Mashabiki wa EPL wanasema timu za LA LIGA zinanunua wachezaji kutoka EPL, yaa zinanunua coz ni heshima na fahari kucheza katika ligi ambayo ina timu bora kabisa ulimwenguni, timu zenye mafanikio lukuki, halfu cha ajabu hawajui kabisa wachezaji kama DAVID DEGEA, ANDRE HERRERA, DAVID SILVA, SERGIO KUN AGUERO, NICOLAS OTAMEND, AYMERIC LAPORTE, DIEGO COSTA, FERINANDO TORES, HECTOR BELLERIN, RADAMEL FALCAO, SANT CARZOLA, CESCI FARBGES, CLAUDIO BRAVO, ALBERTO MORENO, .......List ni ndefu sana wadau hawa wote wanacheza ama wameshawahi kucheza EPL na wote hawa kwa namna moja ama nyingine wameshawahi kucheza LA LIGA, sasa kwanini mseme kwamba LA LIGA inanunua wachezaji wazuri kutoka EPL kwani hao waliotoka LA LIGA are not world class players acheni lolongo mmeshindwa kushindana kwa sababu mnakutana na timu bora kuliko nyie.