Soma vitabu hivi uwajue mashujaa wa Uhuru wa Tanganyika

Soma vitabu hivi uwajue mashujaa wa Uhuru wa Tanganyika

Mohamed Said

JF-Expert Member
Joined
Nov 2, 2008
Posts
21,967
Reaction score
32,074
WATU MASHUHURI KATIKA UHURU WA TANGANYIKA

Vitabu hivi vina historia ya kusisimua ya wazalendo waliopigania uhuru wa Tanganyika katika chama cha TANU lakini historia imewasahau.

Ukianza kufungua ukurasa wa kwanza hutokiweka chini hadi umemaliza kukisoma.

Soma mazungumzo ya Tewa Said Tewa na Abdul Sykes usiku wa tarehe 16 April 1953 kuamkia siku ya uchaguzi wa Rais wa TAA Ukumbi wa Arnautoglo kati ya Abdul Sykes na Julius Nyerere.

Abdul kidogo alikuwa na hofu ya kukikabidhi chama kwa mtu ambae hawamjui vizuri sana.

Soma mkutano wa siri wa mkakati wa kuwashinda wapinzani wa Kura Tatu, Sheikh Suleiman Takadir, Zuberi Mtemvu na wengineo uliofanyika Tanga mwaka wa 1958 baina ya Sheikh Rashid Sembe, Hamisi Kheri na Julius Nyerere.

Soma historia ya Zuberi Mtemvu alivyohama TANU kuunda chama cha Congress kupinga Kura Tatu.

Haya ni katika kitabu cha kwanza.

Kitabu cha pili utamsoma Peter Mhando ambae baada ya kufanikiwa kuunda TANU Tanga alipewa uhamisho kwenda TANU Makao Makuu kuongeza nguvu.

Peter Mhando ndiye aliyeshauri Mkutano Mkuu wa TANU wa mwaka 1958 uliojadili Kura Tatu ufanyike Tabora.

Msome Salum Mpunga kutoka Lindi aliyekuja Dar es Salaam kuhudhuria Mkutano wa TANU wa kwanza Hindu Mandal Hall mwaka 1955.

Salum Mpunga ndiye aliyemwingiza Julius Nyerere na TANU Southern Province kulikokuwa na upinzani mkubwa wa TANU kwa kuwatia hofu wananchi kuwa TANU inatayarisha vita vingine vya Maji Maji dhidi ya Waingereza.

Soma utambue ni nani walikuwa wanaeneza fitna na propaganda hii dhidi ya ukombozi wa Tanganyika.

Soma pia historia ya mzalendo mwenzake Yusuf Chembera waliokuwa pamoja katika kuineza TANU kusini na kupigania uhuru wa Tanganyika.

Screenshot_20210811-111434_WhatsApp.jpg


Screenshot_20210811-121524_Photos.jpg


IMG-20170801-WA0005~2.jpg
 
Mohamed Said,

Mtafute Mh.Mudhihir Mohamed Mudhihir.

Anaweza kuwa hazina ya taarifa za harakati za TANU maeneo ya kusini mwa Tanganyika.

Nilimsikia Mudhihir ktk mahojiano na Azam TV akisema kwamba Baba yake Sheikh Mohamed Mudhihir alikuwa karibu na makada wa TANU wakina Lawi Sijaona na Athumani Kabongo waliokuwa wakifanya harakati maeneo ya kusini.
 
Mohamed Said,

..Mtafute Mh.Mudhihir Mohamed Mudhihir.

..anaweza kuwa hazina ya taarifa za harakati za TANU maeneo ya kusini mwa Tanganyika.

..nilimsikia Mudhihir ktk mahojiano na Azam TV akisema kwamba Baba yake Sheikh Mohamed Mudhihir alikuwa karibu na makada wa TANU wakina Lawi Sijaona na Athumani Kabongo waliokuwa wakifanya harakati maeneo ya kusini.
JK,
Wakati naanza kutafiti historia ya TANU katika miaka ya 1980 nilijulishwa kwa waasisi wa TANU waliokuwa Mtwara, Lindi na Mikindani.

Nilikwenda huko na nikakutananao na baadhi yao kama Salum Mpunga na Yusuf Chembera nimewaandikia kitabu kama shukurani yangu kwao.

Historia ya Lawi Sijaona nimeipata moja kwa moja kutoka Salum Mpunga na Yusuf Chembera ambao walinifahamisha kuwa Suleiman Masudi Mnonji ndiye aliyemleta kutoka kwao Nachingwea kuja Lindi kama mtumishi wa TAA.

Historia ya siasa ya Sijaona inaambatana na historia ya Suleiman Masudi Mnonji kuanzia enzi za TAA.

Yusuf Chembera alikuwa mwanafunzi wa Sheikh Yusuf Badi na ni yeye ndiye aliyemtua Sheikh wake katika TANU.

Kitendo hiki kiliipa nguvu sana TANU na Julius Nyerere alipofika Lindi safari ya pili madrasa ya Sheikh Badi ilimpokea Rais wa TANU kwa dufu na zafa.

Historia hii yote unaweza kuisoma kwa ukamilifu ndani ya kitabu cha Abdul Sykes.

Nina hakika Mudhihir anaijua vyema historia ya mashujaa hawa.

1628699672050.png


Lindi wamempa mtaa Sheikh Yusuf Badi kwa ajili ya mchango wake katika kupigania uhuru wa Tanganyika.
 
Kaka mkubwa asante kwa darsa ya bure lkn ya muhimu sana, tumeujua ukweli wa mapambano ya uhuru kupitia kwako.
 
najivunia sana uwepo wako humu ndani....japo kuna watu wanakubeza ila tupo wengi tunaokuelewa na kukukubari sana...mwenyezi Mungu akupe maisha marefu
 
najivunia sana uwepo wako humu ndani....japo kuna watu wanakubeza ila tupo wengi tunaokuelewa na kukukubari sana...mwenyezi Mungu akupe maisha marefu
Prince...
Ahsante sana.

Jukumu langu mimi ni kueleza historia kama ninavyoijua.

Simlazimishi yeyote kuniamini.

Mtu ana uhuru wa kuendelea kuamini historia rasmi.
 
Umeweka rejea humo kwenye kitabu au ni utashi wako
 
Umeweka rejea humo kwenye kitabu au ni utashi wako
Ed...
Mwandishi wa vitabu hivyo ana ujuzi wa kutosha mkague hapo chini:
  1. PUBLICATIONS/RESEARCH PAPERS/ARTICLES
  2. The Life and Times of Abdulwahid Sykes 1924 –1968 The Untold Story of the Muslim Struggle against British Colonialism in Tanganyika, Minerva Press London, 1998 translated into Kiswahili as Maisha na Nyakati za Abdulwahid Sykes 1924-1968 Historia Iliyofichwa Kuhusu Harakati za Waislam Dhidi ya Ukoloni wa Waingereza, Phoenix Publishers, Nairobi, 2002.
  3. The Torch on Kilimanjaro, Oxford University Press, Nairobi, 2006
  4. Contributing author for an African anthology: The Mermaid of Msambweni and Other Stories, Oxford University Press 2007, Nairobi.
  5. Contributing author Dictionary of African Biography (DAB), Oxford University Press 2011, New York.
  6. Uchaguzi wa Busara, Abantu Publications 2008, Dar es Salaam.
  7. In Praise of Ancestors (1987) Africa Events (London).
  8. Abdulwahid Sykes: Founder of Political Movement (1988) Africa Events (London).
  9. Islam and Politics in Tanzania (1989) Al Haq International (Karachi)
  10. The Plight of Tanzanian Muslim (1993) Change (Dar es Salaam).
  11. Tanzania - The "Secular" Unsecular State (1995) Change (Dar es Salaam).
  12. The Question of Muslim Stagnation in Education in Tanzania - A Muslim Riddle (Paper presented at the Conference of the Global World of the Swahili Intercultural Dialogue on the Indian Ocean Zanzibar, February 20 - 23, 2003).
  13. Islamic Education and Intellectualism in Eastern Africa ‘Themes from the Pulpit in Tanganyika (Tanzania Mainland) 1800 – 2000’ (Paper presented at International Symposium on Islamic Civilisation in Eastern Africa Kampala, Uganda organised by the Islamic Conference Research Centre for Islamic History, Art and Culture (IRCICA), Istanbul and the Islamic University in Uganda, Mbale December 15th – 17th 2003).
  14. Sheikh Hassan bin Ameir - The Moving Spirit of Muslim Emancipation in Tanganyika (1950 – 1968) (Paper presented at Youth Camp Organised by Zanzibar University, World Assembly of Muslim Youth (WAMY) and Tanzania Muslim Students Association (TAMSA) 27th February – 4th March 2004).
  15. Islamic Movement and the Christian Lobby in Tanzania - the Experience of the late Prof. Kighoma Ali Malima (1938 – 1995) (Paper Presented to Tanzania Muslim Students Association (TAMSA) Sokoine University of Agriculture (SUA) Morogoro 11th April 2004).
  16. Terrorism in East Africa the Tanzanian Experience (Paper Presented at the Conference on Islam, Terrorism and African Development University of Ibadan, Nigeria 8th - 10th February 2006).
  17. Al Marhum Sheikh Kassim bin Juma bin Khamis (1940 – 1994) and the Pork Riots of 1993. (Paper Presented at the Regional Conference on Islam in Eastern Africa: Islam Encounter with the Challenges of the 21st Century 1st - 3rd August 2006, Kenyatta University, Nairobi.
  18. 14. Muslim Bible Scholars of Tanzania – The Legacy of Sheikh Ahmed Deedat (1918 – 2005) Paper Presented at the International Symposium on Islamic Civilisation in Southern Africa Organised by The Organisation of Islamic Conference Research Centre for Islamic History, Art and Culture (IRCICA) The National AWQAF Foundation of South Africa (AWQAF SA 1 – 3 September 2006 University of Johannesburg.
  19. Tanzania: A Nation Without Heroes Seminar Organised by IFRA French Institute for Research in Africa and BIEA British Institute in East Africa 23rd and 24th September 2013 at IFRA Nairobi.
  20. Awards: Several Awards
  21. Visiting Scholar: (2011)
  22. University of Iowa, Iowa City, USA
  23. Northwestern University, Chicago, Illinois, USA
  24. Zentrum Moderner Orient (ZMO), Berlin.
  25. OTHER COUNTRIES VISITED
  26. Zambia, Ethiopia, Great Britain, Swaziland, Msumbiji, Zimbabwe, Zambia, Sudan, Egypt, Saudi Arabia, United Arab Emirates, Oman, Yemen, Uganda, Switzerland, Iran, France, Netherlands, Turkey and Abu Dhabi.
 
imekaa vema sana hii ndii historia ya kweli pia naomba kujua mbona kwenye pf yako umeweka picha ya soda hizo ina maana gani au kuna historia yake yeyote
Nawa...
Zoom hiyo picha utaona majina yangu.

Kuna wakati Coke katika juhudi zao za marketing waliandika majina kwenye chupa.
 
WATU MASHUHURI KATIKA UHURU WA TANGANYIKA

Vitabu hivi vina historia ya kusisimua ya wazalendo waliopigania uhuru wa Tanganyika katika chama cha TANU lakini historia imewasahau.

Ukianza kufungua ukurasa wa kwanza hutokiweka chini hadi umemaliza kukisoma.

Soma mazungumzo ya Tewa Said Tewa na Abdul Sykes usiku wa tarehe 16 April 1953 kuamkia siku ya uchaguzi wa Rais wa TAA Ukumbi wa Arnautoglo kati ya Abdul Sykes na Julius Nyerere.

Abdul kidogo alikuwa na hofu ya kukikabidhi chama kwa mtu ambae hawamjui vizuri sana.

Soma mkutano wa siri wa mkakati wa kuwashinda wapinzani wa Kura Tatu, Sheikh Suleiman Takadir, Zuberi Mtemvu na wengineo uliofanyika Tanga mwaka wa 1958 baina ya Sheikh Rashid Sembe, Hamisi Kheri na Julius Nyerere.

Soma historia ya Zuberi Mtemvu alivyohama TANU kuunda chama cha Congress kupinga Kura Tatu.

Haya ni katika kitabu cha kwanza.

Kitabu cha pili utamsoma Peter Mhando ambae baada ya kufanikiwa kuunda TANU Tanga alipewa uhamisho kwenda TANU Makao Makuu kuongeza nguvu.

Peter Mhando ndiye aliyeshauri Mkutano Mkuu wa TANU wa mwaka 1958 uliojadili Kura Tatu ufanyike Tabora.

Msome Salum Mpunga kutoka Lindi aliyekuja Dar es Salaam kuhudhuria Mkutano wa TANU wa kwanza Hindu Mandal Hall mwaka 1955.

Salum Mpunga ndiye aliyemwingiza Julius Nyerere na TANU Southern Province kulikokuwa na upinzani mkubwa wa TANU kwa kuwatia hofu wananchi kuwa TANU inatayarisha vita vingine vya Maji Maji dhidi ya Waingereza.

Soma utambue ni nani walikuwa wanaeneza fitna na propaganda hii dhidi ya ukombozi wa Tanganyika.

Soma pia historia ya mzalendo mwenzake Yusuf Chembera waliokuwa pamoja katika kuineza TANU kusini na kupigania uhuru wa Tanganyika.

Wewe ni mdini sawa na magufuli tu,
Enzi za JK ulikua hukomi humu JF kwa uchochezi.
Akaja JPM ulipotea kama upepo wa kisulisuli, sasa kaja Maza umerudi kuchokonoa.

Hebu tueleze na historia ya CORONA maana mahadithi yako yasio na utafiti wa kisayansi na yasiyokua na tija huko mbeleni yanachosha
 
Prince...
Ahsante sana.

Jukumu langu mimi ni kueleza historia kama ninavyoijua.

Simlazimishi yeyote kuniamini.

Mtu ana uhuru wa kuendelea kuamini historia rasmi.
Historia ibaki kuwa historia(past events) sasa tuko zama za kidigitali, usiturejeshe kwenye utumwa wa kukariri
 
Wewe ni mdini sawa na magufuli tu,
Enzi za JK ulikua hukomi humu JF kwa uchochezi.
Akaja JPM ulipotea kama upepo wa kisulisuli, sasa kaja Maza umerudi kuchokonoa.

Hebu tueleze na historia ya CORONA maana mahadithi yako yasio na utafiti wa kisayansi na yasiyokua na tija huko mbeleni yanachosha
Telegram,
Sina uwezo wa kukuzuia kuniita majina.
Sijapatapo kuacha kuandika.

Ukitaka ushahidi rudi nyuma hapa JF uangalie michango yangu na si hapa peke yake bali hata kwenye radio, TV na magazeti.

Ungefanya utafiti mdogo tu ungefahamu nimeandika vitabu, vingapi, nimealikwa vyuo vikuu vingapi Afrika, Ulaya na Marekani kuzungumza nk. nk. usingegusa sayansi na utafiti.

Ikiwa umechoka kunisoma uamuzi unao mwenyewe kwani hulazimishwi na mtu kusoma niandikacho.

Nimo katika academic journals kadhaa na hizi hazichapi chembelecho, "mahadithi."
 
Historia ibaki kuwa historia(past events) sasa tuko zama za kidigitali, usiturejeshe kwenye utumwa wa kukariri
Telegram,
Sijaweza kukujibu kwa sababu sijaelewa uhusiano wa "digital" na "kukariri."

Tafadhali nifafanulie.
 
WATU MASHUHURI KATIKA UHURU WA TANGANYIKA

Vitabu hivi vina historia ya kusisimua ya wazalendo waliopigania uhuru wa Tanganyika katika chama cha TANU lakini historia imewasahau.

Ukianza kufungua ukurasa wa kwanza hutokiweka chini hadi umemaliza kukisoma.

Soma mazungumzo ya Tewa Said Tewa na Abdul Sykes usiku wa tarehe 16 April 1953 kuamkia siku ya uchaguzi wa Rais wa TAA Ukumbi wa Arnautoglo kati ya Abdul Sykes na Julius Nyerere.

Abdul kidogo alikuwa na hofu ya kukikabidhi chama kwa mtu ambae hawamjui vizuri sana.

Soma mkutano wa siri wa mkakati wa kuwashinda wapinzani wa Kura Tatu, Sheikh Suleiman Takadir, Zuberi Mtemvu na wengineo uliofanyika Tanga mwaka wa 1958 baina ya Sheikh Rashid Sembe, Hamisi Kheri na Julius Nyerere.

Soma historia ya Zuberi Mtemvu alivyohama TANU kuunda chama cha Congress kupinga Kura Tatu.

Haya ni katika kitabu cha kwanza.

Kitabu cha pili utamsoma Peter Mhando ambae baada ya kufanikiwa kuunda TANU Tanga alipewa uhamisho kwenda TANU Makao Makuu kuongeza nguvu.

Peter Mhando ndiye aliyeshauri Mkutano Mkuu wa TANU wa mwaka 1958 uliojadili Kura Tatu ufanyike Tabora.

Msome Salum Mpunga kutoka Lindi aliyekuja Dar es Salaam kuhudhuria Mkutano wa TANU wa kwanza Hindu Mandal Hall mwaka 1955.

Salum Mpunga ndiye aliyemwingiza Julius Nyerere na TANU Southern Province kulikokuwa na upinzani mkubwa wa TANU kwa kuwatia hofu wananchi kuwa TANU inatayarisha vita vingine vya Maji Maji dhidi ya Waingereza.

Soma utambue ni nani walikuwa wanaeneza fitna na propaganda hii dhidi ya ukombozi wa Tanganyika.

Soma pia historia ya mzalendo mwenzake Yusuf Chembera waliokuwa pamoja katika kuineza TANU kusini na kupigania uhuru wa Tanganyika.


Nyie ndio watu muhimu katika taifa hili. Huu ndio msingi wa taifa na uzalendo, this kind of national background history ni nguzo ya kucement dhana ya Uhuru na Umoja. Thank you very much, ukiacha namba ya simu weka orodha ya mikoa na mahala vinapouzwa
 
Telegram,
Sijaweza kukujibu kwa sababu sijaelewa uhusiano wa "digital" na "kukariri."

Tafadhali nifafanulie.
Kweli ameandika very rubbish, mud, with animosity. He is of more mentally ill person, sijui kapata wapi uthubutu wa dhihaka na hio kejeli.
 
Ed...
Mwandishi wa vitabu hivyo ana ujuzi wa kutosha mkague hapo chini:
  1. PUBLICATIONS/RESEARCH PAPERS/ARTICLES
  2. The Life and Times of Abdulwahid Sykes 1924 –1968 The Untold Story of the Muslim Struggle against British Colonialism in Tanganyika, Minerva Press London, 1998 translated into Kiswahili as Maisha na Nyakati za Abdulwahid Sykes 1924-1968 Historia Iliyofichwa Kuhusu Harakati za Waislam Dhidi ya Ukoloni wa Waingereza, Phoenix Publishers, Nairobi, 2002.
  3. The Torch on Kilimanjaro, Oxford University Press, Nairobi, 2006
  4. Contributing author for an African anthology: The Mermaid of Msambweni and Other Stories, Oxford University Press 2007, Nairobi.
  5. Contributing author Dictionary of African Biography (DAB), Oxford University Press 2011, New York.
  6. Uchaguzi wa Busara, Abantu Publications 2008, Dar es Salaam.
  7. In Praise of Ancestors (1987) Africa Events (London).
  8. Abdulwahid Sykes: Founder of Political Movement (1988) Africa Events (London).
  9. Islam and Politics in Tanzania (1989) Al Haq International (Karachi)
  10. The Plight of Tanzanian Muslim (1993) Change (Dar es Salaam).
  11. Tanzania - The "Secular" Unsecular State (1995) Change (Dar es Salaam).
  12. The Question of Muslim Stagnation in Education in Tanzania - A Muslim Riddle (Paper presented at the Conference of the Global World of the Swahili Intercultural Dialogue on the Indian Ocean Zanzibar, February 20 - 23, 2003).
  13. Islamic Education and Intellectualism in Eastern Africa ‘Themes from the Pulpit in Tanganyika (Tanzania Mainland) 1800 – 2000’ (Paper presented at International Symposium on Islamic Civilisation in Eastern Africa Kampala, Uganda organised by the Islamic Conference Research Centre for Islamic History, Art and Culture (IRCICA), Istanbul and the Islamic University in Uganda, Mbale December 15th – 17th 2003).
  14. Sheikh Hassan bin Ameir - The Moving Spirit of Muslim Emancipation in Tanganyika (1950 – 1968) (Paper presented at Youth Camp Organised by Zanzibar University, World Assembly of Muslim Youth (WAMY) and Tanzania Muslim Students Association (TAMSA) 27th February – 4th March 2004).
  15. Islamic Movement and the Christian Lobby in Tanzania - the Experience of the late Prof. Kighoma Ali Malima (1938 – 1995) (Paper Presented to Tanzania Muslim Students Association (TAMSA) Sokoine University of Agriculture (SUA) Morogoro 11th April 2004).
  16. Terrorism in East Africa the Tanzanian Experience (Paper Presented at the Conference on Islam, Terrorism and African Development University of Ibadan, Nigeria 8th - 10th February 2006).
  17. Al Marhum Sheikh Kassim bin Juma bin Khamis (1940 – 1994) and the Pork Riots of 1993. (Paper Presented at the Regional Conference on Islam in Eastern Africa: Islam Encounter with the Challenges of the 21st Century 1st - 3rd August 2006, Kenyatta University, Nairobi.
  18. 14. Muslim Bible Scholars of Tanzania – The Legacy of Sheikh Ahmed Deedat (1918 – 2005) Paper Presented at the International Symposium on Islamic Civilisation in Southern Africa Organised by The Organisation of Islamic Conference Research Centre for Islamic History, Art and Culture (IRCICA) The National AWQAF Foundation of South Africa (AWQAF SA 1 – 3 September 2006 University of Johannesburg.
  19. Tanzania: A Nation Without Heroes Seminar Organised by IFRA French Institute for Research in Africa and BIEA British Institute in East Africa 23rd and 24th September 2013 at IFRA Nairobi.
  20. Awards: Several Awards
  21. Visiting Scholar: (2011)
  22. University of Iowa, Iowa City, USA
  23. Northwestern University, Chicago, Illinois, USA
  24. Zentrum Moderner Orient (ZMO), Berlin.
  25. OTHER COUNTRIES VISITED
  26. Zambia, Ethiopia, Great Britain, Swaziland, Msumbiji, Zimbabwe, Zambia, Sudan, Egypt, Saudi Arabia, United Arab Emirates, Oman, Yemen, Uganda, Switzerland, Iran, France, Netherlands, Turkey and Abu Dhabi.
He is skewed towards islam so much, je upeo wake na fani yake ni kuhusu uisilamu tu kuhusu nchi hii, hio c ya maandiko yake. kila la kheri kama analenga kutetea uisilamu na historia ya tanganyika
 
Kuna watu wanachukia ukiwataja watu wengine kama nao wameshiriki katika harakati za kutafuta uhuru wa Tanganyika wao wanataka wasie Nyerere tu.
 
Back
Top Bottom