Somalia Arrests minister of security of Jubaland

Hahahaha, Hahahaha, Ethiopia haina uwezo wa kuipiga Kenya.....Hahahaha, Hahahaha, Hahahaha, Hahahaha.

Waingereza wapo na kambi zao ndani ya Kenya watawasaidia...haaaaaaaaaaa.
Matumaini yenu ya kuipiku Kenya yamekwisha tu hivo juu ya muingereza...poleni sana, kubalini tu your new number in EAC #3 πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ kumbuka mkiwa #2 vile mlipiga kelele wa kuipiku Kenya 😁😁
 
Sababu tunajitambua...si ulisema Kenya ni mabibi wa wazungu? Mbona hapa unajikanusha mwenyewe ama unasahau haraka Kama akili ya ngiri?

Sababu nyinyi mnatambulika na kufikisha Sana na hamna kiburi na hamjifanyi wajuaji, si mrudishiwe Ndege yenu kule OR Tambo πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ bure kabisa meffy ya coocoo.
 
Tafuna hiyo ngozi vizuri, itaacha hizo dharau, na atafunza kwao na uzao wake.
Ni vile hajapata wa kumshikashika vizuri ndio maana bado ana madharau
 
Reactions: Oii
Ni vile hajapata wa kumshikashika vizuri ndio maana bado ana madharau
Si ndio shida yenyu nyinyi wakenya hadi kina mama zenyu huwaga wanaandamana bhana. [emoji12] [emoji13] [emoji1]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…