Ileje
JF-Expert Member
- Dec 20, 2011
- 9,524
- 13,682
Wewe si voda fasta mambo yenu yanafahamika, kukurupuka!Wewe unajua umri wangu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe si voda fasta mambo yenu yanafahamika, kukurupuka!Wewe unajua umri wangu
Ametupwa kama jongoo na mti wake!Kweli asiyekuwapo na lake halipo nimeamini.
swali langu ni je nn malengo ya mtaala huo?Magufuli alikuwa sawa, achaneni kupinga kila jambo:
Tuachane na mtaala wa kikoloni tufundishe watoto wetu historia yetu na ya mababu zetu, tamaduni zetu, mila zetu, ili tukuze uzalendo kwa vizazi vya sasa na vijavyo
Hakuna haja ya kufundisha historia kwa Kiingereza,
Magufuli alikuwa sawa, ProfesaNdalichako harakisheni huo mtaala mpya
... dah! Hii ikifanyiwa qualitative exploratory case study research unatoka na conclusions kali sana! Wanazuoni waifanyie research hii kauli ya Mama Samia; imebeba jumbe nyingi muhimu sana zilizofichika."Mimi na Magufuli ni kitu kimoja" dadavua sentensi hii
Lengo la Magufuli alitaka aingizwe kwenye mtaala wa somo la historia na wala siyo suala la lugha! Hivi historia ya Mkwawa ikifundishwa kwa kiingereza inakuwa tofauti na ikifundishwa kwa kiswahili?imagine unafundishwa historia ya mkwawa kiingereza[emoji16][emoji16],sijui ukasimulie wazungu ama!!!
wakati mwingine kuna watu wanayapa matako kazi ya kichwa,mmoja wapo mleta mada.na anacheka cheka tu.
Ndiyo umepigwa teke hutaki kajinyonge!Magufuli alikuwa sawa, achaneni kupinga kila jambo:
Tuachane na mtaala wa kikoloni tufundishe watoto wetu historia yetu na ya mababu zetu, tamaduni zetu, mila zetu, ili tukuze uzalendo kwa vizazi vya sasa na vijavyo
Hakuna haja ya kufundisha historia kwa Kiingereza,
Magufuli alikuwa sawa, ProfesaNdalichako harakisheni huo mtaala mpya
hayapo ni wazi waweza fikiri kuwa walikuwa wakimchukia hasa na wote wa karibu yake maana kila jambo alilofanya linaongelewa kwa ubaya na walewale walilo sifu hii ina maana hata samia yaweza kumkuta toka kwa watu wale wale maana kikwete naye watu walewale walimuongelea kwa ubaya wakatiwa magufuli nakumponda ni walewale walewale walikuwa waki msifu kwa kasi ileile na ari mpya ile ile na na wengi ni walewale wa CCM ileile maana huu ni utamaduni wao wanajua wanachokifanyaHivi ni mazuri gani ya Mwendazake zake yanayosemwa.?
... Kaka, tulikuwa tayari kwenye direction ya NK. Vikosi maalumu (wasiojulikana) vilishaundwa; ilikuwa kukamilisha mambo fulani fulani before full enforcement! Tusiache kumshukuru Mungu kila wakati kwa neema zake zisizo na kipimo!Hivi hili lilikuwa liwe somo kabisa kama vile ilivyo kiswahili au ni topic tu katika somo la historia (kitu ambacho nadhani topic hio/hizo zipo)....
Au alitaka kuanzisha somo la Propaganda...
Mtaala wa Magufuli tupa kule!Nyumbu wao ni kushangilia tu
nafikiri umeshindwa kutofautisha mtu na mamlaka.Yaani hadi Professor Ndelichako anamsaliti Magufuli? Kweli?
Ni Magufuli aliyemuinua Professor Ndelichako kutokea benchi, akampa ubunge wa bure na zawadi ya uwaziri, leo hii bila aibu anaizika legacy ya Magufuli kirahisi.
Nimeamini adui wa mtu ni watu wa karibu yake. Magufuli alizungukwa na wanafiki watupu, akawakumbatia huku akiwaangamiza wapinzani.
Njaa haimpendezi mtu nduguIla Profesa Ndalichako aliyapokea maagizo kwa heshima na unyenyekevu mkubwa! Ilikuwaje alishindwa kumshawishi Bosi wake kuhusu huo upuuzi!
Na kama Bosi angemkatalia, si angejiuzulu! Au kukubali kufukuzwa Uwaziri na ikibidi hata Ubunge wake wa kuteuliwa kwa heshima! Ila kwa sababu ya njaa, akaamua kuweka taaluma yake pembeni na kuamua kupokea kila aina ya maagizo! Yakiwemo haya ya hovyo!
Njaa na unafiki ni vitu vibaya sana.
Sasa hayo mambo si yangeweza kurejebishwa kwenye syllabus iliyopo kuliko kuanzisha kitu kipya?Sio kweli lakini Hayati alisisitiza Historia ya kweli ya Taifa letu sio kwa bahati mbaya cos kuna mambo mengi yanamkanganyiko mpaka leo moja wapo kifo cha Mkwawa na pia Mapinduzi ya Zanzibar
Tatizo lake alijiona anajua kila kitu...hata ule mchakato wa kubadili lugha ya mahakama kuwa kiswahili nadhan wataachana nao tuSio anageukwa ndio uhalisia na ndio kipindi kizuri kujifunza..
Watu walipokua wanasema makosa yake hamkuamini?
Haiwezekani analala anaamka anakuja na mawazo yake binafsi yasiyo na kichwa wala miguu na hajashauriana na mtu yeye anataka litekelezwe
"So sayansi ni utupolo tu"We utakuw a umesoma debit ma credit ambavyo siyo vigumu ukilinganisha na history. Hata tundu lisu alisoma hgl lakini ni mweledi sana. So sayansi ni utopolo tu ukiwa unaweza kukalili unaweza andika A zote
Kwi Kwi KwiHayati magufuli naona kaangukia pua tena
Somo la historia ya Tanzania lasitishwa
Katibu mkuu wizara ya elimu amesema syllabus hiyo imesitishwa haraka na haitafundishwa kokote.
Source ITV news
nimeshangaa sana.. anaichukulia powa scienseJishikilie jomba...
Sayansi huwa wanakalili , sayansi ni Utopolo?
Alafu HGL ndio wanaelewa?
Kwenye watu wako weredi umemuona lisu?
somo la historia la sasa halizungumzii hilo?Sio kweli lakini Hayati alisisitiza Historia ya kweli ya Taifa letu sio kwa bahati mbaya cos kuna mambo mengi yanamkanganyiko mpaka leo moja wapo kifo cha Mkwawa na pia Mapinduzi ya Zanzibar
Makosa ya mwendazake yasameheni bure maana tumejiridhisha kuwa alikuwa ni mgonjwa wa akili,msisumbue vichwa vyenuWaziri wa elimu Prof. Ndalichako amesitisha maboresho ya mtaala wa somo historia ambao ulianzishwa na Magufuli. Mtaala huo wa somo la historia ungeanzisha kufundisha somo la historia kwa kiswahili tangu madarasa ya awali hadi chuo kikuu. Waziri Ndalichako ameagiza kuendelea kutumia mtaala wa zamani hadi mtaala mpya utakapoandaliwa kwa kushirikisha wadau.
Source: ITV
Sijui Magufuli anajisikiaje huko aliko kwa sababu maagizo yake yanatupiliwa mbali kila kukicha!
pamoja na yote bado historia inabeba dhima nzima ya maendeleo ya binadamu kujua alipo leo kwa kuamgalia ya jana na ndiyo maana mpaka leo hata nchi zilizoendelea bado zinawekeza mabilioni kwenye eneo hili kwa kufanya tafiti mbalimbali duniani. historia hutupa data na nadharia ambazo zaweza kusaidia kutengeneza sheria kwa kuangalia matukio yaliopita yawe ya ,kisayansi kijamii NK ila tatizo hapa kwetu hata ukiisoma haikupeleki kuwa mbobezi katika eneo lolote na wala si jambo la kipaumbele ndio maana waweza sema hakuna employment market. miaka kadhaa watafitiwa kihistoria waligundua mji maarufu wa Rhapta chini ya bahari hapa Tanzania ambao ulikuwa kwenye maandiko ya Ptolemy kama Africa's first metropolis, kwa nchi zenye kujua hii licha ya kuwa eneo la kitalii bali wangewekeza kwenye tafiti zaidi na kujua zaidi ni kwa vipi ulizama je janga kama hilo laweza kujirudia?swali langu ni je nn malengo ya mtaala huo?
is it applicable in modern world employment market?
kama waziri ameona haiko sawa? ww ni nani ?