. nyumbani kwetu ni mwanza. niliplan nifanye ivi

1. hii pesa yote nikatafute nyumba ambayo ipo kwenye hali nzuri na eneo kubwa kwa kule mwanza niinunue baada ya kuinunua nimuambie shangazi yangu akakae pale apumzike, nimchukue na mama yangu pia akae pale apumzike, kuhusu ni jinsi gani nitawahudumia naamini kwa kudra za mwenyezi mungu nikipata kidogo tutagawana. (baada ya kununua nyumba mimi nianze upya (zero start) kwenye utafutaji kama mtoto wa kiume, na matokeo yatajulikana mbele ya safari uko)

2. Nichukue hii pesa nianze biashara na kujiweka katika hali nzuri ya uzalishaji wa kutafute pesa ya kufanya wazo kama ilo nililo fikilia hapo juu. niliwaza kuingia kwenye biashara ya uber nikiwa mimi ndio mwenye chombo na mtafutaji pia na kufungua biashara zingine. ii mwisho wa siku niweze kufikia lengo la kupata pesa kwaajili ya kufanya ilo wazo la hapo juu la kununua nyumba na kuwaweka awa wazazi wangu.

Karibu kwa ushauri wenu ndugu zangu. nitapokea kwa mikono miwili.

Note: kwa sasa kuna sehemu (dsm) nimepanga chumba kimoja, nikitafakari nafanya nini katika senario hii.

Karibuni.
Wote hao wana haki kwako, angalia sisi kwetu mama ana haki tatu zaidi ya baba.
1.Kuvumilia taabu za kukubeba tumboni kwa miezi tisa au zaidi.

2.Kuvumilia machungu katika kuzaliwa kwako.

3.Kukunyonyesha na matunzo mengine ambayo kinamama hupaswa kuyafanya kwa watoto wao.
Haya ni mambo matatu yanayomfanya mama kuwa na haki mara tatu zaidi ya baba, nafasi moja ya baba ni yale matunzo baada ya wewe kuzaliwa.
Ushauri wangu kwako wote wana haki kwako lakini mpunguzie mama yako kwanza machungu mboreshee makazi yake atleast ajihisi furaha ndani ya nafsi yake.
Shangazi naye usimwache hata kidogo kwani yeye kwa hapo ndio baba, japo simjui lakini napata huruma ndani ya nafsi yangu, kama usemavyo amechoka basi na yeye mfanyie jambo ajihisi faraja na ahisi upendo wako kwake usimtupe kwa yale yaliyopita kwani daima atabaki kuwa ni shangazi yako, let her proud of you.
Ni maono yangu tu.
 
Ushauri wangu.

Mjengee mama yakoo nyumbaa na kumpa mtaji kidogo afanye biashara ya maana kama itawezekana.

Shangazi yako mpe mtaji tu afanye biashara nzuri zaidi maana kama makazi anayo tayari na sidhani kama atakuwa tayari kuhama Dar na kwenda Mwanza. Yeye mwenyeji dar mpe mtaji apige biashara. Yote uliyopitia kwa shangazi yasamehee tuu ni sehemu ya maisha.

Sent from my SM-G611K using JamiiForums mobile app
 
mimi naona kama ungeweza nunua hiyo nyumba alafu ukaipangisha pesa kidogo kidogo iwe haikauki unasaidia kote kuwili.....maana kuwanunulia nyumba alafu chakula hawana cha uhakika sio idea nzuri inaweza hata keta ugomvi kati yao.....

unaweza pia nunua bajaji used kwa mil 4 zikiwa 3 tu kwa mil 12, uziingize barabarani alafu mil 8 mama unamfungulia biashara ya mil 2 na shangazi ya mil 2 then wewe unabaki na akiba ya mil 4 kwa lolote litakalotokea mbele......
 
Chagua biashara kwa uangalifu Kisha uwekeze hiyo milioni 20, na usiwekeze yote. Wekeza Kama milioni 10 hivi, hiyo nyingine ibaki kama back up.

huyo shangazi na mama wakae sehemu moja ili kuwahudumia iwe rahisi, either shangazi aende huko kijijini au mama aje mjini. Hela utakayopata kwenye business utawatumia hata laki kwa mwezi itawatosha kabisa

Kujenga nyumba na hela pekee uliyonayo utabugi kwani haitakuwa nyumba ya viwango, inaweza kuishia pagale tu, pia watu hawali nyumba
 
Vipi hiyo shangazi yako akikaa na mama yako, wataelewana au ndio atapitia njia uliyopita wewe
Shangazi yangu ni mkorofi sana ndugu, mama yangu ni mpole sana. Naangalia ili niondoe mzizi wa fitina pande zote mbili maana pande zote nahisi kuna kitu natakiwa kuwafanyia.
 
Hamna aliyemkamilifu, samehe, sahau, saidia, songa mbele. Huo ndio u gentleman. U gentleman sio suti na tai, bali matendo
Mkuu nilisha samehe ndio maana nimemkumbuka pia shangazi yangu nae
 
Kwa shangazi nilishasema sitarudi labda nisikie amekufa.... Kuhusu ushauri sina cha kukushauri bro ila nilivyosoma story ya huyo shangazi yako roho imeniuma kinoma yani
Shukrani mkuu
 
Wote hao wana haki kwako, angalia sisi kwetu mama ana haki tatu zaidi ya baba.
1.Kuvumilia taabu za kukubeba tumboni kwa miezi tisa au zaidi.

2.Kuvumilia machungu katika kuzaliwa kwako.

3.Kukunyonyesha na matunzo mengine ambayo kinamama hupaswa kuyafanya kwa watoto wao.
Haya ni mambo matatu yanayomfanya mama kuwa na haki mara tatu zaidi ya baba, nafasi moja ya baba ni yale matunzo baada ya wewe kuzaliwa.
Ushauri wangu kwako wote wana haki kwako lakini mpunguzie mama yako kwanza machungu mboreshee makazi yake atleast ajihisi furaha ndani ya nafsi yake.
Shangazi naye usimwache hata kidogo kwani yeye kwa hapo ndio baba, japo simjui lakini napata huruma ndani ya nafsi yangu, kama usemavyo amechoka basi na yeye mfanyie jambo ajihisi faraja na ahisi upendo wako kwake usimtupe kwa yale yaliyopita kwani daima atabaki kuwa ni shangazi yako, let her proud of you.
Ni maono yangu tu.
Asante kiongozi
 
Back
Top Bottom