nikiangalie yanayoendelea kwenye ndoa nying naona hawa kataa ndoa wana hoja sana tu.
hz ndoa za kufosi zimekuwa chungu na ndo chanzo cha tatizo la afya ya akili. ifikie pahala ndoa ziwe za muda maalumu mnakubaliana malezi ya watoto hlf kila mmoja anakata uwanja kivyake
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.