Somalia, nchi inayopiga marufuku kusherehekea Krismas, yapanga kuomba kuingia EAC

Somalia, nchi inayopiga marufuku kusherehekea Krismas, yapanga kuomba kuingia EAC

Ili uruhusu wanaotaka kusherehekea si ni lazima wawepo? Na kwa kusema kuruhusu umaanisha nini? Au unafikiri wakisema hawaruhusu Krismasi unafikri Mkristo akisherehekea nyumbani kwake atanyongwa? Ninyi ndo wagumu kuelewa, kwa kupiga marufuku maana yake ni kwamba Krismasi haitambuliki kama sikukuu ya Kitaifa nchini Somalia na sababu ni kwamba > 98% ya wakazi wa Somalia ni Waislamu, sasa ni kipi kigumu kuelewa hapo?

Hivi mbona haulalamikii Uchina kupiga marufuku Krismasi au Iddi? Lakini mbona kuna Wakristo na Waislamu wengi tu wanaishi na kufanya kazi Uchina? Vile vile Suadia au hata nchini Cuba Krismasi imepigwa marufuku lkn mbona kuna watu wanaishi huko Wakristo? Kuna Watanzania wamesoma Cuba mbona hawakunyongwa kwa kusherehekea Krismasi?
Mpaka wanafikia kupiga marufuku ina maana wapo waliokuwa wanasherekea.

Au unafikiri kinyumenyume?
 
Hahahaaa uliponea once.....ww Zanzibar umeenda kutalii tu. Tuulize ss tuliokaa huko

Niliyoyaona pale yalinishangaza sana, sikutegemea Zanzibar wamepinda kiasi hicho maana nilikua nimesoma taarifa jinsi wao humwagia watu tindi kali.
Nilikatiza maeneo yote ya burudani ikiwemo Bwawani, Ngalawa, CCM n.k. Nilishangaa kuona kuna hadi mashoga na wasagaji wanajianika balaa, kwanza kule wanakoita shamba. Halafu mnyama analiwa tu bila siri.

Anyway zaidi ya yote tulikaribishwa vizuri sana maana tulikua kundi. Tuliserebuka na kujiachia usiku wote. DJ walikua wanacheza nyimbo tunazochagua, nyimbo za Kenya na hata za Kibongo, kwanza wimbo wa Darasa ulinoga sana. Ilikua raha pale DJ anasema 'recognizing Kenyans and Ugandans in the house'..... yaani akisema hilo tu beer zinawaendea madj hadi wanakoma.
 
Back
Top Bottom