Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sio kweli lakini Hayati alisisitiza Historia ya kweli ya Taifa letu sio kwa bahati mbaya cos kuna mambo mengi yanamkanganyiko mpaka leo moja wapo kifo cha Mkwawa na pia Mapinduzi ya ZanzibarKuna watu walikula maposho kuandaa mihutasari ili tu jina la Jiwe ling’ae
Ndo hivo, si umeona Jana taarifa ya mahakamani kuhusiana na wakina Mbowe kurudishiwa pesa zao?Amakweli kifo hakina huruma...
Somo lilikuwa iloilo la History lakini ilionekana kuna mengi yamefichwa that's why alisisitiza Historia ya kweli ya Taifa letu.Hivi hili lilikuwa liwe somo kabisa kama vile ilivyo kiswahili au ni topic tu katika somo la historia (kitu ambacho nadhani topic hio/hizo zipo)....
Au alitaka kuanzisha somo la Propaganda...
Naona ata kule Rufiji wanataman wastopishe ile project cos ecologyHivi ni mazuri gani ya Mwendazake zake yanayosemwa.?
Mwanafunzi geuza sentensi hizi kuwa swali;"Mimi na Magufuli ni kitu kimoja" dadavua sentensi hii
Kweli according to who ?, Si angeandika kitabu tu History of Tanzania according to Magufuli ili kitabu kiweze kuchambuliwa na kuwekwa kwenye mizani na mwenye kuamini na aamini kuliko kuwalazimisha watu kwamba huu nisemao mimi ndio ukweli...Somo lilikuwa iloilo la History lakini ilionekana kuna mengi yamefichwa that's why alisisitiza Historia ya kweli ya Taifa letu.
Sio kweli lakini Hayati alisisitiza Historia ya kweli ya Taifa letu sio kwa bahati mbaya cos kuna mambo mengi yanamkanganyiko mpaka leo moja wapo kifo cha Mkwawa na pia Mapinduzi ya Zanzibar
Alitaka kutukuzwa kabla ya kazi hajaimalizaAaah wapi Fashisti Jiwe Alitaka kutukuzwa
Hata Askofu Nyaisonga jana alimsisitiza sana SSH kujenga taasisi imara.Prof Assad alikuwa sahihi aloposema, tujenge taasisi imara na sio watu imara sababu watu wanakufa na mawazo yao lkn taasisi zinaendelea.
Embu fatilia hotuba zake youtube uone kama kuna sehemu alishinikiza kiandikwe kitu fulaniKweli according to who ?, Si angeandika kitabu tu History of Tanzania according to Magufuli ili kitabu kiweze kuchambuliwa na kuwekwa kwenye mizani na mwenye kuamini na aamini kuliko kuwalazimisha watu kwamba huu nisemao mimi ndio ukweli...
Busara ni kama unapinga kitu kielezee kwa mujibu wa wewe unavyojua alafu kiweke kwenye mainstream na sio kubalisha vitu jumla jumla
Sio kweli ukifatilia hotuba zake nyingi alipozungumzia hiyo issue aligusia mambo ya zamani huko na ndiyo akawa anawaambia soma la historia liwe la lazima ili watoto wetu waje kuijua Historia ya kweli ya taifa letuAlitaka kutukuzwa kabla ya kazi hajaimaliza