Stephen Ngalya Chelu
JF-Expert Member
- Oct 31, 2017
- 8,252
- 18,335
Sisi tulikuwa na hadi ganda la kiberiti lenye thamani ya milioni kumiKarata ya maganda ya viberiti..tumecheza sana. Mtaani kupata ganda la kiberiti ikawa nadraView attachment 1409393
Sent using Jamii Forums mobile app
π π π π π πJamaa tumefanana kiasi.
Kile kiua cha ndizi ambacho kinaninginia ndani yake kina vidude hivi vina majimaji matamu. Sasa tulikua tunapenda kunywa yale maji..Kuna jamaa mmoja alikua mkubwa afu mkorofi haswa..alituletea hayo madude tunywe. Mm na mdogo wangu tukafakamia..
Kumbe jamaa alijaza mate mle ndani hapakua na ile asali tena
Sent using Jamii Forums mobile app
Yani hii nilikuwa na vibomba vyangu vya mpapai maalum kwa kazi hiyo..mama akishafua kazi Ni moja kuvipuliza tu[emoji3][emoji3]
[emoji3][emoji3] umenikumbusha 6 batani yangu..simu ya kwanza kuitumia[emoji1787][emoji1787]dah!
Hahahaha! Hizi mambo nilizifanya sana, tulikuwa tunatia na utomvu wa mimea fulani hivi ili viumukeπ .Mdudu fukufuku nimemuweka Sana kwenye tuchuchu zangu enzi hizo ili matiti yakuwe makubwa..[emoji3][emoji3] tulikuwa twaona wakubwa wanafauuuduuu[emoji57][emoji57] Natamani apatikane mdudu wa kupunguzaView attachment 1409389
Sent using Jamii Forums mobile app
Vipanya vidogo vidogo vile vyekundu tulikua tunavitupia motoni. Sitaki kukumbuka.Wale tuliokuwa tunakama vifaranga wa ndege wale wadogo kabisa wenye matumbo makubwa na hata hajaota manyoya na kuwachoma wakiwa hai kisha kuwala tujuane.
Sisi tumetumia yale mabomba ya mpapai na vile vidude vyeupe vilivyomo kwenye mti wa muhogoYani hii nilikuwa na vibomba vyangu vya mpapai maalum kwa kazi hiyo..mama akishafua kazi Ni moja kuvipuliza tu[emoji3][emoji3]
Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe jamaa upweke unakupa taabuNimemiss michezo ya utotoni, kipindi hicho mtu hajali kuhusu maisha wala nini unawaza kula,kucheza,kulala na Kwenda Shule (KKKK/4K )
Basi hapa tukumbushane michezo ya utotoni kwa picha, Enzi hizo Dunia ikiwa ni Dunia
....
Hii ktu nimefanya sana..
View attachment 1409353
Sent using Jamii Forums mobile app
Miss youNilikua napenda kucheza mziki wa bolingo,ikipigwa mziki wa Bongoman weeeeeeeeeee sio kwa mauno hayo.. π€£ π€£
π π π π πJamaa utakua umezaliwa 2000s
Mimi sio wa kishuani nimecheza hadi kupika matope.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] alafu tunaimba na nyimbo fukufuku nipe maziwa[emoji23][emoji23][emoji23] woooiiiiiHahahaha! Hizi mambo nilizifanya sana, tulikuwa tunatia na utomvu wa mimea fulani hivi ili viumuke[emoji28].
Kwa hiyo umeamua kuua macho yako bila hurumaUnadhani mm nina upwekw wakati nina muvi 300 na series kadhaa. Ila upweke upwekw unanifanya niwe nafikiria mengi ya kushea na wana JF