Somo la kitunguu saumu: Nguvu yake, tiba na maajabu

Somo la kitunguu saumu: Nguvu yake, tiba na maajabu

Mkuu Mshana Jr...¢¢¢

Huwa Asubuhi nakunywa maji niliyochanganya na limao kisha nameza na kitunguu swaumu. Na vilevile huwa nakula matunda ya tikiti maji na juisi ya maembe mida ya mchana. Ila some time mda wowote huwa najihisi kutaka kujisaidia japo ukifika chooni huwa najisaidia kidogo .

Je, kuna tatizo zaidi......??
 
Nyie mnajua leo.mimi nimekua navyo hivo baba alikua anatulisha tupo fiti balaa
 
Mkuu Mshana Jr...¢¢¢

Huwa Asubuhi nakunywa maji niliyochanganya na limao kisha nameza na kitunguu swaumu. Na vilevile huwa nakula matunda ya tikiti maji na juisi ya maembe mida ya mchana. Ila some time mda wowote huwa najihisi kutaka kujisaidia japo ukifika chooni huwa najisaidia kidogo .

Je, kuna tatizo zaidi......??
Mmh kwa hili hebu fanya vipimo kuepuka guess works
 
Mkuu Mshana Jr.

Naomba nikuulize tuu....!!!

Nina mazoea ya kumeza punje kama tano za kitunguu swaumu kila siku usiku kabla ya kulala.

Na Asubuhi nina mazoea ya kunywa maji yenye Limao au Maji yenye Asali kabla sijaingiza chochote.

Ila mkuu. Kuna kitu sikielewi, inapo fika usiku mida some time naamka nakwenda kunywa maji ya kunywa au nakwenda haja ndogo kisha nakunywa maji hapohapo cha kushangaza mwili unatoa jasho jembamba, je tatizo nini.....??
 
Mkuu Mshana Jr.

Naomba nikuulize tuu....!!!

Nina mazoea ya kumeza punje kama tano za kitunguu swaumu kila siku usiku kabla ya kulala.

Na Asubuhi nina mazoea ya kunywa maji yenye Limao au Maji yenye Asali kabla sijaingiza chochote.

Ila mkuu. Kuna kitu sikielewi, inapo fika usiku mida some time naamka nakwenda kunywa maji ya kunywa au nakwenda haja ndogo kisha nakunywa maji hapohapo cha kushangaza mwili unatoa jasho jembamba, je tatizo nini.....??
Hapana sioni tatizo hapo hasa kipindi hiki cha joto
 
Kwema kaka! mshana jr

umedokeza hapo kwenye bandiko kuwa, kinaweza saidia watoto hasa walizi...unaweza eleza kwa undani kidogo? na namna ambapo kinaweza fanyika msaada na Tiba.

Nawasilisha
Unakiponda na kumpaka tubing kifuani utosini na viganjani
 
KITUNGUU swaum ni mmea unaojulikana kitaalam kwa jina la ALLIUM SATIVUM Unaojumuisha. jamii za mimea ya KITUNGUU swaum,vitunguu maji,na vitunguu mboga.Ukiwa na historia ya kutumiwa na binadam kwa zaid ya miaka 7000 mmea wa kitunguu swaum una asili ya ASIA Ya KATI sasa twende kwenye tiba yake

Wapo dada zangu wengi sana ambao wanasumbuka na matatizo ya fangas haswa maeneo ya ukeni imefika wakati madada hawa wamekata tamaa juu ya tatizo hilo kwa kuwa wametumia dawa mbalimbali na hawajapona

TATIZO HILO HUTOKANA NA NINI?

(1)MAAMBUKIZI Kufanya mapenzi kiholela Watu hukimbilia kupima ukimwi tu wakiamin ndio gonjwa bays

(2)KUPENDELEA SANA KUVAA NGUO ZA KUSHIKA MWILI HASWA ZILE ZA MPIRA

(3)KUTOBADILISHA NGUO ZA NDANI KWA MUDA MREFU

HIZO NI MIONGONI MWA SABABU ZA TATIZO HILO


UNATUMIAJE KITUNGUU SWAUM KUONDOA TATIZO HILO?

Chukua punje moja ya vitunguu swaum kisha utaisaga na kuwa laini kabisa.Kisha utaizungushia katika kitambaa laini cha kufungia vidonda bandeji (GAUZE)baada ya kuizungushia ndani ya kitambaa hiko ingiza katika njia ya uke na kuiacha kwa masaa 8 hadi 12 kisha ubadilishe tena na kuweka nyingine. Tumia tiba hii kwa siku 2 mfululizo na tatizo la FANGASI au MUWASHO ndani uke litakwisha

HASANTENI
 
Back
Top Bottom