Siri ya sifuri
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 2,335
- 1,967
Zitakusaidiaje nawalisha tangulia, labda ubadili njia ukimbilie nyumbani au apite MTU mzima akunusuru.
Ukiangusha kijiti wahuni wanawahi kwenye njia mti ulipo, sasa hapo ni kuomba mbio zako zikusaidie.
πππππππ
Toka nizaliwe leo ndio nimefahamu samasoti inaandikwa hivo..
Sambasoti[emoji3]Toka nizaliwe leo ndio nimefahamu samasoti inaandikwa hivo..
Mimi nilikuwa naucheza huku nimechuchumaa ili nikiangusha tu kijiti niwahi kupiga mbio[emoji3][emoji3]Kula mbakishie baba
Hapo inabid upanguse mchanga kiakili sana, ukijichanga kuangusha kijiti, unaweza kuchezea kipigo kama boko haram, hapo mti wa kushika ili uachiwe kupigwa upo mtaa wa pili
Hiki kizaz mtoto wa kiume yeyote yule, hauwez kuwa na tabia za kike
Huu mchezo ulinifanya niwe nunda sana,
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Hahaha [emoji1]
Kun ule mchezo wa hakiombeki
Una muwah mwenzio Unasema
"akiombeki akiombeki" haumpi
Akikuwah Wewe ukinunua kitu anasema
"kinaombeka kinaombeka" Unampa
[emoji38][emoji38][emoji38]AlooohWali tuliocheza mchezo wa bon'goa..ukimkuta mwenzio kabon'goa(inama) unamshushia teke moja matata...[emoji3][emoji3] Akiumia kesi unayo
Sent using Jamii Forums mobile app
Bon'goa tulikuwa tunacheza Hadi wa kike...Kuna siku nilipigwa dah! Nilikuwa na ngeu usoni Sina hamu[emoji38][emoji38][emoji38]Aloooh
Mingine ilikua ya kiume Bwana
Mchezo wa bong'oa mwanamke??
Wadada wenzangu tuliokuwa tunatengeneza watoto wa udongo au wa vitambaa..tunawaweka Rasta [emoji3] eti ndiyo nywele..Sasa Utumwe dukani na mchezo umenoga utatamani kulia.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wabheja Sana, Unakumbukumbu NzuriBon'goa tulikuwa tunacheza Hadi wa kike...Kuna siku nilipigwa dah! Nilikuwa na ngeu usoni Sina hamu
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji3][emoji3][emoji3]pole sanaWabheja Sana, Unakumbukumbu Nzuri
Am totally Do not remember hiy Michezo
.
ila tuu Nakumbuk Baiskel ilitaka kunitoa uhai wangu, Hii Sitasahau [emoji2][emoji2]
Tulikua tunashindana
huwezi amin watu tulipigana kwa hii michezo,Karata ya maganda ya viberiti..tumecheza sana. Mtaani kupata ganda la kiberiti ikawa nadraView attachment 1409393
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ila watu walikua wanaweka kwel[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] vile sidhani Kama vinafanya kazi ukubwani..hata utotoni kwenyewe sidhani Kama ilikuwa kweli
Sent using Jamii Forums mobile app
Thanks you very much
[emoji23][emoji23]Kama Mimi uwii ndombolo ya solo, shamukwale ya kupesa mbongo(sijui nimepatia)sanguloo.. kile kiuno sijui kimeenda wapi[emoji1787]Nilikua napenda kucheza mziki wa bolingo,ikipigwa mziki wa Bongoman weeeeeeeeeee sio kwa mauno hayo.. [emoji1787] [emoji1787]