Mkuu mimi naheshimu sana watu Bongo wanaoendesha biashara kubwa na kufanikiwa. Unakuta mtu Ana kiwanda au biashara kaajiri watu zaidi ya 300 na anamudu vizuri unajiuliza anawezaje ukisingatia hulka ya Mtanzania ni upigaji, utapeli na wizi ambayo ni genetics na imethibitika kabisa kisayansi.
Kabla sijaja huku ulaya nilipiga kibarau kiwanda cha nondo kinamilikiwa na wahindi. Unajua wahindi walivyo wanabana na roho mbaya bado waliibiwa tu. Yani nondo zilikuwa zinarushwa juu ya uzio Tena nondo za kutosha. Ni nigger flani muaminifu aliwatonya mabosi. Kumbe deal lilihusisha hadi masupervisors waswahili yani Wanarusha nondo usiku kwenye fensi manigger wengine wanasubiri upande wa pili. Zoezi Hilo la wizi lilifanywa mwezi mmoja mfululizo. Ilibidi waongeze urefu wa fens.
Pia shoprite uchumi na nakumatt hawatawasahau watanzania. Yani wafanyakazi wanawaleta ndugu zao wanafanya shopping ya nguvu halafu wanapita kaunta bila kulipa. Kuja kushtuka ilishapita muda yani walipigwa Vijaya mno. Uongozi wa shoprite walishangaa sana kwasababu chain zao zingine zilizopo mataifa mengine ya Africa hawakushuhudia wizi kama huu halafu mshahara ukichelewa kidogo wanaandamana wanakuwawakalikama mbogo.
Upigaji bongo umeshahalalishwa kabisa it's now a genetic issue na tunarithiana.
Erythrocyte