Somo la kitunguu saumu: Nguvu yake, tiba na maajabu

Kuna uzi humu unasema inatibu pia fungus(pumbu erosion) ebu dadavua pia hilo@ mkuu Mshana.
 
Kuna uzi humu unasema inatibu pia fungus(pumbu erosion) ebu dadavua pia hilo@ mkuu Mshana.
yaahh unapaka kwenye dushe ila kusiwe na michubuko maana utaomba fen[emoji38] [emoji38] [emoji38]
 
Mshana na wewe ni Prof kama Mshana mtaalamu wa Solid Mechanics. ..Prof wa vipapai
 
I came across this strong dude with passion about solid mechanics...wewe unapenda uganga kama vile unalamaana
[emoji15] [emoji15] [emoji35] [emoji35] [emoji115]
 
Mimi hua natumia sana hivo,kila siku asubuhi kabla ya chai,hua natafuna vipande 4 vya vitunguu saumu
 
Hellow wadau,
Mi nillitafuna vitunguu swaum vipande vitatu asbh, kabla ya chai, ila nliskia kichwa kinagonga cku nzima, tatzo ni nn..!?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…