Somo la 'Historia ya Tanzania' alilotaka Magufuli lasitishwa

Somo la 'Historia ya Tanzania' alilotaka Magufuli lasitishwa

Kila somo lina sehemu yake kwenye maisha hata kama sio sehemu ya taaluma ya baadaye ya muhusika
Mentality na mitizamo yetu inajengwa na jinsi tulivyokuzwa na kufundishwa
Ukimfundisha mtoto takata atakuja kuwa takataka
Ukimfundisha mtoto bangi, atakuja kuwa bangi tu

Historia iliyobuniwa vizuri inawajengea watoto positive mentality na patriotisms hata wakiwa wakubwa na viongozi kwenye jamii bila kujali taaluma
Historia haitaweza kufundisha uzalendo watoto watasoma kama hadithi tu Ili wakajibu mitihani.


Huo uzalendo ni swala pana na linahitaji mtaala makini pia wataalamu wa kutosha usitegemee kupata uzalendo kwa kufundishwa historia.
 
Umuhimu wa katiba mpya
... hakika! Without proper power regulation tool (Katiba bora) tapeli linaweza kutokea maporini huko likaivuruga nchi kweli kweli na hamwezi kulifanya chochote mnabaki kama watoto yatima mnaliangalia tu!
Kwa maana mamlaka yote na tools zote mmelikabidhi wenyewe kwa hiari yenu kwa kiinimacho kiitwacho "uchaguzi huru" halafu hamna la kumfanya thereafter! Ha ha ha nacheka kama mazuri.
 
Sio anageukwa ndio uhalisia na ndio kipindi kizuri kujifunza..

Watu walipokua wanasema makosa yake hamkuamini?

Haiwezekani analala anaamka anakuja na mawazo yake binafsi yasiyo na kichwa wala miguu na hajashauriana na mtu yeye anataka litekelezwe
 
Waziri wa elimu Prof. Ndalichako amesitisha maboresho ya mtaala wa somo historia ambao ulianzishwa na Magufuli. Mtaala huo wa somo la historia ungeanzisha kufundisha somo la historia kwa kiswahili tangu madarasa ya awali hadi chuo kikuu. Waziri Ndalichako ameagiza kuendelea kutumia mtaala wa zamani hadi mtaala mpya utakapoandaliwa kwa kushirikisha wadau.

Source: ITV

Sijui Magufuli anajisikiaje huko aliko kwa sababu maagizo yake yanatupiliwa mbali kila kukicha!
Kweli asiyekuwapo na lake halipo nimeamini.
 
Vijana wa kijiweni hawajui thamani ya historia. Yawezekana wanaopinga mtaala wa historia ya Taifa hawajui chimbuko la familia zao na tamaduni. Upumbafu na Ulofa
Maamuzi ya kikao cha baraza la mawaziri kilichoketi majuzi
 
Magufuli alikuwa sawa, achaneni kupinga kila jambo:
Tuachane na mtaala wa kikoloni tufundishe watoto wetu historia yetu na ya mababu zetu, tamaduni zetu, mila zetu, ili tukuze uzalendo kwa vizazi vya sasa na vijavyo
Hakuna haja ya kufundisha historia kwa Kiingereza,
Magufuli alikuwa sawa, ProfesaNdalichako harakisheni huo mtaala mpya
Binafsi siwezi kusema hakuwa sahihi kwa asilimia mia maana usahihi au kutokuwa sahihi kwa mtu vyote hutoka na fikra pinzani

Binafsi nilichokiona kwa Magufuri ilikuwa ni kukosekana kwa ushawishi wa kisomi.

Yeye hakuona haja ya kuhangaika kujenga hoja kwanini liongezwe somo la histori litakalofundishwa kwa Kiswahili toka awali hadi chuo kikuu badala yake aliona atoe agizo.

Sasa maagizo wakati mwingine kwenye maswala ya elimu sio mazuri sana.

Kuna maagizo yaliyofuta masomo ya biashara na kilimo, mengine yakaunganisha physics with chemistry lakini yote yameshatenguliwa

Wakati mwingine ni vizuri kuweka wazo hewani lichambuliwe kwanza badala ya agizo

Naamini kabisa hoja ipo. Lakini halikutakiwa kutekelezwa kama lilivyokuja

Content gani ya kuielezea Tanzania toka awali hadi chuo kikuu inaandaliwa ndani ya miezi kadhaa?

The late Magufuri alipenda sana kushurutisha watu badala ya kuwafanya wafikiri zaidi. Yeye alitaka kila wazo lake lipite bila kuongeza wala kupunguza chochote ndiomaana pale Ndalichako alipojaribu kukaa kimya alikumbusgwa kupitia media

Sasa tukae mezani tutoe maoni kupitia TIE ili tuboreshe wazo la hayati Magufuri
 
Historia haitaweza kufundisha uzalendo watoto watasoma kama hadithi tu Ili wakajibu mitihani.


Huo uzalendo ni swala pana na linahitaji mtaala makini pia wataalamu wa kutosha usitegemee kupata uzalendo kwa kufundishwa historia.
Kila kitu kinachofundishwa shuleni ni pana, hesabu ni pana, geografia ni pana, fizikia ni pana, biolgy ni pana kemia ni pana, bishara ni pana, everything is wide. wanachingiziwa watoto ni faundation, huko mbele ya safari wataendeleza.

Chembe ndogo ya haradali inaleta duniani li mti likubwa sana, kila kitu Mungu aliumba ikianzia kwenye mbegu. Sasa somo la Historia kama masomo mengine ni mbegu kwa watoto kwa ajili ya maisha ya baadaye

Hatuwezi tu acha mtaala mbovu uendelee kufundishwa eti kwa sababu za kisiasa, na wote wanaopinga ni sababu za kisiasa, hakuna sababu nyingine. Tuwaache wataalamu wetu wachanganue na watoe mapendekezo yao

Kama watasema ule wa zamani unahitaji maboresha madogo sawa kama watasema mtaala mpya utahitajika sawa

This is profesionalism, wengine hapa ni usiku wa giza ila tumekazana kweli kuupinga
 
Embu fatilia hotuba zake youtube uone kama kuna sehemu alishinikiza kiandikwe kitu fulani
alikuwa haendi kwnye tv waziwazi kubonyeza button, alikuwa bingwa wa kutumua remote..


kwani unadhani hata hoja iliyotamalaki bungeni kuwa aongezewe muda yeye hakuwa behind?
 
Binafsi siwezi kusema hakuwa sahihi kwa asilimia mia maana usahihi au kutokuwa sahihi kwa mtu vyote hutoka na fikra pinzani

Binafsi nilichokiona kwa Magufuri ilikuwa ni kukosekana kwa ushawishi wa kisomi.

Yeye hakuona haja ya kuhangaika kujenga hoja kwanini liongezwe somo la histori litakalofundishwa kwa Kiswahili toka awali hadi chuo kikuu badala yake aliona atoe agizo.

Sasa maagizo wakati mwingine kwenye maswala ya elimu sio mazuri sana.

Kuna maagizo yaliyofuta masomo ya biashara na kilimo, mengine yakaunganisha physics with chemistry lakini yote yameshatenguliwa

Wakati mwingine ni vizuri kuweka wazo hewani lichambuliwe kwanza badala ya agizo

Naamini kabisa hoja ipo. Lakini halikutakiwa kutekelezwa kama lilivyokuja

Content gani ya kuielezea Tanzania toka awali hadi chuo kikuu inaandaliwa ndani ya miezi kadhaa?

The late Magufuri alipenda sana kushurutisha watu badala ya kuwafanya wafikiri zaidi. Yeye alitaka kila wazo lake lipite bila kuongeza wala kupunguza chochote ndiomaana pale Ndalichako alipojaribu kukaa kimya alikumbusgwa kupitia media

Sasa tukae mezani tutoe maoni kupitia TIE ili tuboreshe wazo la hayati Magufuri
Yaani mku umeongea point, tume ipitie kama sio muhimu ila bado huu wa zamani utahitaji maboresho makubwa ili ikidhi haja ya sasa
 
Binafsi siwezi kusema hakuwa sahihi kwa asilimia mia maana usahihi au kutokuwa sahihi kwa mtu vyote hutoka na fikra pinzani

Binafsi nilichokiona kwa Magufuri ilikuwa ni kukosekana kwa ushawishi wa kisomi.

Yeye hakuona haja ya kuhangaika kujenga hoja kwanini liongezwe somo la histori litakalofundishwa kwa Kiswahili toka awali hadi chuo kikuu badala yake aliona atoe agizo.

Sasa maagizo wakati mwingine kwenye maswala ya elimu sio mazuri sana.

Kuna maagizo yaliyofuta masomo ya biashara na kilimo, mengine yakaunganisha physics with chemistry lakini yote yameshatenguliwa

Wakati mwingine ni vizuri kuweka wazo hewani lichambuliwe kwanza badala ya agizo

Naamini kabisa hoja ipo. Lakini halikutakiwa kutekelezwa kama lilivyokuja

Content gani ya kuielezea Tanzania toka awali hadi chuo kikuu inaandaliwa ndani ya miezi kadhaa?

The late Magufuri alipenda sana kushurutisha watu badala ya kuwafanya wafikiri zaidi. Yeye alitaka kila wazo lake lipite bila kuongeza wala kupunguza chochote ndiomaana pale Ndalichako alipojaribu kukaa kimya alikumbusgwa kupitia media

Sasa tukae mezani tutoe maoni kupitia TIE ili tuboreshe wazo la hayati Magufuri
... kwa absolute, uncontrolled power aliyokuwa nayo alikuwa na sababu gani ya kujenga hoja (in his perspective); alfa-na-omega asiyejaribiwa ajenge hoja wakati neno lake ni sheria? Mtu aliyeamini hajaribiwi wala hashauriwi? Sifa za kiungu hizo! KATIBA, KATIBA, KATIBA!
 
... zaidi ya 70% ya mawaziri ni walewale alioacha mwendazake! What can be concluded? Walikuwa "wanamchora tu".
Hapana ila angalia hii clip utapata picha kamili mambo yanaendaje

 
Kila kitu kinachofundishwa shuleni ni pana, hesabu ni pana, geografia ni pana, fizikia ni pana, biolgy ni pana kemia ni pana, bishara ni pana, everything is wide. wanachingiziwa watoto ni faundation, huko mbele ya safari wataendeleza.

Chembe ndogo ya haradali inaleta duniani li mti likubwa sana, kila kitu Mungu aliumba ikianzia kwenye mbegu. Sasa somo la Historia kama masomo mengine ni mbegu kwa watoto kwa ajili ya maisha ya baadaye

Hatuwezi tu acha mtaala mbovu uendelee kufundishwa eti kwa sababu za kisiasa, na wote wanaopinga ni sababu za kisiasa, hakuna sababu nyingine. Tuwaache wataalamu wetu wachanganue na watoe mapendekezo yao

Kama watasema ule wa zamani unahitaji maboresha madogo sawa kama watasema mtaala mpya utahitajika sawa

This is profesionalism, wengine hapa ni usiku wa giza ila tumekazana kweli kuupinga
Sijapinga hiyo historia kufundishwa ila nmeongelea vifuatavyo.

1. Isiwe Katika level zote za elimu.
2.lisiwe SoMo linalojitegemea liunganishwe na hili lililopo.
2..kue na walau madarsa mawili kwa shule ya msingi amabayo mwanafunzi atasoma historia ya Tanzania tu.
Na kidato kimoja olevel.
4. Mtaala uandaliwe kwa kufuata taratibuuu zote.
 
Wanataka kutengeneza kizazi cha kuwachukia mabeberu.

Kizazi ambacho wanasiasa watakitumia kama kichaka kutupia sababu za kushindwa kutekeleza majukumu yao.
... and that was the motive behind; to establish a "dustbin" for their failures which were obvious!
 
Kujifunza na kufundisha vijana wetu na kizazi kijacho historia ya nchi yetu ni maagizo ya kipumbaavu? Mpumbavu ni wewe uliyepofuliwa na chuki mpaka hutambui jema na la manufaa kwako na kizazi chako ni nini!
Kwani kabla ya huo mtaala alioutaka jiwe historia ilikuwa haifundishwi?
 
Hivi hili lilikuwa liwe somo kabisa kama vile ilivyo kiswahili au ni topic tu katika somo la historia (kitu ambacho nadhani topic hio/hizo zipo)....

Au alitaka kuanzisha somo la Propaganda...
sielewi content zingekuwaje ila ila sioni ubaya wa historia ya waafrika kuiandika wenyewe maana sehemu kubwa ya historia ya mwafrika iliyopo kwenye vitabu mashuleni inaanzia enzi za utumwa na ukoloni, hata hivyo kama kuiandika kwa sasa itakuchukua miaka zaidi ya kumi kufutilia kwa usahihi ,maana mtu aliyetawaliwa kwa miaka zaidi ya 400 na si kitu cha kwenda morogoro wiki kadhaa kama wanavyofanya Taasisi ya elimu na kuja na kitabu cha historia
 
Back
Top Bottom