Somalia, nchi inayopiga marufuku kusherehekea Krismas, yapanga kuomba kuingia EAC

Somalia, nchi inayopiga marufuku kusherehekea Krismas, yapanga kuomba kuingia EAC

Waje wote tu, hata batoto Bakongo (DRC) wamekawia sana..
Krisimasi isiwe issue, binafsi nimesheherekea Krisimasi Zanzibar na hofu niliyokua nayo ya kumwagiwa tindi kali ikatokea kuwa ujinga wangu tu maana Wazenji ni watu wakarimu sana. Pia wao wameserebuka sana kwenye Krisimasi.

Wasomali ni watu wenye bidii sana, napenda wanavyojituma, haya masuala ya dini ndio yanawaangusha na kuwachelewesha. Yaani dini inafaa kuleta amani lakini inakua ndio chanzo cha mauaji na mateso.
Hahahaaa uliponea once.....ww Zanzibar umeenda kutalii tu. Tuulize ss tuliokaa huko
 
Wazungu wenyewe waliotuletea Krismasi wanaanza kuipiga marufuku polepole, ije kuwa Somalia? Kwani tatizo ni nini? Si ni nchi yao? Zaidi ya 98% ya Wananchi wa Somalia ni Waislamu hivyo hakuna atakayedhurika, binafsi napendekeza Somalia iingie AM, kwani Wasomali watatusaidia sana kuijenga AM kiuchumi, Wasomali ni jamii ya watu wanaojiamini na wanaojituma sana na wakitulia na mambo ya yakipoa Somalia hakuna nchi ya kushindana na Somalia kiuchumi hapa Afrika hata Wazungu wanalijua hilo na ndiyo maana hawataki Somalia itulie!
Umenena vyema,wakati mwingine nina mashaka na kutokutulia kwa nchi za Africa,kiukweli wazungu hawapendi kutuona hata ktk uso wa hii dunia
 
Kwanza wasomalia 100% ni waislam wamadhebu ya sunni na niwanachama wa jumuia ya nchi za kiislam na mwanachama wa nchi za kiarabu na ijumaa ndio siku ya mapumziko kwa wiki.
Basi somalia haijawahi kusherehekea Christmas toka taifa hilo liundwe, kwa hivo kupiga marufuku siyo kosa kwa kuwa wao ni taifa la kiislam.
Kuhusu kuomba kwao kujiunga JUMUIA YA EAST AFRICA, kwa kuwa tu wamepiga marufuku sherehe za Christmas, hawawezi wakataliwa kawa kuwa, JUMUIA YA EAST AFRICA, SIO TAASISI YA KIKIRISTO .
.

Kaka wao ni 100% Waislam sasa wanampiga nani marufuku?,
 
Mkuu ukisia nchi yenye watu millioni 10, 100% ni waislam kwenye watu hao unaweza ukapata watu 1000, sio waislam ni wakiristu na wengine wageni (sio raia ), sasa basi mahala penye waumini wa kikiristu 1000, lazima hao waumini watakua na hamu ya kusherehekea siku Kuu za dini yao
 
Wazungu wenyewe waliotuletea Krismasi wanaanza kuipiga marufuku polepole, ije kuwa Somalia? Kwani tatizo ni nini? Si ni nchi yao? Zaidi ya 98% ya Wananchi wa Somalia ni Waislamu hivyo hakuna atakayedhurika, binafsi napendekeza Somalia iingie AM, kwani Wasomali watatusaidia sana kuijenga AM kiuchumi, Wasomali ni jamii ya watu wanaojiamini na wanaojituma sana na wakitulia na mambo ya yakipoa Somalia hakuna nchi ya kushindana na Somalia kiuchumi hapa Afrika hata Wazungu wanalijua hilo na ndiyo maana hawataki Somalia itulie!
Are mentally fit?? What African are you talking about somalia to lead ?? Utakuwa zwazwa wewe
 
Christmas.. is your point..!
You would like to potray as if EAC is a Christian club..so Somali being a muslim county does not qualify..
Frank speaking Somali is more to EA compared to Burundi Rwanda and Juba.
Am sure Kenya Uganda will have no objection...Tanzania will mind...other do not care
Of course we will. Smuggling weapons is not our fashion.

Christian Club is not the case here buddy. The issue is RESPECT FOR BASIC HUMAN RIGHTS among member countries. Ndege wa aina moja, huruka pamoja. If Somalia is one religion country, then it is not our type. EAC is not only about business men!
 
Of course we will. Smuggling weapons is not our fashion.

Christian Club is not the case here buddy. The issue is RESPECT FOR BASIC HUMAN RIGHTS among member countries. Ndege wa aina moja, huruka pamoja. If Somalia is one religion country, then it is not our type. EAC is not only about business men!
So somali is case study ? thts funny..do you have human rights in UG? RW ? BU? ...Juba is worst...
we all know Somali was an active & very cooperative member internatiinal community.
what happened during wars and interference is not the wishes of majority of somali people...Now they are putting together their country. Kenya and Uganda have spent a lot to help . Their solders died too and suffered at home. All these sacrifices are not done with purposes...they need peaceful somali to exist withing EA....
Christmas holidays in somali is like telling kenya to make diwali a public holiday!
however there is some thing fishy about EA...
Khatoum was denied membership....while Juba was accepted...defunately religion was the reason...
 
Hvi Tanzania Hamna news ??

Kila saa kupost news za Kenya mbona???

Kaeni kwenu
 
Christmas.. is your point..!
You would like to potray as if EAC is a Christian club..so Somali being a muslim county does not qualify..
Frank speaking Somali is more to EA compared to Burundi Rwanda and Juba.
Am sure Kenya Uganda will have no objection...Tanzania will mind...other do not care
True .....
I have seen scratch that I know More Somalis In my life Than Rwandans Tanzanians Ugandans and Burundis Combined ....

I lived in Shabaab Nakuru Somali HQ ....
 
Ahaaa...then No Eid celebration in Uganda,Burundi Rwanda even Juba
Islamic holidays are only recognized in Tz and Ke.
in Ke they have only one day muslim holiday..in Tz we have 3.
i think this is not an issue..every country has the right to set its holidays.
[emoji108][emoji106][emoji115]this guy knows what he is saying!!
 
EAC should be an exclusive club where you are invited, you don't invite yourself then wait for approval... The moment we accepted S.Sudan without placing it in some kind of observer status EAC became a whore
EAC should Have been
All of Greater Eastern Africa

Sudan
Ssudan
Eritrea mpaka Drc Na malawi The larger we are The better my thoughts .....Kwanza DRC ikiingia na Sudan Baaas!!!
 
The larger EAC is the more EACans will Benefit when we get our shit together and become a federation .....Doesnt matter whether muslim or christians ...Hata USA kuna an approximately 748,000km2 of land That is Tribal land That is Kenya and Uganda combined .that is to say White people are not allowed into an Area equal to Kenya and Uganda in USA .....
 
Waje wote tu, hata batoto Bakongo (DRC) wamekawia sana..
Krisimasi isiwe issue, binafsi nimesheherekea Krisimasi Zanzibar na hofu niliyokua nayo ya kumwagiwa tindi kali ikatokea kuwa ujinga wangu tu maana Wazenji ni watu wakarimu sana. Pia wao wameserebuka sana kwenye Krisimasi.

Wasomali ni watu wenye bidii sana, napenda wanavyojituma, haya masuala ya dini ndio yanawaangusha na kuwachelewesha. Yaani dini inafaa kuleta amani lakini inakua ndio chanzo cha mauaji na mateso.
Yaaaaas Kwanza Drc Ikiingia we will control Smartphone and Computer market worldwide Hata sisi Tuanze ku dictate To the west
 
Ahaaa...then No Eid celebration in Uganda,Burundi Rwanda even Juba
Islamic holidays are only recognized in Tz and Ke.
in Ke they have only one day muslim holiday..in Tz we have 3.
i think this is not an issue..every country has the right to set its holidays.
Watch your facts well man. Kenya observes two Muslim holidays.
 
Nimesema wanaanza kupiga marufuku pole pole, sasa hivi USA ma-neoliberals hawasemi tena Marry X-mas bali wanasema ,,Happy hollidays" na Ulaya hivyo hivyo wameshaanza kuhoji misalaba mashuleni na kwenye maeneo ya wazi na kuna baadhi ya Miji wameanza kuondoa Sanamu za kidini zilizokuwepo kwa karne nyingi tu!
Acha kudanganya watu ulaya IPI unayoijua wewe,unadhani wote tuko Tanzania
 
Acha kudanganya watu ulaya IPI unayoijua wewe,unadhani wote tuko Tanzania


Uingereza yenyewe tayari Krismasi ilishawahi kupigwa marufuku soma vizuri kuhusu the Puritans rule in England, tarehe 25.Desemba ilipigwa marufuku kusherehekea Krismasi!
Taitzo Wazungu mnapenda kuwaiga lkn tatizo hamuwaelewi, someni sana ili mjikomboe!
 
Wazungu wenyewe waliotuletea Krismasi wanaanza kuipiga marufuku polepole, ije kuwa Somalia? Kwani tatizo ni nini? Si ni nchi yao? Zaidi ya 98% ya Wananchi wa Somalia ni Waislamu hivyo hakuna atakayedhurika, binafsi napendekeza Somalia iingie AM, kwani Wasomali watatusaidia sana kuijenga AM kiuchumi, Wasomali ni jamii ya watu wanaojiamini na wanaojituma sana na wakitulia na mambo ya yakipoa Somalia hakuna nchi ya kushindana na Somalia kiuchumi hapa Afrika hata Wazungu wanalijua hilo na ndiyo maana hawataki Somalia itulie!
OK, kwa nini wasipige marufuku Idd? Bado huoni tatizo? Kama 98% ni waislam wanaogopa nini kutoa uhuru wa kuabudu watu wake 2%? Umesema ulaya wanaipa kisogo. Je umewahi kusikia wakiipga marufuku au hata hiyo Idd? Think out of the box.

Hii maana yake ni kuwa Somalia bado haijastaarabika.
 
Hii habari ya political inbalance mara unstable country , mara different region huna point unachachawa tu kwani lazima kuandika?hebu review conditions za kujiunga na bloc kwa ndio upayuke kama ni krismas kila nchi ina katiba yake na sheria zake za ndani as long hawajavunja katiba ya bloc mm sioni tatizo tusitoke mapovu bure .

It's a simple political science view, a majority demographic influence and change policy, rules and geopolitics. This is the same case with other unions, they just don't admit any Tom and Dick, its the reason EU and NATO won't admit Ukraine and Turkey to their Union. Its the reason why USA won't admit a mojority colored Pueto Rico into their Federation. Every union does everything to maintain their culture and way of life.

Somali admission itiwe maji hadi pale EAC summit watakopoleta amani South Sudan vile walisema watatumia diplomacy na sanctions kuleta amani. Kuingiza Somalia ni kuongeza mzigo wa instability.

Kama hii ingekuwa mada ya kristmasi haungenipata kwa huu uzi.

Kuandika tutaandika. Hakuna aliyekulazimisha kusoma chochote hapa.
 
Back
Top Bottom