Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Teh teh teh ndio imeisha hiyo..Magufuli alikuwa sawa, achaneni kupinga kila jambo:
Tuachane na mtaala wa kikoloni tufundishe watoto wetu historia yetu na ya mababu zetu, tamaduni zetu, mila zetu, ili tukuze uzalendo kwa vizazi vya sasa na vijavyo
Hakuna haja ya kufundisha historia kwa Kiingereza,
Magufuli alikuwa sawa, ProfesaNdalichako harakisheni huo mtaala mpya
Wanataka kutengeneza kizazi cha kuwachukia mabeberu.Hilo SoMo halina umuhimu wowote kwa sababu sioni utofati wake na historia inayosomwa shule ya msingi, zaidi sana ni kuongezea watoto wetu mzigo wa masomo yasiyo na ulazima. Nilichogundua hiyo historia ya Tanzania ulikua imelenga kuwasifu viongozi wa fisiemu na si vinginvyo.
Kujifunza na kufundisha vijana wetu na kizazi kijacho historia ya nchi yetu ni maagizo ya kipumbaavu? Mpumbavu ni wewe uliyepofuliwa na chuki mpaka hutambui jema na la manufaa kwako na kizazi chako ni nini!Ni maagizo ya kipumbavu.
Lazima yatupiliwe mbali.
Aione daktari mkuu wa serikali
Fikra za Magufuli ngoja afe nazo, wengine hatuna hamu nazo huyo dikteta uchwara.Nyumbu wao ni kushangilia tu
Mtaala hatengenezwi na mtu mmoja, inapitishwa na jopo la watu mbalimbali. Hii hofu ya siasa itatukwamisha hata kwenye mambo ya msingiWanataka kutengeneza kizazi cha kuwachukia mabeberu.
Kizazi ambacho wanasiasa watakitumia kama kichaka kutupia sababu za kushindwa kutekeleza majukumu yao.
Hivi vile vitabu ndalichako alivyosema wameshaandaa SoMo lianze kufundisha mwezi wa Saba Ile haraka ilikua ya nini?Mtaala hatengenezwi na mtu mmoja, inapitishwa na jopo la watu mbalimbali. Hii hofu ya siasa itatukwamisha hata kwenye mambo ya msingi
Ni kipi ambacho kinakosekana kwenye somo la historia la sasa?Magufuli alikuwa sawa, achaneni kupinga kila jambo:
Tuachane na mtaala wa kikoloni tufundishe watoto wetu historia yetu na ya mababu zetu, tamaduni zetu, mila zetu, ili tukuze uzalendo kwa vizazi vya sasa na vijavyo
Hakuna haja ya kufundisha historia kwa Kiingereza,
Magufuli alikuwa sawa, ProfesaNdalichako harakisheni huo mtaala mpya
Profesa anafanya mambo yenye manufaa kwa nchi siyo kulipa fadhila kwa aliyemteuaYaani hadi Professor Ndelichako anamsaliti Magufuli? Kweli?
Ni Magufuli aliyemuinua Professor Ndelichako kutokea benchi, akampa ubunge wa bure na zawadi ya uwaziri, leo hii bila aibu anaizika legacy ya Magufuli kirahisi.
Nimeamini adui wa mtu ni watu wa karibu yake. Magufuli alizungukwa na wanafiki watupu, akawakumbatia huku akiwaangamiza wapinzani.
Hawa jamaa alipoitwa LOWASA fisadi na akina Mbowe walishangilia, na akina Mbowe haohao walipomsafisha walishangiliaNyumbu wao ni kushangilia tu
Kila somo lina sehemu yake kwenye maisha hata kama sio sehemu ya taaluma ya baadaye ya muhusikaHuo mtaala unamsaidia nini kijana baada ya kumaliza elimu yake?
Tafuteni mmabo ya muhimu hata fani za ufundi ndio ziwe za lazima katika ulimwengu huu historia inamchango mdogo sana kwenye maisha ya kila siku.
Kuna SoMo la historia shuleni bado mnatka kulazimisha kuongeza na lingine kwanini msiboreshe hilohilo lililopo mashuleni ikawa mwaka mzima au miwili mtu anasoma historia ya Tanzania kwanini iwe mtu anasoma miaka yote ya shule kwa content ipi ya hiyo historia yetu na itasaidia nini mtu kujikwamua kwenye hili tatizo la ukosefu wa ajira?
Pia hao wataalamu wa kufundisha hiyo historia ya Tanzania mmewaandaa? Swala la mtaala Lina taratibu zake yaani mnataka hiyo historia ifundshwe na watu amabao hat Wao hawajaijua hiyo historia?
Wanaoreview mtaala wa zamani watasema, sio sisindio tutasema kwa sababu pia sio sisi tumeutengenezaNi kipi ambacho kinakosekana kwenye somo la historia la sasa?
Wewe unajua umri wanguMnamjua mkoloni wewe hata miaka 30 hujatimizi!
Hueleweki, jifunze kwanza kuandika vizuri na kuweka alama za uandishi kabla hujaanza kulilia somo la historia ya Tanzania.Wanaoreview mtaala wa zamani watasema, sio sisindio tutasema kwa sababu pia sio sisi tumeutengeneza
Kwamba wafundishe kuhusu mizimu ya mababu zetu?Magufuli alikuwa sawa, achaneni kupinga kila jambo:
Tuachane na mtaala wa kikoloni tufundishe watoto wetu historia yetu na ya mababu zetu, tamaduni zetu, mila zetu, ili tukuze uzalendo kwa vizazi vya sasa na vijavyo
Hakuna haja ya kufundisha historia kwa Kiingereza,
Magufuli alikuwa sawa, ProfesaNdalichako harakisheni huo mtaala mpya