Kichuguu
Platinum Member
- Oct 11, 2006
- 17,048
- 22,790
Vyama vya upinzani vimeegemea kuamini kuwa wananchi wanaichukia sana serikali ya CCM kutokana na mambo mawili: mzunguko wa pesa kupungua mitaani, na serikali ya CCM kuwabana sana watu wafuate sheria na kusimamia sana raslimali za nchi bila kuwasikiliza watu wa nje. Hizo ndizo mada za ATC-Wazalendo, CUF na CHADEMA.
Tatizo ni kwamba Wakati CCM inakutana na wapiga kura kwenye kata 11; CHADEMA imekutana na wakazi kata moja tu, na ACT ilikutana na kata mbili tu.
Katika mazingira hayo inakuwa ni obvious kuwa CCM iko mbele. Inabidi vyama vya upinzani viongeze nguvu ya kukutana na wapiga kura; watu wanaotoa support kubwa sana mtandaoni siyo watakaokwenda kwenye vituo vya uchaguzui kupiga kura.
halafu nimeona mikutano ya Magufuli anatumia karibu nusu ya muda wake kuawanadi pia wagombea wa ubunge na udiwani wa CCM, wakati mikutano ya Lissu anatumia karibu nusu ya muda wake kumsema Magufuli na jinsi yeye alivyopigwa risasi.
Tatizo ni kwamba Wakati CCM inakutana na wapiga kura kwenye kata 11; CHADEMA imekutana na wakazi kata moja tu, na ACT ilikutana na kata mbili tu.
Katika mazingira hayo inakuwa ni obvious kuwa CCM iko mbele. Inabidi vyama vya upinzani viongeze nguvu ya kukutana na wapiga kura; watu wanaotoa support kubwa sana mtandaoni siyo watakaokwenda kwenye vituo vya uchaguzui kupiga kura.
halafu nimeona mikutano ya Magufuli anatumia karibu nusu ya muda wake kuawanadi pia wagombea wa ubunge na udiwani wa CCM, wakati mikutano ya Lissu anatumia karibu nusu ya muda wake kumsema Magufuli na jinsi yeye alivyopigwa risasi.