Mr Chromium
JF-Expert Member
- Aug 20, 2020
- 2,761
- 3,835
Nchi nyingi zilizoshindwa au failed state huwa zina changamoto kama
1. Ukabila au jamii tofauti zinazopigana
2.Dini (vita ya kidini kati ya Waislam na dini zingine kama Ukristu, Uhindu na Uyahudi)
3. Kuvamiwa na nchi nyingine yenye nguvu mfano Afghastan ilivamiwa mara mbili na soviet na US
LAKINI KWA SOMALIA
Wasomali wanajichukia WENYEWE
Ukiwakuta kenya wanavopiga kelele sasa😂😂
1. Ukabila au jamii tofauti zinazopigana
2.Dini (vita ya kidini kati ya Waislam na dini zingine kama Ukristu, Uhindu na Uyahudi)
3. Kuvamiwa na nchi nyingine yenye nguvu mfano Afghastan ilivamiwa mara mbili na soviet na US
LAKINI KWA SOMALIA
- Watu wana dini moja
- Kabila moja
- Nchi moja
- Tamaduni moja
Wasomali wanajichukia WENYEWE
Ukiwakuta kenya wanavopiga kelele sasa😂😂