Samboko
JF-Expert Member
- Oct 30, 2011
- 5,420
- 7,788
Asante mkuu, kwa hiyo na yeye itamsaismdia kupunguza mafuta kwa kiasi kikubwa!!Haina shida kabisa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Asante mkuu, kwa hiyo na yeye itamsaismdia kupunguza mafuta kwa kiasi kikubwa!!Haina shida kabisa
Nimecheka sana hiiii kitu[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Kuna jirani yangu hii nitamwambia aijaribu ana shida kidogohiyo issue inasaidia xna.I was addicted by masturbation since when i was at 16 age until to 25 age but nilipoanza ku2mia tangawiz ya unga 1 small spoon,mdarasni 1small spoon,punje tatu za vitunguu swaum na 2 spoon za asali every morning at 5:30 kweny kikombe chenye maji moto then nafanya mazoez ya testosterone boosting kama dakka 15 tu.After 1month huwez kuamin nilkua mtu tofauti kabx.
Hiyo bawasili ilishanitokea mkuu, na ushauri nilioupata humu jf kuhusu kitunguu swaumu kwakweli ni dawa tosha kabisa ......ngoja nisaidie kujibu., inatibu bawasiri tena kwa 100 percent ila unachukua kitungu swaumu unatwanga au unasaga kisha unachanganya na ndimu hlf unapaka hapo kweny kidude il wanasema inauma.
kutokana n hathar za uzaz nikapata bawasiri jaman inauma smtms inawasha vby mpk unapagawa nikanunua mafuta ya nyonyo/castor oil ndo napaka siku hizi kuwasha kumeacha na hata hichi kidude nahisi kabisa kinapungua ukubwa yan nahis naanza kuwa mormal.
Ila hiyo ya kitunguu sijawahi kutumia
Upo tofauti kivipi elezea kidogo usaidie wengi,.hiyo issue inasaidia xna.I was addicted by masturbation since when i was at 16 age until to 25 age but nilipoanza ku2mia tangawiz ya unga 1 small spoon,mdarasni 1small spoon,punje tatu za vitunguu swaum na 2 spoon za asali every morning at 5:30 kweny kikombe chenye maji moto then nafanya mazoez ya testosterone boosting kama dakka 15 tu.After 1month huwez kuamin nilkua mtu tofauti kabx.
Samahani mchangiaji.... Napenda kutoa tahadhari.... Kitunguu saumu kikipikwa ni mboga tu unaweza kula upendavyo.... Lakini kikiwa kibichi ni dawa yenye nguvu.... kitunguu Kina sifa ya kushusha pressure... Kwa hio ikiwa mtumiaji ana pressure Ya kushuka ni hatari kutumia kwa wingi.... Tolerable dose ni punje mbili mpaka tatu kwa siku.Somo zuri. Kwa kuongezea kwa wenzang kwenye tendo la ndoa ni shida kidogo kitunguu swaum ni moja kati ya dawa kurekebisha tatizo hilo. Chukua vipande 10-15 then katakata vipande vidogo vidogo kisha kunywa na maji kwa kila asubuh na jion. Ahsanteni ni dawa nzuri sana ndg zangu
Asante kwa angalizo na tahadhariSamahani mchangiaji.... Napenda kutoa tahadhari.... Kitunguu saumu kikipikwa ni mboga tu unaweza kula upendavyo.... Lakini kikiwa kibichi ni dawa yenye nguvu.... kitunguu Kina sifa ya kushusha pressure... Kwa hio ikiwa mtumiaji ana pressure Ya kushuka ni hatari kutumia kwa wingi.... Tolerable dose ni punje mbili mpaka tatu kwa siku.
Karibu sanaAsante kwa angalizo na tahadhari
Kwa kwel ilifka time ile asubu kama mwanaume lazma penis ifany erection but kwangu ckua na ktu cha namna hyo n huwa iki erect ni dakika then inasinyaa but for now i am normal like others menUpo tofauti kivipi elezea kidogo usaidie wengi,.
kufunua vingi!!!! inamaaana unamaanisha kuona mauzauza ama???Iko hivi kila ukilala tafuna kipande cha kitunguu saumu halafu lala na kipande cha ndimu...vinaweza kufunuka vingi vilivyofunikwa kitambo...yaani ni sawa na kuamshwa kwenye usingizi mzito...jus give it a try
ndugu mimi nateseka sana na hivyo vitu, nimeshasali sana, nimelala na Bible, nimelala huku naskiliza Qur'an, nimelala na mfupa wa nguruwe, nimelala na vitunguu(atleast kinamsaada japo hakijamaliza tatizo),nimelala na masizi, nimesomewa Albadill, hadi nimeenda mara mbili kwa waganga lakini waaapi bado ni mandoto mabaya na kuona maluweluwe usiku, skuizi hata silali mpaka kichwa kinauma, hebu nishauri,.Yeah inaweza kukutokea