Somo kwa wote (pitia hapa)

Somo kwa wote (pitia hapa)

cement

JF-Expert Member
Joined
May 5, 2012
Posts
581
Reaction score
218
Tarehe 12/06/2012 nilipima maalaria nikawa nayo 4,nikapewa dawa za kutumia Atequick (spelling not sure)hazikunisaidia kwani baada ya kumeza nikawa najisikia vibayaa sana tumboni mpk trh 24/06 nikarudi hosp nikashauriwa nipiwe choo nikakutwa na minyoo.Nikapewa Arbendazon nikatumia siku tatu!lakini tumbo halikutuliaa likawa linauma sana nikarudi hsp mara nyingine nikapewa Erthromizine+Snidazone

Hapa ndo shida ilipoanzia nilikuwa nakula na shiba vzr sana na kula na matunda maji kwa wingi tatizo moyo kwenda mbio kukosa pumzi usiku yaani ikawa zaidi ya ugonjwa.
Nikashauriwa niende hosp kubwa nikaenda pale Mnazi mmoja nikacheki full blood picture ikawa safi,hakuna malaria wala typhode nikaambiwa dawa nilizopewa kwa awamu ya pili ni kali sanaaaa na hata zile za malaria sio nzuri kabisa!nikaambiwa niache dawa zote hz ss hv natumia Vitalcap+Cipro naendelea vizuri dawa za awali sema vimeniletea aleji kwenye koo pana bana japo daktari wangu kaniambia itakwisha hali hii


Ushauri kwa wote tuwe makini na afya zetu hizi hosptali binafsi zinatuua bila kujua sitaki niseme hii hosp nii kubwa sana na ina aminika kweli hapa Dar
Tuwe makini kabla ya kuanza kumeza dawa!
 
Thanks for info na Pole sana Mungu atakusaidia utapona.
 
pole sana mkuu. lakini ni bora uitaje hiyo hosp.
 
Itaje hiyo hospitali kama kweli unataka kutuelimisha. jitahidi mkuu itaje si unajuwa hapa ni ''where we dare to talk openly''?.
 
Umenena vema mkuu hosp kama hizo zipo nyingi hapa dar sasa we kwa kusadia jamii we itaje hiyo hospital
 
Tarehe 12/06/2012 nilipima maalaria nikawa nayo 4,nikapewa dawa za kutumia Atequick (spelling not sure)hazikunisaidia kwani baada ya kumeza nikawa najisikia vibayaa sana tumboni mpk trh 24/06 nikarudi hosp nikashauriwa nipiwe choo nikakutwa na minyoo.Nikapewa Arbendazon nikatumia siku tatu!lakini tumbo halikutuliaa likawa linauma sana nikarudi hsp mara nyingine nikapewa Erthromizine+Snidazone

Hapa ndo shida ilipoanzia nilikuwa nakula na shiba vzr sana na kula na matunda maji kwa wingi tatizo moyo kwenda mbio kukosa pumzi usiku yaani ikawa zaidi ya ugonjwa.
Nikashauriwa niende hosp kubwa nikaenda pale Mnazi mmoja nikacheki full blood picture ikawa safi,hakuna malaria wala typhode nikaambiwa dawa nilizopewa kwa awamu ya pili ni kali sanaaaa na hata zile za malaria sio nzuri kabisa!nikaambiwa niache dawa zote hz ss hv natumia Vitalcap+Cipro naendelea vizuri dawa za awali sema vimeniletea aleji kwenye koo pana bana japo daktari wangu kaniambia itakwisha hali hii


Ushauri kwa wote tuwe makini na afya zetu hizi hosptali binafsi zinatuua bila kujua sitaki niseme hii hosp nii kubwa sana na ina aminika kweli hapa Dar
Tuwe makini kabla ya kuanza kumeza dawa!

Bila shaka ulitibiwa na dokta Uli.
 
kutusaidia vizuri.....taja hospital....
 
Tarehe 12/06/2012 nilipima maalaria nikawa nayo 4,nikapewa dawa za kutumia Atequick (spelling not sure)hazikunisaidia kwani baada ya kumeza nikawa najisikia vibayaa sana tumboni mpk trh 24/06 nikarudi hosp nikashauriwa nipiwe choo nikakutwa na minyoo.Nikapewa Arbendazon nikatumia siku tatu!lakini tumbo halikutuliaa likawa linauma sana nikarudi hsp mara nyingine nikapewa Erthromizine+Snidazone

Hapa ndo shida ilipoanzia nilikuwa nakula na shiba vzr sana na kula na matunda maji kwa wingi tatizo moyo kwenda mbio kukosa pumzi usiku yaani ikawa zaidi ya ugonjwa.
Nikashauriwa niende hosp kubwa nikaenda pale Mnazi mmoja nikacheki full blood picture ikawa safi,hakuna malaria wala typhode nikaambiwa dawa nilizopewa kwa awamu ya pili ni kali sanaaaa na hata zile za malaria sio nzuri kabisa!nikaambiwa niache dawa zote hz ss hv natumia Vitalcap+Cipro naendelea vizuri dawa za awali sema vimeniletea aleji kwenye koo pana bana japo daktari wangu kaniambia itakwisha hali hii


Ushauri kwa wote tuwe makini na afya zetu hizi hosptali binafsi zinatuua bila kujua sitaki niseme hii hosp nii kubwa sana na ina aminika kweli hapa Dar
Tuwe makini kabla ya kuanza kumeza dawa!

Hakuna malaria 4, hilo tu linanionyesha kuwa hospitali hiyo ni fake. Ingelikuwa mimi nikaona ameandika malaria 4, nisingelirudi nyuma. Sidhani kama kweli alipitia field ( na mambo mengine ya kitaalamu) zinazipendekezwa kabla ya kuandika hizo 4!!!!
 
Back
Top Bottom