Somalia: Helikopta ya Umoja wa Mataifa (UN) yashikiliwa na Al-Shabab ikiwa na abiria

Sio kweli hicho ulichokiandika hakiendan na hoja iliyoulizwa.
Hao wababe wa kivita wanapigania madaraka ili wapate kuisimamisha serikali itakayoendeshwa kwamujibu wadini ya kiislam na hukmu zake, tofauti na hiyo iliyopo sasahiv inafata misingi ya kikafiri.
 

No wonder mafundisho yao yamejaa kungonoka ukiachana na chuki dhidi ya ukristo na uyahudi.
 
Ila mkuu maadam bado uko hai usijiwekee mipaka. Mimi hata gaza saivi ukinipa mchongo naenda.
Sikudhani nitafika somalia but kutokana na maisha kuwa hayana huruma unajitungua tuu
We kama mm mkuu safi sana
NLikua na dili huko somalia bahat mbaya likabuma. mm hata gaza huko israel nakwenda popote pale.
 

Wababe wa vita au magaidi ya kidini,soon huu upuuzi utaisha dunia inajiandaa.
 
Halafu umsikilize Sheikh Kipozeo akielezea wasifu wa hizi pisi za peponi sasa; na hiyo mito ya pombe tamu ambazo hata ukilewa hakuna hangover. Usipokuwa makini unaweza kusilimu aisee 😁😁

 
Hiyo ndo ile ukichimama nchale, ukikaa nchale.
Ni dua tu zinahitajika hapo la sivyo lolote litatokea
 
Umoja wa mahakama za kiislam ulianza harakati 2000s mwanzoni,kufika 2006 waliichukua somalia yote,ikawa imetulia,wakaingia marekani na wenzao kuwapiga umoja wa mahakama za kiislam,hapajatulia Hadi leo
 
Sasa nawao si wangeikokota mpaka mogadishu

Ila wanajuana na wataokolewa wakiwa salama kwaushirikiano wa muasisi wao Americant
Mliozoea kukokota magari mabovu mna mawazo mabovu sana. Unajua ajali ya helicopter ikoje?
 
mantiki ya haya makundi huwa sielewi, kikubwa huwa yanahitaji nini?
Mantiki ya makundi mengine inafahamika Ila alshabaab Hawa jamaa Ni ukabila unawasumbua.
Nchi za asili ya kisomali(Ethiopia,Eritrea,Djibouti,Somalia) zinaendeshwa Sana kikabila.
Hao alshabaab Wana Kabila Lao linataka liongoze tofauti Na linaloongoza sasahiv Kama ilivyo Tigray Ethiopia .
 
Halafu umsikilize Sheikh Kipozeo akielezea wasifu wa hizi pisi za peponi sasa; na hiyo mito ya pombe tamu ambazo hata ukilewa hakuna hangover. Usipokuwa makini unaweza kusilimu aisee 😁😁

View attachment 2868222
Faiza naye atakuwa hivi.🀣🀣🀣 Kumbe tusilimu jamani tutakosa mengi. 🀣🀣🀣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…