Somo kutoka Mumbai

Somo kutoka Mumbai

Rev. Kishoka

JF-Expert Member
Joined
Mar 7, 2006
Posts
4,526
Reaction score
1,540
Ni jambo la kusikitisha kwa kilichotokea Mumbai. Pamoja na kuwa si rahisi kwa vyombo vya usalama na raia kujua ni lini watu wenye nia mbaya watafanya maovu, lakini tunaona tena umuhimu wa vyombo vya usalama na Serikali kuwa makini na wepesi wa kufanya maamuzi yanayotoa maana.

Ndio waziri wa Usalama wa India kajiuzulu, lakini tujiulize, ilikuwaje mpaka kukawa na udhaifu wa kiutendaji uliosababisha uhalifu na ugaidi wa namna hii utokee?

Nikisoma chapisho ya jarida la Newsweek, nakutana na taarifa ambazo zinatoa mfanano wa utendaji na utekelezaji wa kazi uliofanywa na Polisi wa India na hata wizara ya Usalama sawa na jinsi vyombo vya Usalama vya Tanzania vinavyoshughulikia uhalifu na hasa masuala ya ufisadi.

Polisi wa India walipewa tahadhari kwa nyakati tofauti kutoka kwa raia walioona, kusikia au kuhisi uhalifu unapangwa, lakini Polisi hawa ama walipuuza, hawakuona umuhimu kufanya kazi zao bila kupewa amri au kwa mtazamo wangu mwingine, je nao walikuwa washiriki na wanufaika wa uharamia huu?

Kuna mengine ya kushangaza kama kujua kuwa mji mkubwa kama Mumbai, hauna kikosi cha makomandoo na kuwa Waziri wa Usalama alitamka wazi hadharani kuwa kikosi cha makomandoo kilikuwa kinatoka New Dheli kwenda Mumbai na kuwapa wale Magaidi muda tosha wa kufanya udhalimu wao.

Najiuliza tena kama ninavyojiuliza mara nyingi, je ni lini Watendaji wa Tanzania yetu watakuwa wajasiri wa kujituma kufanya kazi zao kwa mujibu wa majukumu yao na si kusubiri amri(Pro-active)?

Kuna mengi ya kujifunza kutokana na hili la Mumbai. Naomba Mungu watendaji na wanasiasa wetu walichukulie hili kama somo na si hadithi za kijiweni na kuangalia CNN.

Kwa mifano niliyowekea mkazo hapo chini, mtaona ni jinsi gani kilichotokea Mumbai na India kwa ujumla, knaendelea kutokea Tanzania hasa kwenye suala la Rushwa, Uhujumu na Ufisadi, ukosefu wa Uimara wa Serikali!

Kwa wale wapambe wa viongozi, wale wapelelezi wa TAKUKURU, DPP,UWT, Wanasiasa na wananchi wote mtakaosoma ujumbe huu, tusaidiane kuanzisha hamasa ya kurekebisha kasoro zilizoko katika mfumo wetu wa vyombo vya usalama na utendaji wa vyombo hivyo na Serikali kwa ujumla.

Yaliyopita si ndwele, bali tugange kwa yanayokuja.

Naomba niwaachie hii nukuu kutoka Newsweek.

Flunking the Intelligence Test
The only real question about the Mumbai attack was just when it would come.

Sudip Mazumdar
NEWSWEEK
Published Nov 29, 2008 | Updated: 12:25 p.m. ET Nov 29, 2008

The hostage takers in Mumbai didn't need to wonder how large an armed rescue team the Indian government was sending, or when to anticipate its arrival. They had only to click on the nearest TV set, and there was the federal home minister, Shivraj Patil, obliviously telling viewers that 200 commandos had taken off on the two-hour flight from New Delhi at 2:30 a.m. Even after the aircraft had landed in Mumbai, the gunmen had plenty of time to get ready, as the troops were herded aboard rickety transport buses to be hauled from the city's northern edge to its southern tip. The commandos finally reached the scene about 6:30, roughly nine hours after the terrorists had launched their murderous attacks in the financial capital of India. The battle would drag on for the next two days while the body count reached 195 before the last gunman went down.
In Mumbai and throughout India, people reacted the way Americans did after September 11: they demanded to know why their government had failed to protect them. "Since November last year I have been drawing attention to the iceberg of jihadi terrorism," says B. Raman, a former top official at India's equivalent of the CIA, the Research and Analysis Wing (RAW). "The government of [Prime Minister] Manmohan Singh reacted to the repeated warning signals of the moving iceberg in the same way as the Bush administration reacted to reports about the plans of the Al Qaeda for aviation terrorism in the U.S.—it just didn't react. It was in a denial mode."
Maybe that's why no one seems to have drawn up any guidelines for handling terrorist emergencies. Security professionals could only groan in frustration at Patil's televised lack of discretion on the commando deployment. Under mounting public anger, Patil finally resigned and a few other officials came under pressure to quit. In any case, these are hardly the Indian officials with a role in this bloody disaster. The problem is systemic in India, international security analysts say. "There is a frightening lack of strong and decisive political leadership in dealing with this menace," says Wilson John, a terrorism expert and senior fellow at the Observer Research Foundation in New Delhi. "This incompetence and lethargy seeps all the way down to the level of beat constable."
About an hour before the shooting started, villagers on the shore in South Mumbai saw a group of 10 young strangers climbing out of an inflatable raft. The incident was reported to local police, who did nothing. The cops might have displayed more interest if their superiors had given them a heads-up. About four months ago the president of the fishermen's union, Damodar Tandel, received a warning from a colleague in the coastal state of Gujarat: of the nearly 1,000 fishing boats that shuttle between Gujarat and Mumbai, some might be smuggling munitions and plastic explosives into the city, the friend said. Tandel relayed the message in a letter to the police chief in charge of Mumbai's port. The chief was asked about that letter last week, during the terrorist siege. "It was just a general statement," he said. "There was no specific information."
That's the kind of thing that infuriates people like India's No. 1 industrialist, Ratan Tata. "It has become clear that we don't have a crisis infrastructure in place," he told reporters, as terrorists remained holed up inside the city's landmark Taj Mahal Palace & Tower hotel, which his company owns. Proof of his complaint was all too evident after another gang seized hostages at a hospital not far away. The state's antiterrorism chief and two other top police officials arrived at the scene with a posse of cops who were armed with antiquated .303 rifles. Seemingly unaware of any danger, the three men stood unprotected on the firing line, where they were quickly mowed down by sudden bursts of automatic gunfire. Even then, intelligence sources say, the state government didn't seem to comprehend the magnitude of the attacks. The state's chief minister delayed nearly two hours before requesting specialized assistance from New Delhi. "The militants know and exploit gaping holes in India's counter-terrorism architecture and strategy," says John.
Horrified police officers in Mumbai saw their vehicles hijacked by terrorists who showed intimate knowledge of the city's streets and the layouts of the huge hotels they captured. In contrast, the police displayed no familiarity with the layouts of those buildings. The commandos who flew in from New Delhi had to waste precious time getting hotel staff members to sketch out the layouts of their workplaces. "We've really not learnt the lessons," says M. N. Singh, a former Mumbai police commissioner.
Mumbai has a long record of massive terrorist attacks dating at least as far back as 1993, when a wave of bombings left roughly 250 dead and 700 others injured. Deadly incidents have recurred ever since, most notably in July 2006, when seven huge explosions tore through commuter trains at rush hour, killing 160 people and injuring more than 200. On at least five occasions in the past nine months, terrorists have staged devastating strikes across the country. Even so, there has been little response beyond platitudes from politicians and well-publicized visits by government ministers—always surrounded by heavy security cordons.
That's the standard pattern in India: an inept and callous political leadership and a cocooned and corrupt bureaucracy take care of their own interests while ignoring the public's welfare. In the past few years that decay has spread to the country's intelligence services, including RAW. "Ten years ago it was one of the best in the world," says a source close to the French security establishment whose job precludes his being quoted by name. That was before India's ruling parties started appointing top officials based on their political leanings rather than their intelligence credentials. People in the field say a few serious professionals remain even now, like National Security Adviser M. K. Narayanan. "He's good," says this source. "But he doesn't have the power."
Not that anyone else in India's intelligence community is truly in charge. Not unlike America's agencies before September 11, India's many spy services are crippled by interagency rivalries and failures to communicate. One result, experts say, is that although nearly 16,000 suspected Islamist militants were detained and interrogated between 1991 and 2006, most of that information has never been analyzed and put to use by any central authority in order to prevent attacks. (Don't even ask about intelligence sharing with India's neighbor and fellow victim of Islamist terror, Pakistan.)
After the spectacular armed attack on India's Parliament Building in 2001, an elaborate Multi-Agency Center was created to oversee the country's counterterrorism efforts and collate information gathered by an array of new state-level agencies. Today MAC consists of a tiny staff using a bare-bones computer system with no real-time links to state police or other intelligence sources. Only five of India's 35 states have done their part by setting up local agencies.
The latest rampage in Mumbai has prompted widespread demands for the country's politicians to do something about terrorism instead of just talking about it. "There must now be public pressure on them the way it was in the United States after 9/11," says intelligence expert B. Raman. "We must tell them they won't get votes if they bicker over terrorism and politicize it."
Indians are fed up. "If the politicians abrogate their duty once again, I am not saying the streets will burn," says Bollywood actor and activist Rahul Bose. "But Mumbai will be a very, very angry place."
With Christopher Dickey

URL: Lessons From Mumbai's Latest Terrorist Rampage | Newsweek International | Newsweek.com
 
IN my opinion,and in the opinion of many,modern day terrorism is just next to impossible to nip in the bud.with the advent of sucide killers the fight against such atrocities has just become too complicated.Coordination of the various security apparatus,has now proved unworkable.when a plot is foiled its only cause someone chickened out and betrayed the cause or it could be as a result of not knowing how to use communication equipment.We tend to blame the authorities,but in reality,how do you stop someone who is ready to die
 
Rev. Kishoka,
Mkuu haya ndio matokeo ya kufikiria sisi Miungu wa dunia na tutatawala miaka yote bila huruma kwa wananchi wengine..
Sina Uhakika na chanzo cha haya yaliyotokea huko India lakini binafsi nina imani kubwa kwamba inatokana na udhalimu wa tawala zetu, Udhalimu wa kabila ama kundi fulani la watu kuwa na nguvu za kiungu dhidi ya wananchi maskini...
Tanzania Inawezekana kabisa kutokea hasa mwamko wa kisiasa unapochachamaa kutafuta haki fulani..
Kwa mfano Mauaji ya Bulyanhulu kama jamaa wangekuwa ni ktk makundi kuunda jimbo la Wasukuma, basi mauaji yale yangezua tatizo kubwa. Tazama mauaji ya Pemba mwaka 2000 yote haya yangeweza ku- ignite Ugaidi...lakini tumshukuru Mungu kwamba bado kabisa hatujaunda hizo tabaka kufikia hali za nchi za wenzetu.

Binafsi ninaamini kabisa kuwa mambo mengi yanayotokea leo duniani chanzo chake ni SIASA MBAYA za uungu!..Haya majina ya Terrorists tunayakuza wenyewe badala ya kuangalia sisi wenyewe matendo yetu.. Zamani wahindi wekundu waliitwa SAVAGE people, weusi tukaitwa Niggers, wahindi wakaitwa Pakis na kadhalika lakini ilikuwa limited to certain countries under occupation, leo hii wigo la kupingana na udhalimu umepanuka zaidi na yote hii inatokana na jinsi Ubepari mpya wa uungu unavyojipanua ndani ya maisha na makazi ya wayonge!.

Tanzania nadhani tuna hatari nyingine tofauti kabisa na hiyo ya India, ni hawa mabepari miungu watu kuja kushindana na serikali...Njia pekee kwa serikali yetu ili kuhakikisha Usalama wa wananchi wake ni kutokubali kuwepo makundi ya watu wanaojiona wao bora na Untouchables kwa kutumia nguvu ya dola...
Haya matatizo tuliyokuwa nayo leo yote yametokana na kuachiwa baadhi ya viongozi kina Mkapa na Lowassa kujenga nguzo za udhalimu.. kujilimbikiza mali na power kama Scarface.. Ni hawa ambao huko mbeleni watatuletea matatizo kwa sababu nyuma yao kuna wafuasi na kwa urahisi sana wanaweza kutumia dini ama makabila yao kuanzisha Upinzani wa Kigaidi..
Inasikitisha sana kwa yote yaliyokea India, lakini kwa muda mrefu sana imekuwa ikitabiriwa kutokea!..kwa hiyo sio tu kuhusiana na vyombo vya Usalama bali pia chimbuko lake limetokana na Utawala mbovu unaohimiza kuwa wapo watu maskini kwa sababu wamelaaniwa!
 
IN my opinion,and in the opinion of many,modern day terrorism is just next to impossible to nip in the bud.with the advent of sucide killers the fight against such atrocities has just become too complicated.Coordination of the various security apparatus,has now proved unworkable.when a plot is foiled its only cause someone chickened out and betrayed the cause or it could be as a result of not knowing how to use communication equipment.We tend to blame the authorities,but in reality,how do you stop someone who is ready to die
Ni kazi sana kuzuia mtu ambaye anataka/amekubali kufa. Lakini kitu ambacho kimeonekana ni makosa ni mapolisi na viongozi wengine kupuuzia maneno ya watu, Naona hii imetokea sehemu zote, huko India walipuuzia waliyokuwa wanaambiwa eti hakuna ushahidi wa kutosha na walipuuzia kufuatilia, na US nako waliambiwa lakini hawakuwa aggresive kufuatilia na matokeo yake waliyaona. Sasa nimefurahi kwamba Rev kawaandikia watu wanaosoma ambao ni viongozi au wapambe wao wawe macha na kutokupuuzia habari kama hizo. Kwa sababu najua unawajua polisi wetu kaka jinsi walivyo, unaweza kupeleka habari kama hiyo ukaishia kutukanwa na kufukuzwa, na sijui kama kuna kitengo maalumu cha kupiga simu au kwenda (I mean Bongo.)
 
Tev Kishoka

MImi nitachukua msimamo ambao kiduch watu wataanza kusema maeno ya speculation na kadhalika lakini potelea mbali wenye kuhisi watakacho wahisi and i care less


Anyway kabla ya kuendelea sijui unataka nikujibu on Intelligence side of the issues au the way Military ilivyoconduct the entire operation
 
Kama unataka operation insight ni kuwa hawa wahindi wasikutishe sana kwa sababu in my humble opinion huwezi uka tangazia dunia kuwa una SPECIAL FORCES na COMMANDO UNITES ili hali maisha ya watu wengi yamepotea namna ile


122786493641fp081128a792.jpg

45248189akap466tn7.jpg

kwa kuanza tuu mimi si mtaalam sana wa mambo ya kijeshi picha hii hapo juua inaonyesha wazi jinsi gani huyop COMMANDO wa kihindi anayo apply gansta style shooting ambayo mara ya mwisho niliiona kwenye BBC reporting on DRCONGO...katika hostage situation kama ile huwezi ukaanza kuspray bullets for the sake of it




issue ya pili inaonekana wazi kuwa all of their equipment seems to be quite outdated. Mfano hawa jamaa bado wana Old generation ya MP5, Shati jeusi na suruali nyeusi badala ya black overall black...

Vile vile kuna suala la HELMET kusema ukweli ukiuliza mtu yeyote yule anyejua masuala ya kijeshi atakuambia kuwa hizo helmet ni za kizamani na na huhitaji kuwa na PHD ukajua kuwa level of protection yake ni ndogo sana

Hizo ni Russian au czechoslovak paratrooper walizo zivaa miaka ya 60 kama hii picha inavyoponekana :

P-64.jpg


zaidi ya hayo kwa upande wangu the only modern weapon waliokuwa nayo wale the so called INDIAN COMMANDOS ilikuwa ni SiG Sauer sharpshooter rifle. Zilizobaki zilikuwa ni Enfields! AKs, FN FALs or Insas rifles.


Halafu ajabu nyingine ya dunia ni tangu lini Ma Commando waliokuwa kwenye active duty kama ile wakawa hawajavaa balaclavas? - naona walivaa vitambaa tuu au ndio wadhungu wanaita scarf, quite strange, actually they looked more like terrorists...


na kama walibadili basi walibadili hii

getimageCA5IYF5D.jpg
 
Last edited:
Hehe...The Truth yuko wapi aje atuelezee kuhusu macommando wao..kwa kifupi Commandos wao naona walichemsha, ATS ndio kabisa, kuuliwa kwa head wao kunaonyesha jinsi walivyo incompetent.
 
Hehe...The Truth yuko wapi aje atuelezee kuhusu macommando wao..kwa kifupi Commandos wao naona walichemsha, ATS ndio kabisa, kuuliwa kwa head wao kunaonyesha jinsi walivyo incompetent.

getimage7.jpg
 
r292327187ap3.jpg


Pamoja na kuwashangaa Wahindi na serikali yao...hii picha imenivutia sana kwa sababu its speaks a million words. Mwanajeshi huyu wa Kihindi kama wanajeshi wetu ni: underpaid, under equipped, ever smiling, humble, worn out, selfless, innocent Indian Soldier. No Politicans, No Media Crap, No fake liberals, No nobody.

Just him and his poor countrymen. Nadhani mnaona kwa nini nililalamika hatukuwafanyai welcoming parade wanajeshi wetu waliporudi toka Comoro...maybe serikali iliogopa tungeona kuwa hawana viatu na tungeona uchokavu wa vifaa vyao vya kazi
 
Natumaini nchi yetu itajifunza mengi kutokana na hili tukio, nakumbuka baada ya 1998 Bombing FBI walikubali kufundisha polisi na wanajeshi wetu ilikuform kikosi cha Anti Terrorism ila viongozi wetu wakapeleka marafiki zao ambao walikuwa wanakaribia kustaafu. RIP innocent victims wa hili tukio.
 
Natumaini nchi yetu itajifunza mengi kutokana na hili tukio, nakumbuka baada ya 1998 Bombing FBI walikubali kufundisha polisi na wanajeshi wetu ilikuform kikosi cha Anti Terrorism ila viongozi wetu wakapeleka marafiki zao ambao walikuwa wanakaribia kustaafu. RIP innocent victims wa hili tukio.

Dude don't get me started about us.....we're a joke that ain't even funny!!!
 
Dude don't get me started about us.....we're a joke that ain't even funny!!!

Ila Luis Freeh aliwapongeza Investigators wa bongo, ndio maana akasema yuko tayari kuwafundisha jamaa wawe na elite force kwa cost za walipa kodi wa US lakini sijui waliishia wapi.
 
_45217511_africa_piracy_map226_3.gif


Kutokana na hii ramani kutoka BBC inaelekea wasomali wanaweza kuja kuteka meli karibu kabisa na pwani yetu bila wasi wasi wowote. Hii hainipi imani kubwa juu ya uwezo wetu wa kuhimili mashambulio kama haya yaliyotokea Mumbai.
 
msimamo wangu uko palapale,whatever you do,a sucide bomber hata awe mbumbumbu,will always breach your lines.this is the fundamental truth.i believe the security in ISRAEL is bullet proof yet palestinians,hata ma housewife wanabreach security na ku bomb right in the heart of tel aviv
 
Rev Kishoka,
Siku zote napenda kuchangia thread zako maana unaleta hoja za maaana. I tend to agree with Mkandara kwa sababu nadhani tunaangalia end result siyo chanzo. Kama Tanzania tungewekeza katika watu na conflict resolution ndani ya nchi yetu kiasi kile ambacho tunawekeza katika kuimarisha polisi, wanajeshi nk. basi tusingetakiwa kuwa na wasiwasi wowote. Lakini unakuta kwamba hatuna habari na wananchi tunaacha katika hali ya umaskini, dhuluma etc. Sasa tunalilia kuimarisha jeshi na polisi... son of Alaska kasema ukweli, wakiamua kujitoa muhanga hakuna tutakachoweza kufanya.
 
Natumaini nchi yetu itajifunza mengi kutokana na hili tukio, nakumbuka baada ya 1998 Bombing FBI walikubali kufundisha polisi na wanajeshi wetu ilikuform kikosi cha Anti Terrorism ila viongozi wetu wakapeleka marafiki zao ambao walikuwa wanakaribia kustaafu. RIP innocent victims wa hili tukio.

Mkuu naomba niwe mbishi kwa hili. Wenyenchi si watu wa kujifunza hata kidogo. Kama ni kujifunza si lazima iwe toka Mumbai tu ni kujifunza katika mambo madogo yaliyondani ya uwezo bila Marekani na UN. Mfano ajali za barabarani zinaua watu kwa uzembe kila kukicha, na msimu huu wa sikukuu ni kama vile watu wanatolewa kafara, mbona hatujifunzi? Wenyenchi wamebaki na pri pri tu wakati sheria ziko wazi kwa vyombo vya usafiri na watumiaji wake
gggggggggggggggggggggggggggrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrhhhhhhhhhhhhhhhhh!!!!
 
Mkuu naomba niwe mbishi kwa hili. Wenyenchi si watu wa kujifunza hata kidogo. Kama ni kujifunza si lazima iwe toka Mumbai tu ni kujifunza katika mambo madogo yaliyondani ya uwezo bila Marekani na UN. Mfano ajali za barabarani zinaua watu kwa uzembe kila kukicha, na msimu huu wa sikukuu ni kama vile watu wanatolewa kafara, mbona hatujifunzi? Wenyenchi wamebaki na pri pri tu wakati sheria ziko wazi kwa vyombo vya usafiri na watumiaji wake
gggggggggggggggggggggggggggrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrhhhhhhhhhhhhhhhhh!!!!

Somo la kujifunza? Never on earth! Nakubaliana kabisa nawe MwalimuZawadi.

Kwenye matukio mazito kama haya sisi tunamkimbilia Mungu/Mola. Na hapa ndipo ilipo our weakest link: God/Allah will do something for us. Kama sio upande huo wa shilingi, basi kwenda kupiga ramli (also hope for some supernatural powers to intervene).

We are just as good as dead brains.
 
Nina mashaka sana na vyombo vyetu vya usalama. Nikikumbuka sana lile tukio la kupiga mabomu ubalozi wa Marekani, najua bado tuna kazi kweli kweli.
Jambo la kuwa na uhakika nalo nikwamba siku zote magaidi huwa ni wananchi wenyewe waliochoka utawala wa kinyanyasaji. Hapo ndipo naona hatari iliyoko mbele zetu wakuu
 
Rev Kishoka,
Siku zote napenda kuchangia thread zako maana unaleta hoja za maaana. I tend to agree with Mkandara kwa sababu nadhani tunaangalia end result siyo chanzo. Kama Tanzania tungewekeza katika watu na conflict resolution ndani ya nchi yetu kiasi kile ambacho tunawekeza katika kuimarisha polisi, wanajeshi nk. basi tusingetakiwa kuwa na wasiwasi wowote. Lakini unakuta kwamba hatuna habari na wananchi tunaacha katika hali ya umaskini, dhuluma etc. Sasa tunalilia kuimarisha jeshi na polisi... son of Alaska kasema ukweli, wakiamua kujitoa muhanga hakuna tutakachoweza kufanya.

Susuviri,

Si lazima tuangalie hili jambo kwa minajili ya udini kama wengine wanavyojaribu kulisukuma jambo hili liwe.

Nafikiri sikueleweka jinsi nilivyolizunguimzia suala la Mumbai.

Nimeleta somo hili kuonyesha udhaifu wa Polisi na hata Serikali kufanya kile ilichopaswa kukifanya ama kuzuia au kupunguza athari za yaliyotokea.

Ni kweli kuna haja ya kushughulikia shina na kianzio cha matatizo ambayo hufanya watu wafikie hatua za kufanya uhalifu na ugaidi wa namna hiyo hasa pale inapokuwa ni masuala ya uonevu.

Sasa nikurudi kwa Tanzania, labda niongelee suala la Ma-Albino (Zeruzeru) ambao kwa zaidi ya mwaka mmoja, wamekuwa wakipoteza maisha yao kwa ajili ya ushirikina. Kilio chao hakijaanza juzi, bali kimeanza awali sana, lakini Serikali yetu kama kawaida haikuona kuwa kuna tatizo au kuchukua hatua madhubuti mpaka pale tulipoanza kukoromewa na wafadhili na wahisani na dunia nzima kujua kuwa Tanzania kuna kafara za Ma-Albino.

Hata suala la Ufisadi, iwe ni ATCL, EPA, Radar, TRL na hata Richmond, vyombo vinavyopaswa kufanya uchunguzi na kinga (prevention) vimekaa kimya kusubiri kutibu(peleka kesi mahakamani, wizi na uhujumu umeshatokea).

Sasa nachojiuliza kwa nini hatubadilishi mtazamo wetu kwa kutumia ule usemi wa Kinga ni bora kuliko Tiba?

Sasa kwenye Kinga, ndipo unakutana na hoja ya Mkandara aliyoilieta ya kuvalia njuga matatizo ya watu na jamii yawe ni hisia au ni kweli yanatokea. Tukiweza kuchughulikia kero na manung'uniko, si ajabu hata mtazamo wa wananchi kuhusiana na maendeleo unaweza badilika maana wataona kuna Serikali inayowajibika na hivyo nao watapaswa kuwajibika.

Tukiendelea kuwa na Serikali iliyo "mguu pande, mwili legeza" tutaendelea kuwa na maudhi, kero na vurugu kila siku, na kama India siku moto unawaka, tutaanza kutafuta maji mtoni!
 
Ila Luis Freeh aliwapongeza Investigators wa bongo, ndio maana akasema yuko tayari kuwafundisha jamaa wawe na elite force kwa cost za walipa kodi wa US lakini sijui waliishia wapi.

No amount training can prepare us to respond swiftly and adequately to such an attack if we lack the wherewithal, logistics, and the infrastructure that is necessary during emergency situations.
 
Back
Top Bottom