Kabla ya kuanza kusoma huu uzi nilikua nina ile morning erection katikati ya uzi nikazidi kuerect now ukawa umechelewa kutaja jinsi yake so nikawa mara nakua on mara off ulipotaja jinsi yake ndiyo imekua off moja kwa moja.
Anyway, katika saikolojia na somo la youth delinquency tukakubaliana kwamba mtoto atastruggle kutafuta identity ya jinsi yake na hii struggle huipata wakati anabalehe. In fact science study moja inasema jinsi ya mtu hua haiwi determined at birth instead hua inakua learned na mhusika.
So kazi ya saikolojist siyo kumuambia aache kua alivyo ila ni kumuencourage kuipita hiyo njia bila hofu yaani sasa hivi aweze hata kuwaambia wazazi wake kwamba anapenda kumpapasa yule kaka wa duka la dawa.
Kama kuna mtu anadhani huyo atageuzwa akili awe mwanaume no it does not work that way. So nipe namba yake nimguide.
NB. Anayetakiwa kuuza duka la dawa kuna vigezo vya utabibu inabidi akidhi, so wewe, Rama na Denis wote mna hivyo vigezo?