Somo kutoka kwa mbwa mwitu

Somo kutoka kwa mbwa mwitu

Kuna page huko instagram nimesoma kisa kimoja nimesikitika mnoo..kijana na dada ake wamekulana mpk kuzaa mtoto..imajini ni kaka na dada wa damu.....kijana alikua anatoa confession at least moyo wake upoe kidogo...kaka kaoa tayari na dada mtu kaachika kwa mumewe ni singo maza mwenye mtoto na kaka ake...wakati wanafanya hayo yote dada alikua ameolewa.. ndo uone dunia inapoelekea mpk wanyama wanatushangaa
 
Kuna page huko instagram nimesoma kisa kimoja nimesikitika mnoo..kijana na dada ake wamekulana mpk kuzaa mtoto..imajini ni kaka na dada wa damu.....kijana alikua anatoa confession at least moyo wake upoe kidogo...kaka kaoa tayari na dada mtu kaachika kwa mumewe ni singo maza mwenye mtoto na kaka ake...wakati wanafanya hayo yote dada alikua ameolewa.. ndo uone dunia inapoelekea mpk wanyama wanatushangaa
Ila sisi pia ni wanyama tulio jipa tu umuhimu humu duniani ila kikawaida ni aina ya wanyama tu.
 
Tuna dai binadamu wana kitu kinachoitwa utu ndio maana tukaitwa watu , binadamu ni mbinafsi ambayo siyo sifa ya utu , kwa nini sasa hiki cheo cha utu tusiwape wanyama ambao sio wabinafsi?
Wanyama ni hayawani, hawana akili wala utashi dhamiri ila wana silika, au namna yao kuishi kulingana na mazingira yao.
Binadamu pamoja na utu ana akili inayo changanua , ana dhamiri , anajua hili ni baya kulingana na tunavyo ishi kwa namna yetu na hili ni nzuri.
Kwa jinsi hio binadamu hataweza kufananishwa na na mnyama kwa mitindo ya maisha baina yao.

Ubifisi ulio sifa ya mwanadamu unafungwa katika dhamiri na ile akili inayo changanua mambo.

Ikumbukwe pia binadamu akili yake ipo kwa namna kadhaa (1) mind (2) subconscious mind (3) u subconscious mind. Hii inamtoutisha sana mwanadamu na hayawani.
 
Wanyama ni hayawani, hawana akili wala utashi dhamiri ila wana silika, au namna yao kuishi kulingana na mazingira yao.
Binadamu pamoja na utu ana akili inayo changanua , ana dhamiri , anajua hili ni baya kulingana na tunavyo ishi kwa namna yetu na hili ni nzuri.
Kwa jinsi hio binadamu hataweza kufananishwa na na mnyama kwa mitindo ya maisha baina yao.

Ubifisi ulio sifa ya mwanadamu unafungwa katika dhamiri na ile akili inayo changanua mambo.

Ikumbukwe pia binadamu akili yake ipo kwa namna kadhaa (1) mind (2) subconscious mind (3) u subconscious mind. Hii inamtoutisha sana mwanadamu na hayawani.
Wanyama pia wana akili kwa kiwango Chao.

Utu pia wanao mchunguze sokwe na nyani.

Wanajua baya na jema ,katoto kanyani au sokwe huwa kanachapwa kakikosea kwenye jamii zao
 
Tuna dai binadamu wana kitu kinachoitwa utu ndio maana tukaitwa watu , binadamu ni mbinafsi ambayo siyo sifa ya utu , kwa nini sasa hiki cheo cha utu tusiwape wanyama ambao sio wabinafsi?
Hujakutana na fisi...na kama ni ndege kuku anaongoza kwenye swala la mlo
 
Back
Top Bottom