Nyinyi Porojo Nyingi Mbona Tukiwauliza Maswali Hamtujibu Kuhusu Ubora Wa Ligi???
1) Je, FC Poto ilipobeba CL 2004, Ligi ya Ureno ilikuwa Ligi Bora??
2) Je, Inter Milan ilipobeba CL 2010 Ligi ya Italy ilikuwa Ligi Bora??
3) Je, Beryan Munich ilipobeba CL 2013 Ligi ya Ujerumani ilikuwa Ligi Bora??
Jibu hapo tupate Pa Kuanzia...
hahahahahahaAkikujibu Nitag 😀😀😀😀
Wachache sana tulioiamini Madrid kama ingeweza win Uefa back to back last season....Madrid akibeba ubingwa mwaka huu nitatembea uchi Bunju mpaka posta mpya...
Yeyote ajitokeze kuandikiana hiki kiapo
View attachment 645742
Hivi hapa Psg ana shindana na sevilla kwa point ngapi ktk jumla ya misimu hapo.... Man city je!?
View attachment 645745
Hivi Liver hapa ana jumla ya point ngapi? kwa jumla ya misimu
View attachment 645743 View attachment 645744
Mbona unauliza maswali mepesi...Nyinyi Porojo Nyingi Mbona Tukiwauliza Maswali Hamtujibu Kuhusu Ubora Wa Ligi???
1) Je, FC Poto ilipobeba CL 2004, Ligi ya Ureno ilikuwa Ligi Bora??
2) Je, Inter Milan ilipobeba CL 2010 Ligi ya Italy ilikuwa Ligi Bora??
3) Je, Beryan Munich ilipobeba CL 2013 Ligi ya Ujerumani ilikuwa Ligi Bora??
Jibu hapo tupate Pa Kuanzia...
Ligi ikiwa bora lazima itoe timu zenye kuweza kupambana na timu zinazotoka ligi mbovu au zisizokuwa bora.Tatizo Letu Hamujui Tofauti Ya LIGI BORA, na TIMU BORA...
Yawezekana LIGI IKAWA MBOVU kama LALIGA lakini Ndani Yake Mukawa na TIMU BORA kama Zilivyo REAL na BARCA kutokana na uwekezaji Wao...
Yawezekana LIGI IKAWA MBOVU kama ilivyo FRANCE lakini Mukawa na TIMU BORA kama ilivyo PSG kutokana na uwekezaji wake...
Yawezekana Ligi IKAWA MBOVU kama ilivyo Ujerumani lakini Ndani Yake Mukawa na TIMU BORA kama ilivyo Beryan kutokana na Uwekezaji wake...
Kwahiyo Jifunzeni Kudadavua Mambo...
EPL NI BEST LEAGUE IN THE WORLD
Ligi ikiwa bora lazima itoe timu zenye kuweza kupambana na timu zinazotoka ligi mbovu au zisizokuwa bora.Tatizo Letu Hamujui Tofauti Ya LIGI BORA, na TIMU BORA...
Yawezekana LIGI IKAWA MBOVU kama LALIGA lakini Ndani Yake Mukawa na TIMU BORA kama Zilivyo REAL na BARCA kutokana na uwekezaji Wao...
Yawezekana LIGI IKAWA MBOVU kama ilivyo FRANCE lakini Mukawa na TIMU BORA kama ilivyo PSG kutokana na uwekezaji wake...
Yawezekana Ligi IKAWA MBOVU kama ilivyo Ujerumani lakini Ndani Yake Mukawa na TIMU BORA kama ilivyo Beryan kutokana na Uwekezaji wake...
Kwahiyo Jifunzeni Kudadavua Mambo...
EPL NI BEST LEAGUE IN THE WORLD
Madrid ya msimu huu hana tofauti na LipuliSijaamini Kama watu wanaweza idharau Madrid kiasi hiki
Tunaongelea msimu huu ufalme wa La Liga UEFA unaelekea mwisho na kuwa nwabzo wa EPL kutamba teba kana zamaniMara ya mwisho bingwa wa champions league kutoka England ni 2012..
Kwahiyo kwa misimu 5 champions league imechukuliwa na nchi nyingine..
Kati ya mara hizo 5 , mara 4 ubingwa umeenda la liga, na moja ujerumani...
Hapo usiulize katika mfululizo huo la liga wamekutana fainali wenyewe mara ngapi, nusu fainali mara ngapi wanakutana wao tuu wanapunguzana..
Uliza wafungaji bora wa uefa champions league wanatoka ligi gani kwa miaka 10 iliyopita???
Wachezaji bora wa hiyo Uefa, kuanzia mabeki , viungo hadi washambuliaji wanatoka ligi gani?
Ukishamaliza kujiuliza na kupata majibu utajua mwenyewe ligi bora ni ipi..
Tatizo England mafanikio kidogo mdomo mwingi, just imagine harry kane angekuwa ana goli 9 za kama Ronaldo sahizi au Manchester united wangekutana fainali champions league na liverpool mara mbili ndani ya miaka mitatu kama atletico na real madrid.. uone jinsi wangepiga makelele
Teh teh teh teh teh 😀😀😀 Mimi Ni Fan Boy Wa Ronaldo Ni Role Model wangu Wa Muda Mrefu Katika Sika lakini Ninajua na Nina Uhakika 100% Kuwa Ronaldo Ni Gay (Shoga)...
Anaebisha abishe tu...
Hapo kwa PSG nimekuona wewe haujui kitu kabisaKwani Nani Aliyesema Kuwa Real Na Barca sio Timu Bora? Au unaona Mimi sijui? Au ipo sehemu niliyosema Barca na Real si Timu bora?
Hata Beryan Ni Timu Bora Barani Ulaya na Wala Halina Mjadala! Lakini Je Kwakuwa Beryan Ni Timu Bora na Ligi Yake itakuwa Bora?
Hapo
Kwahiyo Na Real and Barca Ni Timu Bora lakini Ligi yao Ni Kigenge cha Wao Kujipigia tu Halina lolote...
Mimi Nazungumzia Ligi sio Timu Fulani na Fulani
Kumbe mnapiga ramli eeh..Tunaongelea msimu huu ufalme wa La Liga UEFA unaelekea mwisho na kuwa nwabzo wa EPL kutamba teba kana zamani
E.P.L ni ligi yenye ushindani maana ina timu nyingi zenye viwango vinavyokaribiana...Wenye mapenzi na La liga si muangalie league yenu bora sisi tuachieni league yetu ya EPL. Maana mnatumia nguvu badala ya kujadili league bora mko CL. Fungua kibanda chako onesha la liga na jirani aoneshe EPL, utakifunga kibanda hata luku utashindwa kulipa. Mko huru na league yenu sisi tuachieni yetu hatuwezi wote kuangalia league moja.
ushindani upi hapo unao uzungumzia mkuu... kama ni kuchukua kombe basi EPL watoe Spurs, arsenal, liverpool, na ikiwezekana Man utd... kwa kuwa wamebaki ni historia na hakuna walicho beba kwa siku za karibuni
na kama ni wapinzani wanatoa matokeo chanya basi na ktk lig zingine wapo wengi na ndio maana hakuna timu ktk hizo ligi zilizo baki iliyo wahi kushinda mechi zote ktk lingi... kama zipo zitaje... na kamaa hamna ndio ushindani ulipo...
Hatuzungumzii timu au ligi zinazoshinda Uefa kwa ngekewa au mara moja moja tuNyinyi Porojo Nyingi Mbona Tukiwauliza Maswali Hamtujibu Kuhusu Ubora Wa Ligi???
1) Je, FC Poto ilipobeba CL 2004, Ligi ya Ureno ilikuwa Ligi Bora??
2) Je, Inter Milan ilipobeba CL 2010 Ligi ya Italy ilikuwa Ligi Bora??
3) Je, Beryan Munich ilipobeba CL 2013 Ligi ya Ujerumani ilikuwa Ligi Bora??
Jibu hapo tupate Pa Kuanzia...
Huyo jamaa sio mzima...halafu sijui ndo shabiki wa Liver,sasa shabiki wa Liverpool si zilipendwa atabishana nini???Mbona unauliza maswali mepesi...
La liga kati ya miaka mitano 5 imechukua ubingwa mara 4, we unaleta mifano hata hailingani, eti fc porto mara inter, nambie ligi yao ndani miaka mitano ilichukua mara ngapi..
Wachezaji bora wote wa dunia wapo la liga, mataji yapo la liga, kigezo chako cha ubora ni kipi?
Ndugu yangu ligi bora haipimwi kwa msimu mmoja eti kisa inter alichukuwa uefa 2010 basis seria A ndio iwe bora hapana hatuangalii hivyo unakosea sanaNyinyi Porojo Nyingi Mbona Tukiwauliza Maswali Hamtujibu Kuhusu Ubora Wa Ligi???
1) Je, FC Poto ilipobeba CL 2004, Ligi ya Ureno ilikuwa Ligi Bora??
2) Je, Inter Milan ilipobeba CL 2010 Ligi ya Italy ilikuwa Ligi Bora??
3) Je, Beryan Munich ilipobeba CL 2013 Ligi ya Ujerumani ilikuwa Ligi Bora??
Jibu hapo tupate Pa Kuanzia...
Unakariri historia ya kuwa bora???Ubora bila kubeba vikombe ni sawa na bureNyinyi Endeleeni Kukariri Historia (Real vs Atletico)..... Wakati sisi tunaendana na Wakati uliopo....
Ukweli mchungu yeye amejawa na mahaba tu ila ukweli hanaKwa jibu hilo nafikiri saa hizi kashaenda kukojoa na kulala...7th December EPL wanasheherekea kuingizia timu 5 hatua ya 16,3rd June LFP watakuwa wanagonga mvinyo na wa kubebe Uefa mara 5 mfululizo.