Somo kwa wahafidhina wa Laliga

Somo kwa wahafidhina wa Laliga

Je Timu ya Uengereza yaweza Kucheza Fainali ya UCL?

  • Ndiyo

  • Hapana


Results are only viewable after voting.
mkuu ila hata VODACOM PREMIER LEAGUE imebamba sana. hembu tafuta kingamuzi cha azam ufatilie. achana na huu utumwa mambo leo
 
Hawakumbuki Madrid akiwa kwenye ubora mpaka kuchukua ubingwa ucl mara 2 mfululizo ndo alimfunga Liverpool aliyekuwa mbovu, lakini Liverpool akiwa katika ubora wa kawaida na Madrid kama kawaida yake na stars wakubwa alikaa nje ndani ucl.
Wamezoea kubebwa na UEFALONA hawa sasa wakajiona eeee ndo timu kali pekee zipo spain.... Nasikia kuna marefaree 20 kutoka spain kwenye world cup, kuna harufu ya figisu apa.

Wacha tuwape kisomo mara hii.

Nataka EPL teams zipangwe na La Liga teams kwenye round of 16, kieleweke mapema
 
Unazungumzia kupotea???? Haha Arsenal vp?? Liverpool nayo??? Man U tangu aondoke Ferguson vp??? Acha kutuchekesha hapa
Wewe rudi kaangalie simba na yanga. Unataka kufananisha Valencia au Sevilla na kina Liverpool. Ok Real Madrid alikaa miaka 30 bila CL kwa hiyo unamuweka kundi moja na Sevilla.
 
Mkuu hao wote unaowasema wazur wanatamani kwenda kucheza league bora (laliga) Coutinho na De Gea ni mfano wa watu wanaonganganiwa lkn wanataka kwenda kwenye mpira unaoendana na kiwango Chao
Sema wanataka kuchezea Real au Barca sio La liga. Waache waende Sevilla, A.Madrid au Real betis. Ndio kule tunarudi league ni team 20 isiwe 2
 
Msimu uliopita pia Real Madrid alimalza kundi akiwa wa pili.


Na Huyu NAYE HISTORIALISATION inafanya Kazi Yake.....
Sasa Kama ulikariri last season! Na Mara hii pia Kariri Real Atakuwa Bingwa...
 
Hebu niambie timu yoyote ile EPL ya kuweza kuzima mziki wa Barca, Bayern na Psg


Kwa Wewe Uliyeanza Kuona Mpira 2013 Ni Lazima uamini hivyo...
By the way sihusiki na Unachokiamini Bali nahusika na Ninachokiamini Mimi tu!
Hao Mdobwedo Uliowataja Wanaomba Dua Wasijepangiwa Na Timu Ya Kiingereza Moja Kati ya Hizi 3 munazozizarau...

1) Man United

2) Chelsea

3) Liverpool

Hao Sijui Barca, Beryan, PSG kwa Timu za EPL Ni wachumba tu...
 
Sema wanataka kuchezea Real au Barca sio La liga. Waache waende Sevilla, A.Madrid au Real betis. Ndio kule tunarudi league ni team 20 isiwe 2


Tatizo lao inaonesha Hawajui Kama Hakuna Mchezaji Mwenye Hamu Ya La Liga Bali Mpira Ni Biashara Kwahiyo Wachezaji Hawafuati Laliga Bali Wanaenda Kufata Real na Barca Kwa Ajili ya Hela tu Kutokana na Utajiri Wa Timu Hizi Mbili....

Kama Wachezaji Wanaitaka La Liga Mbona Atletico Hawakai na ipo Laliga? Kina Hererrah Wamehama Katika Vilabu walivyozaliwa na Kuna EPL unaona Sababu Ni Nini?

Huoni Kuwa Neymar Kaihama La Liga Kenda PSG Sababu nini?

Sababu Ni Hela tu! Hata Suarez akimwagiwa Mpunga Barca Nayeye atatimkia PSG kula Hela... Hapo Ndiyo Utajua Watu Mapenzi Yao Si La Liga Bali Ni Hela Za Real na Barca Kwani Hata Sevilla ipo Laliga lakini Hakuna Star Wa EPL anayeitaka Kuichezea..
 
Hivi Ukiitoa El Clasico Ni Mechi Gani Watu Wanayoifatilia?

Huko Kujuolikana Hicho Kijiligi Chenyewe Ni Kwa Hisani Ya Azam TV kuwaletea Huduma Karibu... Venginevyo Mungeendelea Kuifatilia EPL Dstv....

Na Wapenzi Wa Laliga Kwa Asilimia 98% Ni wale Walioanza Kupenda Mpira Kuanzia 2009 kwa Kumjua Messi.
Mtaalam umetupia avatar ya Liverpool ila unaulewa mdogo sana kuhusu mpira. EPL sikuhizi EPL imekua kawaida sana. Mm binafsi na familia yangu tunaangaliaga Serie A tu mwaka wa ishirini na nne huu. Ukiangalia takwimu siku hizi watu wanaangalia kilicho bora. Mtu na akili zako timamu huwezi kuangalia Liverpool au arsenal ukaicha mechi ya PSG. Usijisifu unatimu nzuri kwa Maribor na Lokomotiv Moscow.
 
Mtaalam umetupia avatar ya Liverpool ila unaulewa mdogo sana kuhusu mpira. EPL sikuhizi EPL imekua kawaida sana. Mm binafsi na familia yangu tunaangaliaga Serie A tu mwaka wa ishirini na nne huu. Ukiangalia takwimu siku hizi watu wanaangalia kilicho bora. Mtu na akili zako timamu huwezi kuangalia Liverpool au arsenal ukaicha mechi ya PSG. Usijisifu unatimu nzuri kwa Maribor na Lokomotiv Moscow.


Hivi Ulivyofahamu Wewe Hapa Tunaongelea Nini?

Nadhani ungelimtafuta Mtu aliyepita Shule Akakusomea Kile Nilichokiandika Ndiyo uje Ucomment Coz Mimi hapa Sikumbuki Kuijadili Liverpool!!!!!...

Ngoja Nikwambie Kitu! Baba Yangu Mzazi Ni Mshabiki Wa Simba na Huu ni Mwaka Wa 40 anafatilia Ligi Kuu Ya Tanzania na Hajawahi Kufatilia Ligi Nyengine Yoyote Hile Duniani! Nikimaanisha Ni Mapenzi Yako Kufatilia Ligi Uitakayo Hata Kama Haina Ubora...

Sawa Wewe Kusema Unafatili Serie A labda unakusidi Kuprove Nini???
 
Mtaalam umetupia avatar ya Liverpool ila unaulewa mdogo sana kuhusu mpira. EPL sikuhizi EPL imekua kawaida sana. Mm binafsi na familia yangu tunaangaliaga Serie A tu mwaka wa ishirini na nne huu. Ukiangalia takwimu siku hizi watu wanaangalia kilicho bora. Mtu na akili zako timamu huwezi kuangalia Liverpool au arsenal ukaicha mechi ya PSG. Usijisifu unatimu nzuri kwa Maribor na Lokomotiv Moscow.
PSG unangalia akicheza na Nantes au? Maana naona hatuko katika one issue mara league bora tunaongelea team. Unaweza kuwa unaangalia Seria A lakini haina maana ni league bora. Kuna watu wako Vodacom wanatizama hata Yanga na MajiMaji .
 
Mashabiki wa EPL mkibahatisha kupita group stage huwa mnakelele sana.
 
Haya tuliyajua mapema siku man u na Liverpool wakirudi UEFA wataanza mbwembwe. Watu wapo na moto wao. Utashangaa nusu wanaingia walewale wababe madrid, barca, juve, na bayern na PSG. Liverpool kwa ukuta ule wa chujio la nazi kufika robo tu Mungu saidia, hao chelsea waliosumbuliwa na Roma vile ndio kabisaa hawajielewi. EPL timu zitazoleta ushindani ni mbili tu, Man u na Man City. Hizi ni timu zenye makocha wanaliopata mafanikio kupitia UEFA hivyo wanauwezo wa kupambana na Hali zao vizuri.
 
Yan hao spurs mnaowasifia kila mwaka hiyo 16 bora ndio hatua yao kubwa. kunatimu zipo kwenye pepo ya kufika fainali. Ligi ya EPL sio bora ila watu wanatumia nguvu nyingi kujiamisha ligi hiyo ni bora. Kushuka kiwango kwa miaka takribani sita ya EPL kulipelekea mashabiki maandazi kama King. .... kutokuangalia ligi yao hadi leo hii kuona timu 6 zimefudhu kuingia 16 bora ndio wanaonekana. Hizi kauli kwa nn hazikusemwa ndani ya miaka 6 hii. Hii ni chuki inayojidhihirisha watu walikua nayo kuona baadhi ya timu na ligi zikifanikiwa. Sasa hivi timu nyingi za EPL NB Man u na Liverpool zimebakia zinauza brand tu kama Lakers NBA Ila uwanjani vyombo hamna.
 
kuna watu wanatamani kuviona vilabu flani vikubwa vikipotea kama timu zao. Ila ndio hivyo timu zimejipanga. Ipo wapi ac milan, je vipi man u ya Sir Alex utaiweka sawa na ya huyu mpita njia. Kufananisha kwako kwa kishamba sana sababu si mtu wa mpira ila umejawa na mahaba tu. Mwache kila mtu aangalie ligi yake bora. Ww ukiona arsenal vs man u Bonge la mechi, wenzio Atalanta vs Juventus au Sampdoria vs Genoa ataona Bonge la mechi.
 
Back
Top Bottom