Somo kutoka kwa mbwa mwitu

Somo kutoka kwa mbwa mwitu

Nyanda Banka

JF-Expert Member
Joined
Mar 14, 2023
Posts
304
Reaction score
1,054
FB_IMG_17182994167264379.jpg


Mbwa mwitu ni mnyama mwenye sifa za kipekee ambazo wanadamu wengi wasasa hawana:

Kwanza: Ni mwema kwa wazazi wake.

Pili: Halali na familia yake kimapenzi, yani; Mama, dada n.k.

Tatu: Hupenda kuwa huru, na hufikia mpaka kujiua unapomfungia ndani na kumnyima uhuru wake.

Na daima huishi kwa umoja na ushirikiano.

Inasikitisha kuona;
Imefika kipindi wanadamu tunapitwa kitabia hata na wanyama.
 
Hio ni silika yao , sisi hatuna mfanano na wanyama kwa wingi wa vitu.
Pia ikumbukwe kwa asili binadamu ni mbinafsi ndio maana ikawa hivyo.
 
Kuna kipindi nilivyowatazama sokwe walivyo na ushirikiano na uaminifu kwenye jamii zao hasa wale viongozi wao ,tumepitwa mbali mno hasa sisi ngozi nyeusi.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hio ni silika yao , sisi hatuna mfanano na wanyama kwa wingi wa vitu.
Pia ikumbukwe kwa asili binadamu ni mbinafsi ndio maana ikawa hivyo.
Tuna dai binadamu wana kitu kinachoitwa utu ndio maana tukaitwa watu , binadamu ni mbinafsi ambayo siyo sifa ya utu , kwa nini sasa hiki cheo cha utu tusiwape wanyama ambao sio wabinafsi?
 
Back
Top Bottom