Soma taratibu kisa hiki kilichonitokea kisha nishauri

Hata mimi nimeona mama aende aongee na mama mwenzake kule, litakuwa jepesi kwasababu ni watu wa hapohapo majirani wapo siku zote na pia litachukuliwa kwa uzito sana! Ila pole kwa yaliyokukuta mkuu!
 
Huko uliko Mungu aendelee kukutunza Chief [emoji2935][emoji2935]
Yaani hili swala hua linaweka giza sana

Miaka ya nyuma watu ealikua hawatamani kuoata watoto wa kike kwa sababu ya tabia

Lakini sasa hivi watu hawatamani watoto wa kiume sababu ya hili janga
 
Mkuu,nipo kwa ajili kushauriwa kwahio napokea ushauri wote tu mwisho nitajua upi ni sahihi wa kuanza nao,lengo hasa hapa alikuwa kumnasua huyu mtoto wangu baada kugundua huyu rafiki yake yupo hivyo ila kwakuwa wadau wanashauri pia niongee na wazazi wake nitaamua ni ipi njia sahihi ya kuiendea maana;

Kumbuka huyu ni underage,ukiingia tu kuwaambia wazazi bila akili anaweza akaitwa halafu akakataa hapohapo akageuza kibao labda mimi ndio namfanyia au tunajuana,hapo kesi itakuwa imechukua sura mpya,Voice notes zipo ndio lakini pia huwezi reaction ya wazazi wake itakuwaje

Lakini acha nipokee ushauri nitajua nini cha kufanya mwenyewe
 
Huyo dogo atakuwa ni bisexual gay, urafik wa Dogo na Rama ni wa kuwa makini nao, maana chochote kinaweza kutokea kati yao. Huyo dogo anatakiwa kupata huduma ya kitaalam ya saikolojia ya mahusiano ili asipotee.
 
Hujamuelewa the boss
Nimemuelewa anamaanisha kwamba wanajuana kwenye hio 'michezo' ndio maana nikamwambia vipi kama hajui,sasa aliposema nirudi mjini inamaana niachane nao?
 
Hayakuhusu mkuu za kuambiwa changanya na zako fukuza uyo dg na wachane wdg zako ukweli, Siku zote mwenye huruma hanaga bahati, muulumie utaona yatakayo kukumba
 
🤛🤛🤛🤛...🥂
 
Yaani hili swala hua linaweka giza sana

Miaka ya nyuma watu ealikua hawatamani kuoata watoto wa kike kwa sababu ya tabia

Lakini sasa hivi watu hawatamani watoto wa kiume sababu ya hili janga
Yani ni huzuni mno ndugu yangu.

Shetani yuko kazini kuharibu nguzo Za familia.

Hakika Mungu aingilie kati.inaogopesha mnoo🥺🥺🥺💔💔💔
 
Nae akamuuzi bila wasiwasi [emoji3064][emoji3064][emoji3064][emoji3064][emoji3064][emoji3064][emoji3064][emoji174][emoji174][emoji174]
Kwanza pale juu kumbuka niliweka ngumu kumpa condom bila hela,sio kwamba nilishindwa kumpa hela akaleta kesho yake hapana,ilikuwa moja ya njia ya kumuwekea 'ngumu 'ila aliporudi mara ya pili na hela nikajua yupo siriazi kwahio nikawaza,

Je kama anaenda kukutana na mtu kweli iwe mwanamke au mwanaume nisipompa si ndio atakuwa hatarini zaidi,nikaona nimpe,maana kama alikuwa anaondoka asubuhi ya SAA 12 asingeweza kupata duka lililo wazi
 
Na unavyo penda kumsapot yule choko humu

Ni kama vile unafurahia hiyo tabia leo unanishangaza
Hakuna haja ya malumbano Chief.nenda kalete comment yoyote niliyomsapot hapa.au unitag nitakuja kujibu mashtaka ya kumsapoti aendelee kufanya laana.
 
Chief kama uliamua kuweka ngumu ninauhakika hata kama angekuja na kiasi gani usingempatia.

Ok tufanye labda ulifanya hivyo hukuwa na namna sio..haya ulishindwa kumfuatilia?man,bado aiseh

Kuna comment ya mtu nilishawahi kuisoma humu ni muda kidogo..yeye alifanya hivyo lakini alihakikisha alimfuatilia mpka alipoishilia.hapo sasa aliyagundua mengi na akaliweka wazi.
 
Nashukuru kwa ushauri mkuu nitaufanyia kazi
 
Haya Madawa ya uzazi wanayotumia wake zetu yanaleta shida ya hormone mpaka kwa watoto wanaokua tumboni, wakizaliwa wanazaliwa na shida kama hizi za rafiki wa Rama!
Inaweza kuwa sababu?
 
Hata mimi nimeona mama aende aongee na mama mwenzake kule, litakuwa jepesi kwasababu ni watu wa hapohapo majirani wapo siku zote na pia litachukuliwa kwa uzito sana! Ila pole kwa yaliyokukuta mkuu!
Nashukuru mkuu
 
Huyo dogo atakuwa ni bisexual gay, urafik wa Dogo na Rama ni wa kuwa makini nao, maana chochote kinaweza kutokea kati yao. Huyo dogo anatakiwa kupata huduma ya kitaalam ya saikolojia ya mahusiano ili asipotee.
Upo sahihi huu urafiki ni wa kuwa makini nao mno
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…