Some African countries and their slogans

Some African countries and their slogans

The pride of Africa?[emoji23][emoji23][emoji23]
1)Hunger
2)Corruption
3)Tribalism
4)Debts
5)Political violence
6)Crime
7)Police killings

Truly Kenya is "The pride of Africa"[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ongeza hapo.... and DISEASES.

Kenya ni kitovu cha KIPINDUPINDU.
 
Alafu eti miaka yote hiyo mimi nilikuwa najua kwa uhakika kwamba 'Bongo' huwa ni kifupi cha jina Bongolala. [emoji849] Dah, najivunia sana kwamba leo jua litatua kama tayari nimejifunza jambo jipya. [emoji41] Shukran wadau na mbarikiwe sana. Ndio maana huwa najipata nikirejea rejea kwenye jukwaa hili mara kwa mara. [emoji38]

Kwa hiyo umeelewa kuwa ni nini?
 
Kwa hiyo umeelewa kuwa ni nini?
Ndio nimejua leo kwamba mkijiita wabongo huwa mnamaanisha mna 'brains' kupindukia. [emoji38] Kama suala hilo lingekuwa ni kitendawili mmenitupia ingebidi niwape mji moja kwa moja ili 'mniibie siri'. [emoji16] Tz na akili kubwa wapi na wapi jombaa? Tena sio kwenye awamu hii ya utawala wa kiubabaishaji, kutoka kwa yule mzee wa mikwara, mwenye PhD ya kimagumashi. Just saying! [emoji40]
 
kwa akili zipi? za Kinjeketile Ngwale? naskitika sana kuona munavyopukutika
The History Sylabus you learned in your good for nothing elementary school was made by the Germans and brits, Right?
It was fuckily tailored to brainwash you, and make you as much coward as you are, and indeed you are.
Majimaji movement lasted for two good years, involved varieties of weapons, and it was the toughest challenge to colonialists in East Africa.
Have you watched the spartans movie called 300?, sometimes better die than live as idiot as you.
Though I am not surprised by Kenyans sababu you are the ones who assisted the muzungu to get your very own herro Deddan Kimathi fugitive and hanged by Muzungu..cowards.
You are the useless dogs of Muzungu, sisi wabongo ni watu huru and we just dont give a damn.
And we just live our life happily.
 
Ndio nimejua leo kwamba mkijiita wabongo huwa mnamaanisha mna 'brains' kupindukia. [emoji38] Kama suala hilo lingekuwa ni kitendawili mmenitupia ingebidi niwape mji moja kwa moja ili 'mniibie siri'. [emoji16] Tz na akili kubwa wapi na wapi jombaa? Tena sio kwenye awamu hii ya utawala wa kiubabaishaji, kutoka kwa yule mzee wa mikwara, mwenye PhD ya kimagumashi. Just saying! [emoji40]
Ndio maana uko Jamii forum kwa wabongo, miaka kadhaa sasa. We aren't only having Mighty brains, but we are using our brains man, we aren't waiting for some random white guy to tell us what to do like some failed states like Kenia.
 
Imagine jitu Kingereza kibovu kingii na suti oversize ya mtumba halafu linakunya vichakani, na haya majamaa huwaga hayatawadhi, yaani limekunya kichakani halafu linatembea na Mbolea. Kenyans are primitive half brained humans
Hahahaaa..... Duh.
 
Africa ni Kubwa sana, Sema Kenya
Kuwa specific.View attachment 1707451

MATAGA bora umeibuka nilikua nimeanza kupata wasiwasi maana MaCCM wengi mlikua mumetoweka na kuacha zile tabia zenu za kurandaranda humu, naona sasa mumeambiwa mvae barakoa ili kuepuka maradhi mengine ila mpaka sasa hamtaki kutaja kolonya.....hehehe sijawahi kuona kituko cha watu sampuli yenu...
 
Back
Top Bottom