Somalia Arrests minister of security of Jubaland

Somalia Arrests minister of security of Jubaland

Hahahaha, Hahahaha, Ethiopia haina uwezo wa kuipiga Kenya.....Hahahaha, Hahahaha, Hahahaha, Hahahaha.

Waingereza wapo na kambi zao ndani ya Kenya watawasaidia...haaaaaaaaaaa.
Matumaini yenu ya kuipiku Kenya yamekwisha tu hivo juu ya muingereza...poleni sana, kubalini tu your new number in EAC #3 😂😂😂😂 kumbuka mkiwa #2 vile mlipiga kelele wa kuipiku Kenya 😁😁
 
Hahahaha, Hahahaha, Hahahaha, I know why?
This is why😂😂😂
Screenshot_20190903-072941.png
 
Hii inathibitisha ule usemi wa watanzania kwamba wakenya mpo na akili ndogo sana na hamna kitu mnachojua zaidi ya kujifanya wajuaji.

Hizo states zote ulizozitaja hazikubaliki wala hazitambuliki na UN wala na Serikali ya Mogadishu, kinachosubiriwa ni kuimarika kwa serikali ya Mogadishu ili iweze kudhibiti nchi na usalama ili zirudi kuwa chini ya Somalia moja.

Marekani na nchi za Ulaya mwaka juzi zilitoa onyo kwa Kenya ilipoanzisha "Jubaland initiative", kwamba ni muendelezo wa kuigawanya Somalia na kwamba haikubaliki, ndio sababu kubwa ya nchi za Magharibi kushirikiana na Farmaajo katika kupinga Ombi la Kenya kutaka kundi la Alshabaab kuwekwa katika orodha ya magaidi.

Kenya mtaendelea kutengwa na jumuiya ya kimataifa kutokana na kiburi chenu cha kujifanya wajuaji na kutaka kila nchi iwasikilize ninyi.
Sababu tunajitambua...si ulisema Kenya ni mabibi wa wazungu? Mbona hapa unajikanusha mwenyewe ama unasahau haraka Kama akili ya ngiri?

Sababu nyinyi mnatambulika na kufikisha Sana na hamna kiburi na hamjifanyi wajuaji, si mrudishiwe Ndege yenu kule OR Tambo 😂😂😂 bure kabisa meffy ya coocoo.
 
Tafuna hiyo ngozi vizuri, itaacha hizo dharau, na atafunza kwao na uzao wake.
Ni vile hajapata wa kumshikashika vizuri ndio maana bado ana madharau
 
  • Thanks
Reactions: Oii
Ni vile hajapata wa kumshikashika vizuri ndio maana bado ana madharau
Si ndio shida yenyu nyinyi wakenya hadi kina mama zenyu huwaga wanaandamana bhana. [emoji12] [emoji13] [emoji1]
 
Back
Top Bottom