Somo kwa wahafidhina wa Laliga

Somo kwa wahafidhina wa Laliga

Je Timu ya Uengereza yaweza Kucheza Fainali ya UCL?

  • Ndiyo

  • Hapana


Results are only viewable after voting.
Kwa Mara Ya Kwanza Yaandikwa Rekodi Kwa Nchi Moja Kuingiza Timu 5 hatua Ya 16 bora Katika UEFA Champion League...

Ligi Kuu Ya EPL nchini Uengereza imefanikiwa Kuingiza Timu 5 kati ya 16 zilizofuzu Katika Hatua ya Last 16 jambo ambalo halijawahi Kufanya na Nchi Yoyote hile Katika Sayari Hii...
Na Nafasi Hizi Tano za Kushiriki Champion League Waingereza Hawakupewa Kwa Upendeleo, Bali Wamezitafuta Kwa Jasho lao.

1) Spurs (Kaongoza Kundi)

2) Man United (Kaongoza Kundi)

3) Man City (Kaongoza Kundi)

4) Liverpool (Kaongoza Kundi)

5) Chelsea (Nafasi Ya Pili)

Na ikumbukwe Kuwa Bingwa Wa Laliga (Real) Katika Kundi Lake Kagalagazwa Na (Spurs) Timu inayoshika Nafasi ya 6 kwenye EPL....

Ni WanaLaliga 2 (Real na Sevilla
) Walikutana na WanaEPL 2 (Spurs na Liverpool) respectively Katika Makundi Yao Lakini Hawakuweza Kufurukuta na Wakaishia Nafasi za Pili kila Mmoja.

Halafu Leo Wanatokea Misukule from Nowhere wanakwambia "LALIGA NI LIGI BORA UKILINGANISHA NA EPL"!!! Yaani Nashindwa Kujenga Picha sijui Ni Majani ya Wapi Wanayovuta hawa Jamaa... 😀😀😀
Wengi wataaga kwenye huu mtoano..
Bingwa anaweza kutoka huko huko La liga
 
Unamaanisha Epl uchwara ni ligi bora kwa hatua ya makundi au?

Hebu weka akiba ya maneno, robo finali ndio UCL inapoanzia
 
Kwani Msimu Huu Tayari imeshachukuliwa??
Mimi naongea this season Kuwa EPL na timu zake hazishikiki...
Wewe Kama unaongelea Miaka ya 1965s basi Mimi hainuhusu..
***** msimu sevilla kamulambisha man u matapishi, kudadeki Barcelona kamnyoa Chelsea, hiyo ndiyo LALIGA THE BEST LEAGUE IN THE WORLD. Eti timu gani hazishikiki? Nenda kachambue ndondo naona ndio ilkuwa saizi yako, vitu kama hivi vinahitaji akili kubwa.
 
***** msimu sevilla kamulambisha man u matapishi, kudadeki Barcelona kamnyoa Chelsea, hiyo ndiyo LALIGA THE BEST LEAGUE IN THE WORLD. Eti timu gani hazishikiki? Nenda kachambue ndondo naona ndio ilkuwa saizi yako, vitu kama hivi vinahitaji akili kubwa.
Pia mkumbushe kua sevilla aliemnyoa Man U anashika nafasi ya saba Laliga!
 
Kwa Mara Ya Kwanza Yaandikwa Rekodi Kwa Nchi Moja Kuingiza Timu 5 hatua Ya 16 bora Katika UEFA Champion League...

Ligi Kuu Ya EPL nchini Uengereza imefanikiwa Kuingiza Timu 5 kati ya 16 zilizofuzu Katika Hatua ya Last 16 jambo ambalo halijawahi Kufanya na Nchi Yoyote hile Katika Sayari Hii...
Na Nafasi Hizi Tano za Kushiriki Champion League Waingereza Hawakupewa Kwa Upendeleo, Bali Wamezitafuta Kwa Jasho lao.

1) Spurs (Kaongoza Kundi)

2) Man United (Kaongoza Kundi)

3) Man City (Kaongoza Kundi)

4) Liverpool (Kaongoza Kundi)

5) Chelsea (Nafasi Ya Pili)

Na ikumbukwe Kuwa Bingwa Wa Laliga (Real) Katika Kundi Lake Kagalagazwa Na (Spurs) Timu inayoshika Nafasi ya 6 kwenye EPL....

Ni WanaLaliga 2 (Real na Sevilla
) Walikutana na WanaEPL 2 (Spurs na Liverpool) respectively Katika Makundi Yao Lakini Hawakuweza Kufurukuta na Wakaishia Nafasi za Pili kila Mmoja.

Halafu Leo Wanatokea Misukule from Nowhere wanakwambia "LALIGA NI LIGI BORA UKILINGANISHA NA EPL"!!! Yaani Nashindwa Kujenga Picha sijui Ni Majani ya Wapi Wanayovuta hawa Jamaa... 😀😀😀
Hivi chelsea katolewa na timu ya bundesiliga man u katolewa na timu ya vpl??
Haya nitajie Timu ya La Liga iliyotolewa na katimu cha EPL
 
Hivi chelsea katolewa na timu ya bundesiliga man u katolewa na timu ya vpl??
Haya nitajie Timu ya La Liga iliyotolewa na katimu cha EPL


Labda Kajikumbushe Kuwa Atletico inayoshika Nafasi Ya Pili Laliga ilishindwa Hata Kuingia 16 bora mbele ya Chelsea anayeshika Nafasi Ya 5 EPL Wakati walikuwa Kundi Moja.
 
Mkuu naamini unajutia huu upupu ulioandika!


Nijutie Kitu Gani?
Kama Man city na Liverpool zisingekutanishwa Pamoja Kwenye Robo basi Zote Mbili Zilikuwa Zinatinga Nusu Fainali.

Hata Barca na Real zingekutanishwa Basi Moja ingelitoka.
 
Beyern Munich vs r madrid and barca vs liver pool and vise.versa
 
Labda Kajikumbushe Kuwa Atletico inayoshika Nafasi Ya Pili Laliga ilishindwa Hata Kuingia 16 bora mbele ya Chelsea anayeshika Nafasi Ya 5 EPL Wakati walikuwa Kundi Moja.
Hhaha! Mkuu huu uchambuzi wa kuangalia timu ni ya ngapi kwenye ligi yao then ndo inadetermine performance UEFA ulishapitwaga na wakati ni uchambuzi wa mwaka 47! By the way mimi ni shabiki wa Real Madrid!
 
Back-to-Back??
Ukiongelea back to back Hata Uengereza Ni Timu Mbili Zimeshawahi Kuchukua CL back to back rudia Historia uone.. Lakini Hapa Mimi sipo kihistoria Bali Naongelea Wakati Uliopo na Kinachoendelea...

Kwa Wakati Huu Chukua Timu 6 za juu za Laliga na Timu 6 za Juu za EPL halafu zichezeshe Uone Ukitoa Barcelona Kama Yupo Mwengine Atakayeweza Kushinda Hata Mechi Moja...

Achana na Historia Kubali Ukweli Kuwa EPL Kwa sasa ipo Juu tu...

Germany:
Timu ya Ushindani Ni Moja Beryan Pekee...

France:
Timu Ya Ushindani Ni Moja PSG Pekee...

Italy:
Timu ya Ushindani Ni moja Juventus Pekee....

Spain:
Timu za Ushindani Ni Mbili Real na Barcelona Pekee....

England:
Timu za Ushindani Ni 6:
1) Liverpool

2) Man United

3) Chelsea

4) Man City

5) Spurs

6) Arsenal

Halafu hapo still mtu anapinga ubora Wa EPL!! Jamani Hizi Akili za WaTZ zipo kichwani Kweli????
Mkuu baada ya Man u kupigwa na sevilla nafikiri ulijificha kwenye pango mpaka sasa hivi. Maskini akipata matako ulia mbwata.
 
Back-to-Back??
Ukiongelea back to back Hata Uengereza Ni Timu Mbili Zimeshawahi Kuchukua CL back to back rudia Historia uone.. Lakini Hapa Mimi sipo kihistoria Bali Naongelea Wakati Uliopo na Kinachoendelea...

Kwa Wakati Huu Chukua Timu 6 za juu za Laliga na Timu 6 za Juu za EPL halafu zichezeshe Uone Ukitoa Barcelona Kama Yupo Mwengine Atakayeweza Kushinda Hata Mechi Moja...

Achana na Historia Kubali Ukweli Kuwa EPL Kwa sasa ipo Juu tu...

Germany:
Timu ya Ushindani Ni Moja Beryan Pekee...

France:
Timu Ya Ushindani Ni Moja PSG Pekee...

Italy:
Timu ya Ushindani Ni moja Juventus Pekee....

Spain:
Timu za Ushindani Ni Mbili Real na Barcelona Pekee....

England:
Timu za Ushindani Ni 6:
1) Liverpool

2) Man United

3) Chelsea

4) Man City

5) Spurs

6) Arsenal

Halafu hapo still mtu anapinga ubora Wa EPL!! Jamani Hizi Akili za WaTZ zipo kichwani Kweli????
Alafu wewe ukisema timu zenye ushindani sijui unatumia kigezo gani? Yaani mpaka sasa hivi Asernal na Liverpool bado unaziweka kwenye kundi la timu zenye ushindani Ulaya? Liverpool tu yenyewe msimu huu imebahatisha bahatisha tu.
 
Sitashangaa pia kuona kikombe kikienda Laliga au fainali wakiingia laliga tupu
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] kama nakuona vile sasa hivi
 
Back
Top Bottom