Slim dady
Member
- Apr 15, 2020
- 43
- 343
Kuna habari iliyokuwa mtandaoni inayotrend kuwa Kocha na Mchezaji wa Simba wamepigana mazoezini kabla ya mechi ya fainali ya ngao ya jamii, Nao waandishi wa habari bila kufanya tafiti wakaipeleka hewani hoyo habari bila kuifanyia utafiti
Wakaongea na meneja wa Tim akawaambia hilo jambo halijatokea hawakuridhika wakampigia msemaji wa Tim kamamnavyomjua Hajo sometimes majibu take yalivyo
Mwishoni nduo wanakuja kumuuliza mtanagzaji wao ambaye ndio alikws Arusha kwenye hiyi match na akazikanusha hizo taarifa
Nilichijifumza ni kuwa waandishi wetu wanachangia migogoro kwenye soka letu kwa nini wasingeanza kumuuliza edo kumwembe kuhusu huzo taarifa badala take wakaanza kutangaza bila uhakika na mwishoni kabisa ndio wakaja kumuuliza edo kumwembe
Wakaongea na meneja wa Tim akawaambia hilo jambo halijatokea hawakuridhika wakampigia msemaji wa Tim kamamnavyomjua Hajo sometimes majibu take yalivyo
Mwishoni nduo wanakuja kumuuliza mtanagzaji wao ambaye ndio alikws Arusha kwenye hiyi match na akazikanusha hizo taarifa
Nilichijifumza ni kuwa waandishi wetu wanachangia migogoro kwenye soka letu kwa nini wasingeanza kumuuliza edo kumwembe kuhusu huzo taarifa badala take wakaanza kutangaza bila uhakika na mwishoni kabisa ndio wakaja kumuuliza edo kumwembe