Soma upate mawili matatu: Mhitimu mambo ninayopitia kipindi hiki katika harakati zangu


Pole, mbona hupatikani pm.
 
Mkuu naomba kuja dm kuna kitu tujadili.
 
 

Attachments

  • IMG_20200802_121941.jpg
    154.7 KB · Views: 8
Usijali mkuu kila kitu na muda wake na kila mtu na zali lake. Kuna dogo kadisco chuo mwaka jana lakini last week kapata kazi mkataba miaka 5 analipwa 2.7 milion kwa mwezi😂😂 na ana miaka 23 tu.
Hivyo usikate tamaa
Amina mkuu
 
mkuu jifunze kuuza...jifunze kuuza hochote hata elimu yako ulishindwa kuiiuza..mimi nilipostop kuuza nilistop kila kitu...mnaweza mkawa mnafanya kazi moja lakini mmoja akakuzidi kuuza marketing.... jifunze hata kuuza mtumba au nguo jiposition sehemu wjue wateja wako wape vitu wapendavyo ukijua kuuza unaweza ukauza kitu cha buku 2 kwa 10..usibishe..kama huna ubunifu mwingine jifunze kuuza hata shamba udalali...ukonda..utapiga hela soon
 
Sawasawa mkuu
 
Nakazia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…