Somo la 'Historia ya Tanzania' alilotaka Magufuli lasitishwa

Somo la 'Historia ya Tanzania' alilotaka Magufuli lasitishwa

Mtoto wa Nyerere

Senior Member
Joined
May 21, 2021
Posts
129
Reaction score
689
Hayati Magufuli naona kaangukia pua tena

Somo la historia ya Tanzania lasitishwa

Katibu mkuu wizara ya elimu amesema syllabus hiyo imesitishwa haraka na haitafundishwa kokote.

Source ITV news

==============

Waziri wa elimu Prof. Ndalichako amesitisha maboresho ya mtaala wa somo historia ambao ulianzishwa na Magufuli. Mtaala huo wa somo la historia ungeanzisha kufundisha somo la historia kwa kiswahili tangu madarasa ya awali hadi chuo kikuu. Waziri Ndalichako ameagiza kuendelea kutumia mtaala wa zamani hadi mtaala mpya utakapoandaliwa kwa kushirikisha wadau.

Source: ITV

Sijui Magufuli anajisikiaje huko aliko kwa sababu maagizo yake yanatupiliwa mbali kila kukicha!
 
Force labor
Land alienation
Heavy taxation
Depression
Exploitation

HV kweli itoshe mtu kuijitaa mwalimu kbsa. Nakulipwa mshahara wa serekali kwa kuwadanganya watoto ..history liwe Kama somo la divinity
 
Mbona sisi tulisoma hilo somo la history kwa ujumla na yote pia ya Tanzania mpaka kina Tiputupu, Mtwa Mkwawa na kadhalika kwenye menu..

Hii ya kuongeza liwe peke yake labda ni wale pumbavu wa mihemko waliotaka kusema rangi ya njano kwenye bendera iwe rangi ya dhahabu.
 
Force labor
Land alienation
Heavy taxation
Depression
Exploitation

HV kweli itoshe mtu kuijitaa mwalimu kbsa. Nakulipwa mshahara wa serekali kwa kuwadanganya watoto ..history liwe Kama somo la divinity
We utakuw a umesoma debit ma credit ambavyo siyo vigumu ukilinganisha na history. Hata tundu lisu alisoma hgl lakini ni mweledi sana. So sayansi ni utopolo tu ukiwa unaweza kukalili unaweza andika A zote
 
Hayati magufuli naona kaangukia pua tena

Somo la historian ya Tanzania lasitishwa

Katibu mkuu wizara ya elimu amesema syllabus hiyo imesitishwa haraka na haitafundishwa kokote.

Source ITV news
Ulikuwa ni upuuzi mkubwa sana!!kama huu wa kuwa !nakala /na mwenendo wa kesi kuwa kwa kiswahili haina tija yoyote ile
 
Hivi hili lilikuwa liwe somo kabisa kama vile ilivyo kiswahili au ni topic tu katika somo la historia (kitu ambacho nadhani topic hio/hizo zipo)....

Au alitaka kuanzisha somo la Propaganda...
 
We utakuw a umesoma debit ma credit ambavyo siyo vigumu ukilinganisha na history. Hata tundu lisu alisoma hgl lakini ni mweledi sana. So sayansi ni utopolo tu ukiwa unaweza kukalili unaweza andika A zote
Jishikilie jomba...
Sayansi huwa wanakalili , sayansi ni Utopolo?
Alafu HGL ndio wanaelewa?
Kwenye watu wako weredi umemuona lisu?
 
Back
Top Bottom