Hahahaaa uliponea once.....ww Zanzibar umeenda kutalii tu. Tuulize ss tuliokaa hukoWaje wote tu, hata batoto Bakongo (DRC) wamekawia sana..
Krisimasi isiwe issue, binafsi nimesheherekea Krisimasi Zanzibar na hofu niliyokua nayo ya kumwagiwa tindi kali ikatokea kuwa ujinga wangu tu maana Wazenji ni watu wakarimu sana. Pia wao wameserebuka sana kwenye Krisimasi.
Wasomali ni watu wenye bidii sana, napenda wanavyojituma, haya masuala ya dini ndio yanawaangusha na kuwachelewesha. Yaani dini inafaa kuleta amani lakini inakua ndio chanzo cha mauaji na mateso.
Umenena vyema,wakati mwingine nina mashaka na kutokutulia kwa nchi za Africa,kiukweli wazungu hawapendi kutuona hata ktk uso wa hii duniaWazungu wenyewe waliotuletea Krismasi wanaanza kuipiga marufuku polepole, ije kuwa Somalia? Kwani tatizo ni nini? Si ni nchi yao? Zaidi ya 98% ya Wananchi wa Somalia ni Waislamu hivyo hakuna atakayedhurika, binafsi napendekeza Somalia iingie AM, kwani Wasomali watatusaidia sana kuijenga AM kiuchumi, Wasomali ni jamii ya watu wanaojiamini na wanaojituma sana na wakitulia na mambo ya yakipoa Somalia hakuna nchi ya kushindana na Somalia kiuchumi hapa Afrika hata Wazungu wanalijua hilo na ndiyo maana hawataki Somalia itulie!
Kwanza wasomalia 100% ni waislam wamadhebu ya sunni na niwanachama wa jumuia ya nchi za kiislam na mwanachama wa nchi za kiarabu na ijumaa ndio siku ya mapumziko kwa wiki.
Basi somalia haijawahi kusherehekea Christmas toka taifa hilo liundwe, kwa hivo kupiga marufuku siyo kosa kwa kuwa wao ni taifa la kiislam.
Kuhusu kuomba kwao kujiunga JUMUIA YA EAST AFRICA, kwa kuwa tu wamepiga marufuku sherehe za Christmas, hawawezi wakataliwa kawa kuwa, JUMUIA YA EAST AFRICA, SIO TAASISI YA KIKIRISTO .
.
Are mentally fit?? What African are you talking about somalia to lead ?? Utakuwa zwazwa weweWazungu wenyewe waliotuletea Krismasi wanaanza kuipiga marufuku polepole, ije kuwa Somalia? Kwani tatizo ni nini? Si ni nchi yao? Zaidi ya 98% ya Wananchi wa Somalia ni Waislamu hivyo hakuna atakayedhurika, binafsi napendekeza Somalia iingie AM, kwani Wasomali watatusaidia sana kuijenga AM kiuchumi, Wasomali ni jamii ya watu wanaojiamini na wanaojituma sana na wakitulia na mambo ya yakipoa Somalia hakuna nchi ya kushindana na Somalia kiuchumi hapa Afrika hata Wazungu wanalijua hilo na ndiyo maana hawataki Somalia itulie!
Of course we will. Smuggling weapons is not our fashion.Christmas.. is your point..!
You would like to potray as if EAC is a Christian club..so Somali being a muslim county does not qualify..
Frank speaking Somali is more to EA compared to Burundi Rwanda and Juba.
Am sure Kenya Uganda will have no objection...Tanzania will mind...other do not care
So somali is case study ? thts funny..do you have human rights in UG? RW ? BU? ...Juba is worst...Of course we will. Smuggling weapons is not our fashion.
Christian Club is not the case here buddy. The issue is RESPECT FOR BASIC HUMAN RIGHTS among member countries. Ndege wa aina moja, huruka pamoja. If Somalia is one religion country, then it is not our type. EAC is not only about business men!
True .....Christmas.. is your point..!
You would like to potray as if EAC is a Christian club..so Somali being a muslim county does not qualify..
Frank speaking Somali is more to EA compared to Burundi Rwanda and Juba.
Am sure Kenya Uganda will have no objection...Tanzania will mind...other do not care
[emoji108][emoji106][emoji115]this guy knows what he is saying!!Ahaaa...then No Eid celebration in Uganda,Burundi Rwanda even Juba
Islamic holidays are only recognized in Tz and Ke.
in Ke they have only one day muslim holiday..in Tz we have 3.
i think this is not an issue..every country has the right to set its holidays.
EAC should Have beenEAC should be an exclusive club where you are invited, you don't invite yourself then wait for approval... The moment we accepted S.Sudan without placing it in some kind of observer status EAC became a whore
Yaaaaas Kwanza Drc Ikiingia we will control Smartphone and Computer market worldwide Hata sisi Tuanze ku dictate To the westWaje wote tu, hata batoto Bakongo (DRC) wamekawia sana..
Krisimasi isiwe issue, binafsi nimesheherekea Krisimasi Zanzibar na hofu niliyokua nayo ya kumwagiwa tindi kali ikatokea kuwa ujinga wangu tu maana Wazenji ni watu wakarimu sana. Pia wao wameserebuka sana kwenye Krisimasi.
Wasomali ni watu wenye bidii sana, napenda wanavyojituma, haya masuala ya dini ndio yanawaangusha na kuwachelewesha. Yaani dini inafaa kuleta amani lakini inakua ndio chanzo cha mauaji na mateso.
Watch your facts well man. Kenya observes two Muslim holidays.Ahaaa...then No Eid celebration in Uganda,Burundi Rwanda even Juba
Islamic holidays are only recognized in Tz and Ke.
in Ke they have only one day muslim holiday..in Tz we have 3.
i think this is not an issue..every country has the right to set its holidays.
Acha kudanganya watu ulaya IPI unayoijua wewe,unadhani wote tuko TanzaniaNimesema wanaanza kupiga marufuku pole pole, sasa hivi USA ma-neoliberals hawasemi tena Marry X-mas bali wanasema ,,Happy hollidays" na Ulaya hivyo hivyo wameshaanza kuhoji misalaba mashuleni na kwenye maeneo ya wazi na kuna baadhi ya Miji wameanza kuondoa Sanamu za kidini zilizokuwepo kwa karne nyingi tu!
Acha kudanganya watu ulaya IPI unayoijua wewe,unadhani wote tuko Tanzania
OK, kwa nini wasipige marufuku Idd? Bado huoni tatizo? Kama 98% ni waislam wanaogopa nini kutoa uhuru wa kuabudu watu wake 2%? Umesema ulaya wanaipa kisogo. Je umewahi kusikia wakiipga marufuku au hata hiyo Idd? Think out of the box.Wazungu wenyewe waliotuletea Krismasi wanaanza kuipiga marufuku polepole, ije kuwa Somalia? Kwani tatizo ni nini? Si ni nchi yao? Zaidi ya 98% ya Wananchi wa Somalia ni Waislamu hivyo hakuna atakayedhurika, binafsi napendekeza Somalia iingie AM, kwani Wasomali watatusaidia sana kuijenga AM kiuchumi, Wasomali ni jamii ya watu wanaojiamini na wanaojituma sana na wakitulia na mambo ya yakipoa Somalia hakuna nchi ya kushindana na Somalia kiuchumi hapa Afrika hata Wazungu wanalijua hilo na ndiyo maana hawataki Somalia itulie!
Hii habari ya political inbalance mara unstable country , mara different region huna point unachachawa tu kwani lazima kuandika?hebu review conditions za kujiunga na bloc kwa ndio upayuke kama ni krismas kila nchi ina katiba yake na sheria zake za ndani as long hawajavunja katiba ya bloc mm sioni tatizo tusitoke mapovu bure .