Somo la 'Historia ya Tanzania' alilotaka Magufuli lasitishwa

Somo la 'Historia ya Tanzania' alilotaka Magufuli lasitishwa

Waziri wa elimu Prof. Ndalichako amesitisha maboresho ya mtaala wa somo historia ambao ulianzishwa na Magufuli. Mtaala huo wa somo la historia ungeanzisha kufundisha somo la historia kwa kiswahili tangu madarasa ya awali hadi chuo kikuu. Waziri Ndalichako ameagiza kuendelea kutumia mtaala wa zamani hadi mtaala mpya utakapoandaliwa kwa kushirikisha wadau.

Source: ITV

Sijui Magufuli anajisikiaje huko aliko kwa sababu maagizo yake yanatupiliwa mbali kila kukicha!
Noma kweli !
 
Yaani hadi Professor Ndelichako anamsaliti Magufuli? Kweli?
Ni Magufuli aliyemuinua Professor Ndelichako kutokea benchi, akampa ubunge wa bure na zawadi ya uwaziri, leo hii bila aibu anaizika legacy ya Magufuli kirahisi.

Nimeamini adui wa mtu ni watu wa karibu yake. Magufuli alizungukwa na wanafiki watupu, akawakumbatia huku akiwaangamiza wapinzani.
Mkuu haya ni masuala mazito ya nchi, sio ishu personal kati ya Ndalichako na Magufuli
 
Nyumbu wa Serengeti kwa kufuata mkumbo wako vyema, hata kama ni kuliwa na mamba wao sawa tu alimradi fuata mkumbo
Nyumbu yupo futi sita chini ya ardhi anashughulikiwa na funza,
Wafuasi wake ndio mmebaki kukialia. Hakuna mtaala wa somo jipya unaoandaliwa kipumbavu vile.
Huyu mpumbavu alikuwa anaharibu nchi ndio maana wenye akili wakaliua, shenzi lile
 
Somo la Historia ni kutuwezesha kujua tulikotoka na tulipo kwa sasa ili tujue tunakokwenda kama ni sahihi kama nchi na kama dunia. Vijana wetu wa sasa hawajui tulikotoka. Na sasa ndiyo ma DC na RC wetu, tutegemee watatupeleka wapi kama si kule akina Chalamila na Ole Sabaya walikokuwa wanatupeleka licha ya kuwa na madigiri ya uzamifu? Hata akina Ndalichako ni wale wale.
Watu hawapingi Historia ya nchi kufundishwa, hata mimi napenda sana . Tatizo ni ule mchakato ulivyofanywa,
 
Waziri wa elimu Prof. Ndalichako amesitisha maboresho ya mtaala wa somo historia ambao ulianzishwa na Magufuli. Mtaala huo wa somo la historia ungeanzisha kufundisha somo la historia kwa kiswahili tangu madarasa ya awali hadi chuo kikuu. Waziri Ndalichako ameagiza kuendelea kutumia mtaala wa zamani hadi mtaala mpya utakapoandaliwa kwa kushirikisha wadau.

Source: ITV

Sijui Magufuli anajisikiaje huko aliko kwa sababu maagizo yake yanatupiliwa mbali kila kukicha!
Jiwe alikuwa anajenga Msingi kwa kutumia ma Boya
Hauwezi kuwa sustainable asilani
 
Magufuli alikuwa sawa, achaneni kupinga kila jambo:
Tuachane na mtaala wa kikoloni tufundishe watoto wetu historia yetu na ya mababu zetu, tamaduni zetu, mila zetu, ili tukuze uzalendo kwa vizazi vya sasa na vijavyo
Hakuna haja ya kufundisha historia kwa Kiingereza,
Magufuli alikuwa sawa, ProfesaNdalichako harakisheni huo mtaala mpya

Kafundisheni huo Mtaala shule za Chato, huko ndio watu wana muda wa kuabudu binadamu.
 
Binafsi siwezi kusema hakuwa sahihi kwa asilimia mia maana usahihi au kutokuwa sahihi kwa mtu vyote hutoka na fikra pinzani

Binafsi nilichokiona kwa Magufuri ilikuwa ni kukosekana kwa ushawishi wa kisomi.

Yeye hakuona haja ya kuhangaika kujenga hoja kwanini liongezwe somo la histori litakalofundishwa kwa Kiswahili toka awali hadi chuo kikuu badala yake aliona atoe agizo.

Sasa maagizo wakati mwingine kwenye maswala ya elimu sio mazuri sana.

Kuna maagizo yaliyofuta masomo ya biashara na kilimo, mengine yakaunganisha physics with chemistry lakini yote yameshatenguliwa

Wakati mwingine ni vizuri kuweka wazo hewani lichambuliwe kwanza badala ya agizo

Naamini kabisa hoja ipo. Lakini halikutakiwa kutekelezwa kama lilivyokuja

Content gani ya kuielezea Tanzania toka awali hadi chuo kikuu inaandaliwa ndani ya miezi kadhaa?

The late Magufuri alipenda sana kushurutisha watu badala ya kuwafanya wafikiri zaidi. Yeye alitaka kila wazo lake lipite bila kuongeza wala kupunguza chochote ndiomaana pale Ndalichako alipojaribu kukaa kimya alikumbusgwa kupitia media

Sasa tukae mezani tutoe maoni kupitia TIE ili tuboreshe wazo la hayati Magufuri
Hakuna kuboresha hilo wazo lishakufa baada ya mwendazake kufa, inshort lilikuwa wazo la kijinga.
 
Naona heading inarembwa kwa namna itakayoonekana inafaa hahahaha Kama marehemu wangepewa vinywa na uwezo wa kuona sijui ingekuwaje
 
Vijana wa kijiweni hawajui thamani ya historia. Yawezekana wanaopinga mtaala wa historia ya Taifa hawajui chimbuko la familia zao na tamaduni. Upumbafu na Ulofa

Kamfundishe mtoto wako hizo historia za taifa lako. Acha sisi wakwetu wasome English medium. Huko hakuna kusifia mwenge.
 
Hilo SoMo halina umuhimu wowote kwa sababu sioni utofati wake na historia inayosomwa shule ya msingi, zaidi sana ni kuongezea watoto wetu mzigo wa masomo yasiyo na ulazima. Nilichogundua hiyo historia ya Tanzania ulikua imelenga kuwasifu viongozi wa fisiemu na si vinginvyo.
Mstari wa mwisho ndo jibu sahihi.
 
Chomeni moto kabisa makabrasha ya huo ujinga, dunia ya sayansi,ufundi na teknolojia hii uelekeo uwe huko mwendzake mibange ilimfanya aanzishe maujinga kilasiku bila utafiti wala kushirikisha wadau
 
Waziri wa elimu Prof. Ndalichako amesitisha maboresho ya mtaala wa somo historia ambao ulianzishwa na Magufuli. Mtaala huo wa somo la historia ungeanzisha kufundisha somo la historia kwa kiswahili tangu madarasa ya awali hadi chuo kikuu. Waziri Ndalichako ameagiza kuendelea kutumia mtaala wa zamani hadi mtaala mpya utakapoandaliwa kwa kushirikisha wadau.

Source: ITV

Sijui Magufuli anajisikiaje huko aliko kwa sababu maagizo yake yanatupiliwa mbali kila kukicha!
Alitaka historia ya Tanzania ibadilike imwandike yeye. Hivi Yule mzee alikuwa na akilinkweli?
 
Huyo mama ni profesa lakini Hana akili kabisa.

Ni Prof wa kukariri tu madesa.

Hamna kitu kichwani.
 
imagine unafundishwa historia ya mkwawa kiingereza[emoji16][emoji16],sijui ukasimulie wazungu ama!!!

wakati mwingine kuna watu wanayapa matako kazi ya kichwa,mmoja wapo mleta mada.na anacheka cheka tu.
Wewe unafikiri kutumia Nini mkuu isije ikawa ni Kinyume Cha Ulichoandika hapo....Tatizo lipo kwenye Maudhui ya Hiyo Histori au Lugha ya kufundishia!?
 
imagine unafundishwa historia ya mkwawa kiingereza[emoji16][emoji16],sijui ukasimulie wazungu ama!!!

wakati mwingine kuna watu wanayapa matako kazi ya kichwa,mmoja wapo mleta mada.na anacheka cheka tu.
Mkuu, unajuwa kwamba Wazungu (wajerumani,to be more specific) wanaijua Historia ya Mkwawa vizuri na walimsifu sana kwamba aliweza ku organise jeshi lake vizuri na alikuwa vizuri kwenye military tactics hasa pale kwenye battle of lugalo ?
Au umeandika tu hapa ki utani ?.ila isome vizuri Historia ya Mkwawa inaonesha wazi hujui mengi kumuhusu hasa uwezo wake. Nenda huko mitandaoni usome taarifa za wakoloni walizotuma kwao huko.kwa kifupi tu nimekusaidia kukupa mwanga kuhusu mkwawa maana naona unamu attack mwenzako bure.hivo basi kufundisha Historia ya Mkwawa kwa kiingereza sio kosa
Mwisho nahitimisha kwa kusema kwamba, Historua inasema kwamba Mkwawa na mwenzie Shaka wa zulu walikuwa vizuri sana kwenye Military tacts ndio maana waliweza kufanya mashambulizi mazito mno.mfano mkwawa aliwachakaza wajerumani mno ambao walikuwa na silaha za kisasa (kwa wakati ule) huku yeye akiwa na askari wenye silaha chache za kisasa
 
Kafundisheni huo Mtaala shule za Chato, huko ndio watu wana muda wa kuabudu binadamu.
Mnamo mwaka 2015 inchi ilipata Rais mzalendo, alihamishia Ikulu Dodoma njia panda ya Chato, alununua ndege sita hakuna Rais mwingine ila yeye shuja wa Africa.

ilipifika 2020 alianza kuongea kwa hasira kuhusu ka koona, alizindua miradi mikubwa kitovuni, ..................


Endelea nawewe kutengeneza mtaala
 
Back
Top Bottom