Conte Code
JF-Expert Member
- Oct 19, 2017
- 227
- 253
Wazee wa shuma mtupu(FIAT)
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wacha ujinga warya. Abhana sema Somali vibaya.
View: https://youtu.be/-KNmoQZe-20?si=2NRnNGOw1XN37M6v
Thaman ya shilingi inakua regulated !!Bora hiyo Somalia ngoja nikuoneshe kichekesho.
Tanzania ndio nchi pekee yenye rasilimali na amani alafu shilingi yake inazidiwa thamani na shilingi ya Somalia ''The failed State''
kati ya Somali na Tanzania nani ana uchumi mkubwa?Thaman ya shilingi inakua regulated !!
Na haimaanishi uchumi mkubwa!!
British paund GBP ni kubwa kuliko US dollar
lakini uchumi wa marekani n mkubwa kuliko Wa UK
au kwa maana nyingine
Franc ni kubwa kuliko hela ya china Yuan lakini China inauchumi mkubwa kuliko ufaransa!!
Hapa ni mambo ya regulation tu na jinsi ambavyo nchi ina ifix hela yake
Ingawa kuna other factor pia
MadrasaNchi nyingi zilizoshindwa au failed state huwa zina changamoto kama
1. Ukabila au jamii tofauti zinazopigana
2.Dini (vita ya kidini kati ya waislam na dini zingine kama Ukristu, uhindu na uyahudi)
3. Kuvamiwa na nchi nyingine yenye nguvu mfano Afghastan ilivamiwa mara mbili na soviet na US
LAKINI KWA SOMALIA
- Watu wana dini moja
- Kabila moja
- Nchi moja
- Tamaduni moja
ITOSHE KUSEMA WASOMALI HAWACHUKII WATU WENGINE KAMA WABANTU NA WENGINEO.
Wasomali wanajichukia WENYEWE……..
Ukiwakuta kenya wanavopiga kelele sasa😂😂
Mkuu hata hili hujui??😂😂😂au nawew n msomali😂😂kati ya Somali na Tanzania nani ana uchumi mkubwa?
Somali ni nchi ya nne kwa umasikini dunianikati ya Somali na Tanzania nani ana uchumi mkubwa?
Mkuu kuifananisha tanzania na somali kiuchumi ni kutukana tusi lisilosamehekakati ya Somali na Tanzania nani ana uchumi mkubwa?
Aisee...Somali ni nchi ya nne kwa umasikini duniani
nimekuwekea takwimu hapo mkuuAisee...
Mnisamehe mimi ndugu watanzaniaMkuu kuifananisha tanzania na somali kiuchumi ni kutukana tusi lisilosameheka
Angalia hapa
Hawapigani kisa dini wanapigana kisa kooDini ndiyo laana yao, wakiachana nayo tu, watakuwa shwari
Somalia wana vita za ukoo, ambazo zote ziko kwenye mbio za kuwania madaraka. Hao mabwana vita, ni wa koo tofauti zinazochuana.Nchi nyingi zilizoshindwa au failed state huwa zina changamoto kama
1. Ukabila au jamii tofauti zinazopigana
2.Dini (vita ya kidini kati ya waislam na dini zingine kama Ukristu, uhindu na uyahudi)
3. Kuvamiwa na nchi nyingine yenye nguvu mfano Afghastan ilivamiwa mara mbili na soviet na US
LAKINI KWA SOMALIA
- Watu wana dini moja
- Kabila moja
- Nchi moja
- Tamaduni moja
ITOSHE KUSEMA WASOMALI HAWACHUKII WATU WENGINE KAMA WABANTU NA WENGINEO.
Wasomali wanajichukia WENYEWE……..
Ukiwakuta kenya wanavopiga kelele sasa😂😂
Hatari sana
Wewe ulisomea uchumi hadi kiwango gani???Bora hiyo Somalia ngoja nikuoneshe kichekesho.
Tanzania ndio nchi pekee yenye rasilimali na amani alafu shilingi yake inazidiwa thamani na shilingi ya Somalia ''The failed State''
Utajua wewe😁😁😁Nina demu wakisomali ni laini moja
Wamarekani ni washenzi sana; Somalia waliishi kwa amani sana wakishikamana katika kamba ya Mwenyezi Mungu kabla wamarekani hawajaenda kuwatibua! Tangu hapo nchi ile isiyojua dini nyingine ikavurugwa kabisa na makafiri wa kimagharibi.Nchi nyingi zilizoshindwa au failed state huwa zina changamoto kama
1. Ukabila au jamii tofauti zinazopigana
2.Dini (vita ya kidini kati ya waislam na dini zingine kama Ukristu, uhindu na uyahudi)
3. Kuvamiwa na nchi nyingine yenye nguvu mfano Afghastan ilivamiwa mara mbili na soviet na US
LAKINI KWA SOMALIA
- Watu wana dini moja
- Kabila moja
- Nchi moja
- Tamaduni moja
ITOSHE KUSEMA WASOMALI HAWACHUKII WATU WENGINE KAMA WABANTU NA WENGINEO.
Wasomali wanajichukia WENYEWE……..
Ukiwakuta kenya wanavopiga kelele sasa😂😂