Some childhood memories

Some childhood memories

Zitakusaidiaje nawalisha tangulia, labda ubadili njia ukimbilie nyumbani au apite MTU mzima akunusuru.
Ukiangusha kijiti wahuni wanawahi kwenye njia mti ulipo, sasa hapo ni kuomba mbio zako zikusaidie.
😂😂😂😂😂😂😂
 
Kula mbakishie baba

Hapo inabid upanguse mchanga kiakili sana, ukijichanga kuangusha kijiti, unaweza kuchezea kipigo kama boko haram, hapo mti wa kushika ili uachiwe kupigwa upo mtaa wa pili
Hiki kizaz mtoto wa kiume yeyote yule, hauwez kuwa na tabia za kike

Huu mchezo ulinifanya niwe nunda sana,

Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi nilikuwa naucheza huku nimechuchumaa ili nikiangusha tu kijiti niwahi kupiga mbio[emoji3][emoji3]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hahaha [emoji1]
Kun ule mchezo wa hakiombeki
Una muwah mwenzio Unasema
"akiombeki akiombeki" haumpi
Akikuwah Wewe ukinunua kitu anasema
"kinaombeka kinaombeka" Unampa
 
Hii shilingi ilinifanya nigombane na rafiki yangu..kisa tu ilikuwa mpyaaa
38083.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hahaha [emoji1]
Kun ule mchezo wa hakiombeki
Una muwah mwenzio Unasema
"akiombeki akiombeki" haumpi
Akikuwah Wewe ukinunua kitu anasema
"kinaombeka kinaombeka" Unampa
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]

Kuna mputo pia..hiyo huombi ukimuona mwenzio kashika kitu unapokonya tu..kupokonywa kunaumaaa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wadada wenzangu tuliokuwa tunatengeneza watoto wa udongo au wa vitambaa..tunawaweka Rasta [emoji3] eti ndiyo nywele..Sasa Utumwe dukani na mchezo umenoga utatamani kulia.

Sent using Jamii Forums mobile app
Bon'goa tulikuwa tunacheza Hadi wa kike...Kuna siku nilipigwa dah! Nilikuwa na ngeu usoni Sina hamu

Sent using Jamii Forums mobile app
Wabheja Sana, Unakumbukumbu Nzuri
Am totally Do not remember hiy Michezo
.
ila tuu Nakumbuk Baiskel ilitaka kunitoa uhai wangu, Hii Sitasahau [emoji2][emoji2]
Tulikua tunashindana
 
Maisha yangu ya uswahilini
1. Nimeenda kusaka vicheche kwenye mapori ya beach enzi hzo mbwa wangu anaitwa check dah nakumbuka na kupiganisha mbwa
2. Kufuga na kwenda kuvua samaki wa wadogo wa mapambo nilikua tunapuyanga mpaka sinza kwa mguu kwenye mitaro ya maji.
3. Kuvua samaki mtoni na kuja kupika nyumbani
4.tunapuyanga mpaka goba kisa maembe
Enzi hzo goba pori sana na chai maharage zpo.
5.shule ya msingi ijumaa nilikua kuanzia saa nne shule kama imeisha tunajikusanya hao kambi ya jeshi lugalo kusaka maembe dah aisee.
6. Kuwinda ndege
Sio siri nilikua mzuruari wa kutisha ila nimebadilika huwezi amini kama ndyo Mimi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nakumbuka kwenda kuwinda Pimbi,sungura,digidigi,Swala,kucheza juu ya matawi ya miti,kibabababa na kimamamama,kuchonganisha ng'ombe wapigane,kuogelea mtoni,nk
aisee hizi moments sizisahau kamwe

Mambo ni mengi muda mchache.
 
Back
Top Bottom